TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Mbna utawala wa mam SSH ulipoingia madaraka tatizo la umeme imekuwa kubwa mno
 
  • Thanks
Reactions: _ly
"TUMERIDHIKA NA MAENDELEO YA MRADI JNHPP" MH KITANDULA

Kwa mara nyingine tena Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kupata pongezi za usimamizi mzuri wa miradi ya umeme nchini ambapo Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema kazi kubwa imefanyika ilipotembelea kukagua utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa kufua umeme kwa nguvu za maji wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha jumla ya megawati 2115.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Dunstan Kitandula ameyasema hayo leo Machi 16,2022 alipokua kwenye ziara ya Kamati kukagua maendeleo ya wa mradi huo, ikiwa ni ziara ya kikanuni kutokana na kamati hiyo kuwa ndio yenye jukumu la kuisimamia Wizara ya nishati kwenye utendaji wa taasisi zilizo chini yake.

"Kimsingi kamati tumeridhika na kazi kubwa inayofanyika katika mradi huu, Tunaipongeza sana serikali kwa jitihada inazozifanya kuhakikisha unakamilika na TANESCO kwa usimamizi mzuri wa utekelezaji wa mradi" amesema Mhe. Kitandula.

Kwa upande wake Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba amesema Wizara inaridhishwa na usimamizi mzuri wa TANESCO katika utekelezaji wa mradi wa Julius Nyerere.

"Tumefanya marekebisho kadhaa miezi michache iliyopita katika uendeshaji na usimamizi wa mradi na mabadiliko hayo yamesaidia kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi katika kuhakikisha ubora na viwango vinazingatiwa,” amesema Waziri Makamba.

Aliongeza kuwa, dhamira ya Wizara ni kuhakikisha mradi wa Julius Nyerere unakamilika kwa viwango vinavyotarajiwa na watanzania ili uweze kuongeza uhakika wa upatikanaji nishati ya umeme nchini.

Akizungumzia maendeleo ya mradi Mkurugenzi Mtendaji TANESCO, Maharage Chande amesema mpaka sasa mradi umefika asilimia 56.84 kwa mujibu wa taarifa ya mwezi wa pili mwaka huu.

"Sina mashaka hata kidogo kwamba mradi utakamilika lililopo mbele yetu ni kufanya tathmini na kubuni mbinu za kupunguza muda wa ucheleweshaji hata ikitokea umechelewa basi iwe kwa siku chache iwezekanavyo kazi hiyo inafanyika kiuhandisi na tutafanya kazi usiku na mchana mpaka mradi ukamilike, " alimalizia Maharage.

Ziara hiyo ya kamati imekagua maendeleo ya mradi huo ikiwa ni moja ya jukumu lao la msingi kama kamati Katika kuhakikisha mradi unakamilika ili uweze kuchangia katika shughuli za kimaendeleo nchini.

View attachment 2153322

Nyie ni wazimu sana.

Shirika lenu mnaendeshea mtandaoni
Au mmekaa hapa kumdanganya nani au waliowapa hizo nafasi wakija huku waone kwamba mnafanya kazi.

Acheni ushamba mpaka mfuatwe kama mbuzi ndiyo mfanye kazi. Hili jukwaa ni uchafu humu mnajaza tu server pumbavu sana nyie
 
Mm binafsi lawama zote nawapa watendaji wa jamii forums wakiongozwa na mkurugenzi Maxence Melo kwa kuwapa nafas Hawa watu humu bila kuwafuatilia Kama wanchofanya humu n kile walichojipambanua au la

TANESCO N JANGA LA TAIFA

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
"TUMERIDHIKA NA MAENDELEO YA MRADI JNHPP" MH KITANDULA

Kwa mara nyingine tena Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kupata pongezi za usimamizi mzuri wa miradi ya umeme nchini ambapo Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema kazi kubwa imefanyika ilipotembelea kukagua utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa kufua umeme kwa nguvu za maji wa Julius Nyerere (JNHPP) utakaozalisha jumla ya megawati 2115.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Dunstan Kitandula ameyasema hayo leo Machi 16,2022 alipokua kwenye ziara ya Kamati kukagua maendeleo ya wa mradi huo, ikiwa ni ziara ya kikanuni kutokana na kamati hiyo kuwa ndio yenye jukumu la kuisimamia Wizara ya nishati kwenye utendaji wa taasisi zilizo chini yake.

"Kimsingi kamati tumeridhika na kazi kubwa inayofanyika katika mradi huu, Tunaipongeza sana serikali kwa jitihada inazozifanya kuhakikisha unakamilika na TANESCO kwa usimamizi mzuri wa utekelezaji wa mradi" amesema Mhe. Kitandula.

Kwa upande wake Waziri wa Nishati Mhe. January Makamba amesema Wizara inaridhishwa na usimamizi mzuri wa TANESCO katika utekelezaji wa mradi wa Julius Nyerere.

