Tanesco yatangaza hitilafu, Mikoa iliyoungwa Gridi ya Taifa kukosa umeme

Matatizo ya Tanesco tatizo ni Wizara na waziri wake au tatizo ni Malkia wa Puerto Rico na genge lake?
Je Tanesco ni janga la taifa?
Je Waziri kahujumiwa kwenye hili ili kumchafua na km ambavyo waziri yule alivyohujumiwa mfumo wa malipo ya Luku 2021 hadi ikawa sababu ya kutumbuliwa?

Je kumtumbua Waziri mwenye dhamana ndiyo suluhisho?
Au Malkia Mu Puerto Rico na genge lake wanastahili kutumbuliwa?
Huku nilipo kisiwa cha Lampenduza hadi mda huu hamna um umeme.
 

Attachments

  • 1706866390274.mp4
    375.5 KB
Hawawezi, wenyewe wanasema ndipo “usalama wa nchi ulipo” by usalama wanajua wanachomaanisha…..

Walau basi waipe sekta binafsi baadhi ya operation, ili tupate wakum-hold accountable. Serikali yenu haina jadi ya kuwajibika, tutaendelea kulalamika hadi Masiah arudi.

Btw, Babu ile nyumba yetu ya wageni usisahau kutuwekea generator.
 
Sisi wana CCM tuna umeme, CHADEMA mnateseka mkiwa wapi? 🤣
 
Wafanyakazi wa shirika hili wanapaswa kufikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi kwa taifa
Wafanyakazi wa TANESCO nahisi walifukuzwa kimya kimya wote. Waliopo kazini ni wanafunzi wapo field.
Yaani,hii wiki ya pili sasa.

Af unanunua umeme, eti Debt Collected: 1500
Mtunyime umeme,af na hela zetu mchukue
 
Hivi hawa jamaa wanaijua PPM
PLANNED PREVENTIVE MAINTENANCE?
Wanaifanya?
Wana kitengo mahususi kwa ajili ya hii PPM?
 

Sijui ukiacha umbea, wivu, uzembe na ufisadi ni kitu gani kingine watanzania tunaweza.

Mashirika yetu kuyaendasha hatuwezi, tupo kama vilema wa fikra.
 
Mwarabu tu ndio ndio anaweza hizi changamoto. Mmarekani aliisha weka mitambo yake hapa lakini shida iko palepale. Hukumbuki Obama alipokuja alifungua mradi wa kuzalisha umeme?
 
Na hivi Sheria ya Usalama wa Taifa imefanyiwa mabadiriko ndiyo balaa 🙌

Ingekuwa Umri haujasogea sana ningeomba ridhaa Wananchi ili niwaongoze japo Kwa miaka 5 tu, changamoto ni kuwa nimezeeka.

Watanikuta nimelala Ikulu ama kwenye hafla za Kitaifa, katikati ya Hotuba wanakuta Kizee miye nauchapa Usingizi 😜

--------
Kule nimeweka Mjukuu, Kuna Vijana wakiingiaga mule huwa na kazi Moja tu ya kutoana Jasho hivyo ilikuwa considered awali kabisa 🤗
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…