FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Umeme upo ila mfumo wa kukodi tunaoulipoa mabilioni haifanyi kazi, hasara tupu! Eti nikonekti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto domo ndio linamwagika asali sasa hivi, hata sauti haina pa kutokea, wanamkandamizia asali hadi kooniCCM na Upumbavu wao wote sasa hivi wanawarambisha Asali wajanja wenu na wote midomo imejaa asali hawawezi kufungua midomo
Hasara ni ni neno lenye maana mtambuka kwa kiswahili, linamaanisha ‘loss’ na pia limaanisha ‘financial damages’Hili neno hasara mbona uwa mnalitumia tumia bila kujua maana yake.
Hasara hutokea pale ambapo matumizi yanazidi mapato.
Masega yenye watotoZitto domo ndio linamwagika asali sasa hivi, hata sauti haina pa kutokea, wanamkandamizia asali hadi kooni
Hahahahaha, atalng'atwa na nyukiZitto domo ndio linamwagika asali sasa hivi, hata sauti haina pa kutokea, wanamkandamizia asali hadi kooni
Huo mfumo umeanza kazi?..unahusisha kuuza tokeni pia!?Umeme upo , ila mfumo wa kukodi tunaoulipoa mabilioni haifanyi kazi, hasara tupu! Eti nikonekti
Yaani ni lazima litokee kila mwaka na hawatafuti ufumbuziHilo tatizo limeshakua sugu Ila wao wanalizungumzia Kama tatizo la dharura wakati siyo kweli Ni Mara kibao tu inatokea na kuwasababishia watu hasara
Naongezea ni wapumbavu kweli kweli yaani.Ccm ni wapumbavu tu.
Hii shida toka nimepata mtambo wa Sola wa Sunking kama back up hii shida ya kata kata ya Tanesco sasa nimepumuaMimi ni MUHANGA mmoja wapo katika hili siku ya leo 🥲🥲
Mimi lro ndio nlikuwa nimeanza kuangua vifaranga mashine imezima na hasara yake kwa kweli haitaelezeka! wamenirudisha nyuma sana!Mimi ni MUHANGA mmoja wapo katika hili siku ya leo 🥲🥲
Na hawa laana zitawapata kweli kweli.Mimi lro ndio nlikuwa nimeanza kuangua vifaranga mashine imezima na hasara yake kwa kweli haitaelezeka! wamenirudisha nyuma sana!
najua wataanza kwa nini hukununua umeme mwingi! wanasahau system.ya kununulia ndio wameipoteza hewani! wao wana raha staff mi unit kibao ya bure hadi elfu 20 huko inasoma! mlaaniwe
Haya bhana
Ni harakati za kuifanya Tanesco kuonekana imeshindwa kujisimamia.. soon ubinafsishaji utaanzaTANESCO inaendelea kupata hasara kubwa kutokana na mfumo wake wa manunuzi ya umeme kuwa na hitilafu kubwa.
Wananchi wanahagaika kupata LUKU bila mafanikio. Matukio ya aina hii yanatokea mara kwa mara siku hizi.