"Tumefanya marekebisho kadhaa miezi michache iliyopita katika uendeshaji na usimamizi wa mradi na mabadiliko hayo yamesaidia kuongeza kasi ya utekelezaji wa mradi katika kuhakikisha ubora na viwango vinazingatiwa,” amesema Waziri Makamba.

Aliongeza kuwa, dhamira ya Wizara ni kuhakikisha mradi wa Julius Nyerere unakamilika kwa viwango vinavyotarajiwa na watanzania ili uweze kuongeza uhakika wa upatikanaji nishati ya umeme nchini.

Akizungumzia maendeleo ya mradi Mkurugenzi Mtendaji TANESCO, Maharage Chande amesema mpaka sasa mradi umefika asilimia 56.84 kwa mujibu wa taarifa ya mwezi wa pili mwaka huu.

"Sina mashaka hata kidogo kwamba mradi utakamilika lililopo mbele yetu ni kufanya tathmini na kubuni mbinu za kupunguza muda wa ucheleweshaji hata ikitokea umechelewa basi iwe kwa siku chache iwezekanavyo kazi hiyo inafanyika kiuhandisi na tutafanya kazi usiku na mchana mpaka mradi ukamilike, " alimalizia Maharage.

Ziara hiyo ya kamati imekagua maendeleo ya mradi huo ikiwa ni moja ya jukumu lao la msingi kama kamati Katika kuhakikisha mradi unakamilika ili uweze kuchangia katika shughuli za kimaendeleo nchini.

View attachment 2153322
Tanesco huku dumila juu

Dumila-kilosa
Kuna nyumba hazina umeme na kuna nyumba zina umeme
Kuna watu wana mashine zao wanashindwa kufanya kazi hebu tusaidieni aisee
 
Tanesco huku dumila juu

Dumila-kilosa
Kuna nyumba hazina umeme na kuna nyumba zina umeme
Kuna watu wana mashine zao wanashindwa kufanya kazi hebu tusaidieni aisee
Huko dumila kwann mliwafanyia nn
Tanesco huko kila siku hamna umeme
 
Sasa jaman hakuna tena umeme wa 27??
hakuna boss magufuli kaondoka na 27 yake mimi nimetoka kulipia juzi 320,960/= na niliangaikia control number toka 14/9/2021 enzi hizo umeme 27 elfu ila ndo hivyo imekula kwetu kwa sasa wamesema wanakuja kufunga kesho ngoja nione
 
hakuna boss magufuli kaondoka na 27 yake mimi nimetoka kulipia juzi 320,960/= na niliangaikia control number toka 14/9/2021 enzi hizo umeme 27 elfu ila ndo hivyo imekula kwetu kwa sasa wamesema wanakuja kufunga kesho ngoja nione
Mkuu hapo n bila nguzo?
 
hakuna boss magufuli kaondoka na 27 yake mimi nimetoka kulipia juzi 320,960/= na niliangaikia control number toka 14/9/2021 enzi hizo umeme 27 elfu ila ndo hivyo imekula kwetu kwa sasa wamesema wanakuja kufunga kesho ngoja nione
Tafadhali tambua kuwa bei iliyopitisha na mamlaka ilikuwa 27000 toka mwaka 2016 kwa wateja wa vijijini na 321000 kwa wateja wa mijini
 
Mimi malalamiko yngu kwenu Tanesco ni kwamba nilipewa control no mwezi january nikalipia Tz sh 515 617.52 lkn mpka leo sijapatiwa umeme na hakuna Taarifa yeyote kila nikienda ofisini kuulizuwa naambiwa nitapigiwa simu jmn hyo simu itapigwa nimechoka kusubir
 
Hawa jamaa ubunifu n tatizo kwao wanatakiwa walipwe mishahara kwa Kaz wakizofanya

Swal hakihusian na eneo lakn utaulizwa

Eneo

Wilaya

Mkoa

Mfano mm nimeuliza naomba kujua Kama naweza ingia TARRIF 4 lakn ntaulizwa mkoa wilaya dini mtaa ukoo wangu



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naomba kujibiwa Hilo swali Lina wik ya pili Sasa

Naona leo upo

Mita namba 24210297172

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi TANESCO

Kwann kujibu swal dogo Kama langu umeshindwa NIMEKUULIZA NAOMBA NIANGALIZIE MITA NAMBA 24210297172 KAMA NAWEZA KUWA TARRIF NAMBA 4

sijapata jibu zaidi umeniuliza napatikana wapi nimekujibu MBAGALA KILUNGULE ..DSM

LAKN HUJANIPA MAJIBU SWALI LINA SIKU YA TANO LEO

JAMBO KAMA HILI NALO TUACHE KAZI TUKAPANGE FOLENI KUULZIA ?

NN MAANA YA KUJA HUMU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naomba majibu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom