Yani siku hizi umeme haupiti siku bila kukatika sasa hivi wamekata kutoka saa kumi na moja jioni mpaka sasa, jana walikata toka asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni.
Naona wati sehemu mbalimbali wanalalamika.
Jamani kama kuna mgao ni afadhali mtueleze tujipange mbona tushazoea tu watanzania. Nashangaaa waziri juzi anasema tuna umeme wa kutosha kuliko mahitaji yetu sasa huo umeme kama watumiaji hatuna uhakika nao una maana gani.
Kuweni serious tafadhali walau muwe mwatwambia kama mtakata tujipange.