Tanesco yatangaza hitilafu, Mikoa iliyoungwa Gridi ya Taifa kukosa umeme

Tanesco yatangaza hitilafu, Mikoa iliyoungwa Gridi ya Taifa kukosa umeme

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake kuwa kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa na kusababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwenye Mikoa iliyounganishwa na Gridi hiyo.

“Juhudi za kurejesha mfumo zinaendelea kwa haraka ili huduma iweze kupatikana katika maeneo yote yaliyoathirika, Shirika linawaomba uvumilivu Wateja wake wote wakati Watalaamu wetu wakiendelea na jitihada za urejeshaji wa mfumo wa Gridi ya Taifa”

View attachment 2893086
Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema
 
Wafanyakazi wa shirika hili wanapaswa kufikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi kwa taifa
Me nashangaa mtu akiiba laki anafungwa wakati kuna majitu yanatakiwa kupigwa kama wezi wanaopigwa na kuchomwa na matairi.
 
Kwa hii hali ya umeme niseme tu ni aibu kwa Taifa!

How comes Nchi hatuna hata mfumo wa power back up in case National grid imeleta shida?

Kusema kweli Nchi hii bila kuweka mfumo thabiti wa kuwajibishana maendeleo ya kweli tutayasikia kwenye bomba tu!!

Nawaelewaga sana Wapinzani wanaposema Tatizo ni Katiba.

Huu ujinga ni aibu sasa
 
Tanesco kwa ujumla wake ni shida kabisa, taifa litafute mwekezaji mwenye teknolojia pevu ya kisasa asiwe Mwarabu awe Muingereza marekani au Mjerumani, akomeshe ujinga huu, zaidi ajenge mfumo mwingine mpya, taifa liwe na alternatives national grids, ziwe zinasaidiana.
Kabisa na akitokea msenge yoyote akata 10% kwenye huo mradi na kuleta ukiritimba atajwe hadharani tutakwenda kumchukua kwake tutamleta mtaani atakula mkong'oto wa paka mwizi halafu atakwenda jela bila kutetewa.

Matako sana hawa jamaa.
 
Wanamharibia ila bado anawaamini.

Huku mtaani raia wanamlalamikia sana tu , kama atakua anajua basi kaamua tu kuwa iwe hivi.

Ila kwa tatizo hili la umeme hana cv nzuri.
Wote hao wanufaika

Ova
 
Masaa zaidi ya 8 karibu nchi nzima inakosa umeme?

Kwenye nchi za watu waliopevuka akili hii ni sababu tosha kwa baraza kuvunjwa na kuundwa upya.

Kama si hivyo uongozi wote unaweza kuangushwa kwa maandamano ya wananchi wenye hasira

This is too much kwa kweli
Wanatuona manyani hawa
 
Dar Nzima Hakuna Umeme! [emoji777]
Mwanza Kirumba hakuna umeme[emoji777]
Arusha hakuna umeme[emoji777]
Iringa hakuna umeme[emoji777]
Tunduru - Hakuna [emoji777]
Songwe hakuna umeme[emoji777]
Ruvuma hakuna umeme[emoji777]
Manyara kiteto hakuna umeme[emoji777]
Shinyanga ushetu hakuna umeme[emoji777]
Kibaha maili moja hakuna umeme[emoji777]
Singida Town [emoji777]
Dom Town [emoji777]
Musoma Mara [emoji777]
Mzumbe moro [emoji777]
Soweto mbeya [emoji777]
532dfd0f9a09b6e335927b5ddc3bdc6c.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom