TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
Tanesco na body ya tanesco mmeshidwa uzalendo na haki elimu idara kunga wateja kilichopo urasimu na ukitlitimba ubinafsi .
 
kwa kweli viongozi wa Tanesco jitahidini kuwa na ubunifu. ni hili ni Jukumu la viongozi wa ngazi ya juu. mara nyingi mtu wa chini kazi yake mara nyingi ni kujitahidi kutekeleza maagizo n.k kiongozi wa juu ni kuja na MAONO, hivyo wakurugenzi wasaidizi na mkurugenzi mkuu, kujeni na MAONO. ntawapa mfano wa sekta ya maji,
Singida mjini hakuna vyanzo vya maji, Sekta ya maji walikuja na wazo la bwawa, sasa hivi maji yapo
Dodoma hakuna vyanzo vya maji vya juu ya ardhi, Sekta ya maji wakabuni visima sasa hivi maji yapo
Dar es salaam bahari ina chumvi, sekta wakaenda mlandazi , sasa hivi maji yapo Dar.
Wakuu, ukiwa kiongozi mkuu, kufanya kazi, sio kuruhusu file liende sijui uhasibu , au utumishi N.K ndo ukajishasabia umefanya kazi, hapana , jukumu lako kuu, ambalo linafanya ulipwe mshahara mkubwa ni MAONO. kujeni na maono ya solar power, wind power, hydro power N.K.
mbona baadhi ya taasisi za dini wanazalisha umeme wao, (fuatilieni) tena kuna miradi mingine ya dini wameshindwa kukamilisha ambayo tanesco mngeimalizia kwa fedha kidogo tu na kuongeza uzalishaji wa umeme kwa nchi.
kuna maeneo mengi ambayo hamyafanyii kazi ambayo taasisi binafsi zimefanikiwa japo kwa MEGAWATT chache ambazo jamii inapata tafsiri kuwa nyinyi ni WAZEMBE, na hamn viongozi wenye MAONO
 
Kazi iendelee....
 
Umelipa TSh 2,900 kwa ajili ya LUKU, No. ya kampuni: 001002, kumbukumbu ya malipo:22114568433. Muamala: 83853267696. Salio jipya ni TSh 62. Jumla ya Makato TSh 40. (Ada TSh 0, Tozo TSh 0), VAT TSh 6. 05/10/23 20:56.

Mpaka SASA sijapata token kuna Shida gani?
 
Natoa maalalamiko kwa Tanesco hapa Mwanza jiji mtaa wa igelegele karibu na jengo la Tanapa

Jana mchana watu wa Tanesco walipitisha line ya umeme kwanda kwa mteja kwenye kiwanja

Na barabara wameacha ili kukwepa umbali ya nyumba ya mtaja wao
Has sehemu zote zimepimwa

Basi nilimweleza mkuu wa msafara wa Tanesco anayeitwa philipo kuwa mnafanya makosa kupitisha umeme kwenye kiwanja Cha mtu bila hidhini yake wakati kuna barabara yeye akasema kwani Tanesco wakipata hasara kwa kushtakiwa nitaumia na Nini?

Namba yake ya simu huyo wa Tanesco aliyesimamia kupitisha umeme eneo la mtu na kukataa kuonywa kwa kosa hilo na kukaidi ni 0783559712

Tanesco shughulikia hili tatizo
 
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa changamoto, tangazo hilo ni la kweli na kila Mkoa utafanya mabadiliko kwa utaratibu maalumu, hivyo kwenye Mkoa wako zoezi hili likifika utafahamishwa tafadhali.^OK
Mimi mita yangu ipo juu sana kila nikitaka kuingiza umeme lazima nitafute ngazi sasa imekuwa tabu kweli kweli.
Ni aina hii je nazo mnazibadilisha? angalau nipate zile zenye ving'amuzi.
 

Attachments

  • 20230511_112448.jpg
    20230511_112448.jpg
    602.2 KB · Views: 4
Tanesco kitengo Cha Emergency mje mtatue Tatizo lenu huku. Kuna nyaya hazina makava zipo bare zinagusana, Kila mara zinapogusana zinatokea cheche kubwa na moto mkubwa, Tumeripoti Tatizo Jana ila mpaka Leo Bado hawajazishughulikia, Jana wamekuja wakasema hawana vifaa walivyoondoka hawajarudi tena, hizi nyaya zipo kwenye makazi ya watu endapo yatatokea majanga mpo tayari kulipa Gharama za kufidia Kwa uzembe wa wazi kama huu. Eneo Ni Kwembe, Kibamba (Ubungo DSM) Kona Ya Samaki karibu na Kwa mzee Matondane
 
Poleni na kazi!
Mimi naomba kuuliza. Nimepanga chumba na kufanyia shughuri zangu, kwenye vyumba vya uwanja wa mpira Kambarage, Shinyanga, unaomilikiwa na CCM Mkoa. Sasa, nami nakatwa fedha za jengo ninaponunua umeme kila mwezi. Vipi, kuna uhalali kwa hilo?
 
Kwa maneno yasiyo zidi 10 elezea hali ya mkatiko wa umeme katika eneo lako kwa sasa.
inaonekana wale jamaa waliondoka na kisirani yao.

nilipo -no mkatiko
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1. ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2. NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3. KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4. JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5. MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6. KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7. KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
 
Tanesco na body ilipitisha wakandarasi wote wafanye kazi za usambazi wa umeme vikundi na kazi za matengenezo kwajir kuongeza wigo wa wateja ili tanesco wauze umeme kwa wateja na selikali iongeze kukusanya mapato ndio dhumun imebadilika badala kupewa vikundi izo kazi wanazifanya wahandishi wa shirika kinyemela mgongano wa masilai na ushirikiano wa wahasibu kutoa pesa kuwapa wahandishi kulipa mafundi na wao kuchukua Chao badala kulipa ktk account za vikundi kulipa Kodi. Ili watu wa rushwa na auditing wamelala aiwezekani pesa aionekani imetoka wapi analipwa Nani ktk account ipi. Na wapokeaji awa sainishwi ni mgongano wa masilai na wizi pia kupoteza mapato ya serikali. Imefikia kazi azina ufanisi mpaka kupunguza ku connect wateja kwa wingi. Wanalipwa mshahara na bado wanachukua pesa sio zao na ili mpaka ktk miradi ya rea udalali sugu sub contractor resposiblity 95% to provide all facility and to run the project personal before any payment any support any cooperation and to results and to deliver the job personal ili main contractor is not part of work because is not resposiblity. Kwaiyo watu wa idara rushwa na polisi mlifatilie kwa utafit na upelelezi wa kitergensia umakini kisomi mtayabaini Aya . Kwa mkurugenzi wa tanesco linakusu kufatilia na director wa rea na karibu mkuu wa wizara nishati na mwenyekit wa body rea na tanesco. Uzalendo muimu ni haki elimu utambuzi to investing thinking capacity to realize position thinking
 
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto, tunapenda kufahamu changamoto yako tukuhudumie tafdhali.^OK
 
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto, tunapenda kufahamu changamoto yako tukuhudumie tafdhali.^OK
Kata ya mhande wilaya ya kwimba hatuna umeme siku ya 3 Leo,shida ni nini?
 
Back
Top Bottom