TANESCO yatangaza changamoto ya manunuzi ya umeme kupitia mfumo wa ununuzi wa LUKU

TANESCO yatangaza changamoto ya manunuzi ya umeme kupitia mfumo wa ununuzi wa LUKU

Hilo la Tanesco ni kiashiria tu ya hatari iliyopo duniani kutokana na uwezekano wa mashambulizi ya kimtandao (cyber attack), tatizo watu wanaponda tu huwezi jua huo mfumo umekuwa hacked. Ndo maana serikali na taasisi kubwa za kimataifa zikiwemo za fedha na huduma mbalimbali zimefanya majaribio (cyber attack simulation) ili kuona madhara ya kijamii yanayoweza kujitokeza ikitokea mashambulizi ya kimtandao kwenye mifumo na namna ya kukabiliana nayo.​
 
Wakuu salamaa,
Kuna aliefanikiwa kununua LUKU tangu jana??
Msaada anielekeze maana nimenunua tangu saa tano mpaka sasa sijapata tokeni.
 
Siku monopoly ya TANESCO itakapo vunjwa, ndipo siku watanzania watapata ahueni.
 
Ni ujinga mtupu nchi nzima mpaka dakika hii huduma ya LUKU haipatikani Tanzania nzima
 
Back
Top Bottom