Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
😃😃 walikata mida flani ila sahivi umerudi. Hiki kipande wakikata hawazidishi masaa 6.Uko maeneo ya njiro kwa matajiri wa mererani umeme upo ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃 walikata mida flani ila sahivi umerudi. Hiki kipande wakikata hawazidishi masaa 6.Uko maeneo ya njiro kwa matajiri wa mererani umeme upo ??
Daah zile takwimu za watz wengi hawana raha ni za kweliWamerejesha kwa dakika 20 kisha wamekata tena.
Afu walivyo wehu watarudisha saa 7 usiku ambapo walinzi tu ndio wataoufaidi.
Asubuhi kukikucha tayari washaupiga panga.
Njiro. Kuna namna imekatika mara 2.Arusha umerudi. Labda ni kwangu tu? Au inawezekana naota...
Ila umerudi kama 30min ago
Huko napaelewa sana huko 😁 kwa bosi wangu mtinange hapo lazima umeme uwe mwingi hapo😁🤣😂😃😃 walikata mida flani ila sahivi umerudi. Hiki kipande wakikata hawazidishi masaa 6.
Hii ya jioni hii ilikuwa ni janga la kitaifa😀. GridiNjiro. Kuna namna imekatika mara 2.
Kipande cha Msola mpk FFU, na kipande cha IAA kuja juu.
Kipande cha IAA kuja juu mpk PPF wakikata ni wamekata. Mnasahaulika.
Ila kipande cha FFU kushuka chini, wanakata kistaa. Walikata saa 12, sahivi usharudi. Siku nyingine hawakati.
Naomba nije niangalie mpira wa afcon hapo kwako mkuu. Manake sio kwa shida hiziArusha umerudi. Labda ni kwangu tu? Au inawezekana naota...
Ila umerudi kama 30min ago
Karibu sana sinoni daraja mbili kwa kina johNaomba nije niangalie mpira wa afcon hapo kwako mkuu. Manake sio kwa shida hizi
Itakuwa walikata pakubwaHii ya jioni hii ilikuwa ni janga la kitaifa😀. Gridi
Asante nakujaKaribu sana sinoni daraja mbili kwa kina joh
😂😂 labda sababu ya kituo cha Tanesco, FFU, na Hosp ya Jiji.Huko napaelewa sana huko 😁 kwa bosi wangu mtinange hapo lazima umeme uwe mwingi hapo😁🤣😂
Wasalimie sana pande hizoo
Kuna mijitu inakera Sana yaan[emoji29]Oooh! Miaka Ile hapakuwa na Matengenezo ya Mitambo
Pumbavu kabisa
Pande zile wapo masikini na JKT yaoo😁🤣😂😂😂 labda sababu ya kituo cha Tanesco, FFU, na Hosp ya Jiji.
Ila mbona kule juu date ya JKT wanakata sana.
Hawa mbuzi hawajawai kuishiwa visingizio[emoji29]Ndio shida mvua zimezidi mitambo imezidiwa nguvu na mafuriko hivyo kupelekea kukosa umeme[emoji16]
Muhari maana ake Nini mkuu?[emoji2]Tanzania Ya Muhari Hii
Ila kuna bank 😂 na viwanda telePande zile wapo masikini na JKT yaoo😁🤣😂