Tanesco yatangaza hitilafu, Mikoa iliyoungwa Gridi ya Taifa kukosa umeme

Tanesco yatangaza hitilafu, Mikoa iliyoungwa Gridi ya Taifa kukosa umeme

Arusha umerudi. Labda ni kwangu tu? Au inawezekana naota...
Ila umerudi kama 30min ago
 
Arusha umerudi. Labda ni kwangu tu? Au inawezekana naota...
Ila umerudi kama 30min ago
Njiro. Kuna namna imekatika mara 2.
Kipande cha Msola mpk FFU, na kipande cha IAA kuja juu.
Kipande cha IAA kuja juu mpk PPF wakikata ni wamekata. Mnasahaulika.
Ila kipande cha FFU kushuka chini, wanakata kistaa. Walikata saa 12, sahivi usharudi. Siku nyingine hawakati.
 
Njiro. Kuna namna imekatika mara 2.
Kipande cha Msola mpk FFU, na kipande cha IAA kuja juu.
Kipande cha IAA kuja juu mpk PPF wakikata ni wamekata. Mnasahaulika.
Ila kipande cha FFU kushuka chini, wanakata kistaa. Walikata saa 12, sahivi usharudi. Siku nyingine hawakati.
Hii ya jioni hii ilikuwa ni janga la kitaifa😀. Gridi
 
Tunaishi maisha ya sukari kuficha kabatini na umeme wa kuchajia simu
 
Back
Top Bottom