TANESCO watoa ufafanuzi kuhusu Bwawa la kufua umeme la Mwl. Nyerere kuwa na nyufa

Mbona hajauzungumzia huo ufa ambao kila mmoja ameuona?
 
Narudia tena... Hii kitu sidhan kama kutakua na suluhisho la matatizo ya umeme hata uzalishaj ukianza!! Tupo hapa kikubwa uzima tu!!
 
Sijui nianzie wapi yarabi toba!! Ee mola wetu tunusuru na yajayo. Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu katueleza wananchi kuwa kuna nyufa.Mainginia wakatoa ufafanuzi wa namna ya kushughulikia hizo nyufa.Tanesco mnasema kuna jambo linaleta taharuki isiyo ya lazima lakini hamuisemi ni tararuki gani , ninyi mbazungumzia mitambo na muda wa kujaza maji na kuanza majaribio.Sasa nani anadanganya!! Aaah nimeishiwa cha kuandika
 
taarifa haijagusia hata kiduchu kuhusu nyufa
Hapo ujue tayari wameshapiga tukio. Tayari hela zimekwapuliwa,likapigwa chini ya kiwango. Hasa tukio limeanzia baada ya mwenda zake kuondoka. Hii nchi kwa sasa tutaona kila aina ya ufisadi na wizi. Kwa sasa taasisi za Umma zinapigwa milioooo ambayo haijawahi kutokea tokea dunia iumbwe
 
Mtoa taarifa amekurupuka na ana hasira, wananchi wanahoji nyufa sio kuanza kufanya kazi.
 
Kwa hiyo hizo nyufa zinazosemwa zipo au hazipo maana taarifa haijazigusia hizo na ndiyo concern ya watu
Ahsante, mkuu '3Angels', umegonga penyewe hasa.

Ukitaka kujua ubabaishaji, huo ndio mfano mzuri. Hawataki kujibu swali rahisi, badala yake wanaeleza mengine kabisa ya kuwachanganya watu akili.
 
Mbwembwe za Marope hizo alikuwa anataka bwawa lijae kwa sifa tu alifikiri anajaza pipa la maji
Angalia Ethiopia imewachukua miaka mingapi

Kama ni hela wamepiga sana bila kujali uimara wake
Aisee hao ni wa kufungwa tu
Msimsingizie Marope, ... waziri wa nishati sio Engineer wa huo mradi! Tafuteni watu sahihi wa kuwajibishwa!
 
wataalamu waliobobea kwenye fani ya ujenzi (CIVIL ENGINEERING) na waliobobea kwenye fani ya mitambo (ELECTRO MECHANICAL ENGINEERING)

wallah hapo kuna ukakasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…