antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Kweli..Samia awe mkali wanamhujumu wazi wazi
Sivyo, maana kura za wananchi hazina tijana asipoangalia atakwenda na maji aendelee kuwalea tu hawa watu na kuwaamini wanamuumiza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli..Samia awe mkali wanamhujumu wazi wazi
Sivyo, maana kura za wananchi hazina tijana asipoangalia atakwenda na maji aendelee kuwalea tu hawa watu na kuwaamini wanamuumiza.
Hahaha Bora ungeakaa kimyaaaNdo ushakatika mida hii huku Lindi
Wanamharibia ila bado anawaamini.Kweli..
Sivyo, maana kura za wananchi hazina tija
Vipi tukukabidhi na TANESCO ?Aisee
Sababu zimebadilika na zitaendelea kubadilika kadri siku zinavyozidi kwenda. Lengo tuzoee mgawo.Shida nini hili shirika kimefichwa watanzania hatujui
Kama unakumbuka miezi michache iliyopita tuliambiwa sababu ya mgao ni kupungua kwa maji
Hivi sisi ni binadamu gani tunaovumilia kila siku? Nashauri wabadilishe lugha na sio hii.Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake kuwa kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa na kusababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwenye Mikoa iliyounganishwa na Gridi hiyo.
“Juhudi za kurejesha mfumo zinaendelea kwa haraka ili huduma iweze kupatikana katika maeneo yote yaliyoathirika, Shirika linawaomba uvumilivu Wateja wake wote wakati Watalaamu wetu wakiendelea na jitihada za urejeshaji wa mfumo wa Gridi ya Taifa”
View attachment 2893086