and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
SIDO hawawezi kuukarabati huo mfumo?Umeme upo , ila mfumo wa kukodi tunaoulipoa mabilioni haifanyi kazi, hasara tupu! Eti nikonekti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SIDO hawawezi kuukarabati huo mfumo?Umeme upo , ila mfumo wa kukodi tunaoulipoa mabilioni haifanyi kazi, hasara tupu! Eti nikonekti
Sijui wote wakikihama chama tutauondoaje huo upumbavuCcm ni wapumbavu tu.
Pole jamaaMimi ni MUHANGA mmoja wapo katika hili siku ya leo 🥲🥲
TANESCO inaendelea kupata hasara kubwa kutokana na mfumo wake wa manunuzi ya umeme kuwa na hitilafu kubwa.
Wananchi wanahagaika kupata LUKU bila mafanikio. Matukio ya aina hii yanatokea mara kwa mara siku hizi.
Hapo watu wanapiga mpaka wanavimbiwaTANESCO inaendelea kupata hasara kubwa kutokana na mfumo wake wa manunuzi ya umeme kuwa na hitilafu kubwa.
Wananchi wanahagaika kupata LUKU bila mafanikio. Matukio ya aina hii yanatokea mara kwa mara siku hizi.
Tutadeal nao wao kama wao binafsi. Chadema wanaufala wa kupokea na kuwasafisha CCM.Sijui wote wakikihama chama tutauondoaje huo upumbavu
Mimi pia.Tanesco mnirudishie pesa zangu nimenunua umeme wa sh. 5000 saa 4 usiku kuptia Airtel money pesa mmechukua lakini nimelala gizani mpaka kumekucha mpaka sasa hamjanitumia token rudisheni Hela yangu HARAKA.
Kafa huyo babu yenu harudi tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu alituokoa mwezi mach mwaka jana!
Lilisikika taahira toka ufipani
Wenye nyama sie wauza vitumbua mchele huo tutatwanga kila siku.Serikali haina hasara. Sema sisi sasa nyama zetu kwenye friji.
Hili neno hasara mbona uwa mnalitumia tumia bila kujua maana yake.
Hasara hutokea pale ambapo matumizi yanazidi mapato.
Hongera, hii ndio njianya uhakika kuishi bila stress bongo. Vinginevyo utaumia kila sekundendo nikichukia nanunua umeme hata wa laki, hii nchi inatutesa sometimes
Msamehe! CCM ina vijana wa hovyo sana, anza na wale walioiba uchaguzi walioko bungeniAti ndiyo wameleta shida kwenye mfumo au siyo