TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Sasa utafakari wakati umeme unakatika siku nzima bila taarifa mkuu?subira na kulea ujinga mkuu
 
Nataman kukweleza japo kwa kifupi lqkn muda hautoshi lakn punguza hasira mkuu najua changamoto ni nyingi kwa swala la kukatika kwa umeme,umeme wetu+mazingira sio rafiki so short za gafla ni kawaida na tusichoke,bali sisi kama wannchi tushirikiane na vyombo husika kwa kujenga taifa letu.je unafikri nini kitangulie kati ya taarifa na huduma?? Nb mimi ni raia kama wewe.
Sasa utafakari wakati umeme unakatika siku nzima bila taarifa mkuu?subira na kulea ujinga mkuu
 
Watoe taarifa kuwa kesho umeme utakatika muda fulani ili mtu ajipange,alafu hata kama ni shot haitakiwi kukaa siku nzima bila kurekebishwa!hii ni karne ya 21 kukaa siku nzima bila umeme ni ujuha,
 
Siku ambayo Tanesco mtanifuta machozi na majonzi niliyo nayo juu ya kupatiwa umeme basi siku hiyo nitaingi kwenye zizi langu LA ng'ombe nichinje madume mawili alafu nipite kwenye ofisi za Tanesco wilaya husika kila mfanyakazi wa Tanesco walau ataambulia kitoweo cha kutosha
 
Naomba mnisaidie katika hili
Nimelipia Gharama za kuunganishiwa umeme kwa Gharama ya Tsh 377.772,toka mwezi wa 8 mwaka huu, kila nikifuatilia naambiwa nguzo hazipo, juzi nimekwenda nimeambiwa nguzo zimefika ila mita ndo tatizo, sasa hadi inakera kufuatilia kila siku halafu ni taasisi (nyumba ya shule)
Jina Nyumba ya mwalimu kahumulo Sekondari (mfuatiliaji Shaban Mwiga)
Wilaya Sengerema
MKOA Mwanza
Simu 0768886246
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1.ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2.NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3.KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4.JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5.MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6.KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7.KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Mimi nimefwatiria taratibu zote zakuomba Umeme kwa Bahati mbaya jibu limechelewa imepita dhaid ya miezi fedha nilikuwa nayo imekwisha na kiwango nilichotajiwa 320,000 baada ya jibu kuja na mimi sina je mna akaunti ya kulipa kidogo kidogo ?
 
Naomba mnisaidie katika hili
Nimelipia Gharama za kuunganishiwa umeme kwa Gharama ya Tsh 377.772,toka mwezi wa 8 mwaka huu, kila nikifuatilia naambiwa nguzo hazipo, juzi nimekwenda nimeambiwa nguzo zimefika ila mita ndo tatizo, sasa hadi inakera kufuatilia kila siku halafu ni taasisi (nyumba ya shule)
Jina Nyumba ya mwalimu kahumulo Sekondari (mfuatiliaji Shaban Mwiga)
Wilaya Sengerema
MKOA Mwanza
Simu 0768886246
Yaani inafika mahara inakera sana mm nimelipia mwezi wa sita ila nguzo nimesimikiwa mwezi wa kumi adi sasa hawarudi tena kuniunganishia umeme kila nikipiga simu hawakosi sababu walianza sababu waya mwezi huu wanasema tatizo mita siwaelewi ata kidogo Tanesco unatumia vifaa vyote stock unamaliza bila kutoa order mapema ili uwahudumie watu vzr.
 
Naomba Ufafanuzi Kuhusu Suala La Kuwekewa Umeme. Survey Anapokuja Kwenye Nyumba Ya Mteja Kuikagua Ili Awekewe Umeme
Anatakiwa Alipwe Na Tanesco Yaani Anatiza Wajibu Wake Ama Nitatakiwa Kumlipa Anapokuja Kukagua
 
Nilivosikia grid ya taifa nkajua mambo shwar lol,njoeni mtoe hizi takataka huku songea huu sio umeme asee inaonekana umewashinda bora mturudishie wa mafuta tulikuwa tuna enjoy
 
Tanesco kahama mnakata sana umeme aise hasa maeneo ya mbulu underlake kila muda mnakata watanzania hatufurahii kabisa nishati hii.
 
