Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Fukua kaburi.Huku Mbeya siku ya pili umeme unakatika asubuhi unarudi usiku saa nne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fukua kaburi.Huku Mbeya siku ya pili umeme unakatika asubuhi unarudi usiku saa nne
Usinikumbushe makambaFukua kaburi.
Soma huu uzi tokea mwanzo.Naambiwa 65% ya umeme unaozalishwa Tanzania unatokana na gesi asilia kutoka Kusini, na unazalishwa na mitambo ya gesi ya Ubungo / Songas na Kinyerezi, gesi bado ipo na mitambo inapiga kazi kama kawaida, mabwawa nayo uzalishaji bado unaendelea, sasa tatizo liko wapi hadi mnakata umeme kila siku hovyo hovyo bila ratiba?
Wakati JPM akihutubia bunge kwa mara ya kwanza kama Rais wa Tz aligusia suala la Tanesco kuhongwa na makapuni binafsi ya ufuaji umeme ili kufungulia mabwawa ya maji na kutengeneza uhaba wa umeme, je, mchezo huu umerudi tena?
Kumbe wakati wa dikteta magufuli pia umeme ulikuwa wa mgaoKwa siku tano mfululizo maeneo haya umeme ifikapo jioni unakatwana bila taarifa kwa sisi wateja labda Kama tangazo Hilo sijalisikia.
Maeneo ya ubungo Mandela Rd kuanzia external, maziwa, hadi darajani unaotazamana na rivaside.
Pamoja na kuwa jirani kabisa na mitambo ya umeme ya ubungo tunakutana na adha hii.
Leo tarehe 26/02/2021 umeme haukarudi mpaka saa 5 za usiku niandikapo taarifa hii na hatujui utarudi saa ngapi.
Tunaomba tutangaziwe kama ni mgao au uzembe au hitilafu.
Umeme haujawai kuacha kukatika hovyohovyo hata pindi mwendazake akiwa madarakani.Tufukue kaburi..
February 2021.