Naomba Ufafanuzi Kuhusu Suala La Kuwekewa Umeme. Survey Anapokuja Kwenye Nyumba Ya Mteja Kuikagua Ili Awekewe Umeme
Anatakiwa Alipwe Na Tanesco Yaani Anatiza Wajibu Wake Ama Nitatakiwa Kumlipa Anapokuja Kukagua
Hatakiwi kulipa pesa yoyote
 
Naomba mnisaidie katika hili
Nimelipia Gharama za kuunganishiwa umeme kwa Gharama ya Tsh 377.772,toka mwezi wa 8 mwaka huu, kila nikifuatilia naambiwa nguzo hazipo, juzi nimekwenda nimeambiwa nguzo zimefika ila mita ndo tatizo, sasa hadi inakera kufuatilia kila siku halafu ni taasisi (nyumba ya shule)
Jina Nyumba ya mwalimu kahumulo Sekondari (mfuatiliaji Shaban Mwiga)
Wilaya Sengerema
MKOA Mwanza
Simu 0768886246
Mimi mwenyewe kama wewe,niliambiwa nitume majina yangu na namba yangu lakini hakuna kinachooendelea,nadhani nimechoka nitatumia mbinu nyingine wahusika hawatanisahau,haiwezekani leo nusu mwaka naambiwa nguzo hazipo wakati pesa yangu wamekula
 
Hakuna kampuni inayotoa huduma ya Kijinga kama TANESCO Mnafanya kazi kisiasa na kwa kujipendekeza kwa wanasiasa,kitengo chenu cha masoko ubunifu zero,wamebaki kutengeneza T-shirts zenu za Pundamilia,Mabuti ya Mvua yenye Nembo za Tanesco na Kitambulisho. Nimepita vijijini haswa maeneo ya Singida Iramba along Igunga Singida Highway, Nguzo za Umeme zimemwaga za kutosha ambako wanawasha taa 2 kuanzia saa 1 mpaka saa 3 usiku wanazima zote mpaka ya nje, ila hapa jijini Dar es Salaam Mnadai hamna Nguzo tokea mwezi wa Kwanza TANESCO TEGETA mna Shida gani hamna plans,hamna vipaumbele,hamna hata aibu. Naenda Mobisol kununua Solar ya kulipia 59,000/- kila Mwezi... Tatizo sitaweza kutumia Fridge,Washing Machine,Pasi na vifaa vingine. SHAME ON YOU.
Nimerudi tena... Enyi TANESCO Sasa mmeleta Nguzo ila TANESCO Tegeta wameniambia Metre za 3 Phase hamna TATIZO NI NINI! I wish mngepata Mshindani Khaaa.
 
Tanesco,tanesco yaaani mi nishawachoka na siwapendi maana inapnesha tanesco hawahitaji wateja ila sisi ndio tunaolazimisha kuwa wateja wao maana wanayofanya inaonesha dhahir kuwa sisi katika ule msemo mteja ni mfalme inaonesha kuwa kwao sio mfalme bali ni mbwa kiukweli tanesco wanakera mtu analipia umeme mbaya zaidi unakaa miezi sita bila kufungiwa umeme halafu unajiuliza kweli hawa wanahitaji wateja ila wakumbuke leo TTCL wanachanganyikiwa mara ooohhh nyumbani kumenoga wakati ule walikuwa wanatuona kama washenzi fulani hiv eti leo tuko zetu tigo,voda eti ndo ttcl kumenoga
 
DODOMA St Johns University tangu juzi kuna hitilafu tumepiga simu mpaka tumechoka mnasema mnakuja jamani hamfiki tu
 
Back
Top Bottom