Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
Songea hakuna, mbinga hakuna, namtumbo, hakuna njombe hakuna, humo mwote nimepita ndan ya masaa mawil nyuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili ukiona kwako umeme hakuna udhani uko mwenyewe tu.Wajanja sana eti "baadhi ya mikoa" ila kila sehemu hawana umeme.
Watu kigoma kama sio watanzania unaweza kukuta umeme upo.Ili ukiona kwako umeme hakuna udhani uko mwenyewe tu.
.🤣🤣🤣🤣🤣Tanesco kwa sasa ni chanzo cha vijana wengi kunyoa vichwa staili za ajabu ajabu
Kijana unakuta ni kondakta wa daladala basi likisubiri abiria anaingia saloon kunyoa ananyoa kichwa robo tu upande mmoja umeme wa Tanesco unakatika na basi linakuwa limeshajaa inabidi aende na robo kichwa kilichonyolewa hivyo hivyo akisingizia fasheni kujitetea kwa abiria wanaomshangaa lakini moyoni anaporomoshea matusi ya nguoni Tanesco kwa kumfanya aonekane kituko kwa abiria
.🤣🤣🤣🤣🤣Tanesco kwa sasa ni chanzo cha vijana wengi kunyoa vichwa staili za ajabu ajabu
Kijana unakuta ni kondakta wa daladala basi likisubiri abiria anaingia saloon kunyoa ananyoa kichwa robo tu upande mmoja umeme wa Tanesco unakatika na basi linakuwa limeshajaa inabidi aende na robo kichwa kilichonyolewa hivyo hivyo akisingizia fasheni kujitetea kwa abiria wanaomshangaa lakini moyoni anaporomoshea matusi ya nguoni Tanesco kwa kumfanya aonekane kituko kwa abiria
Taarifa imekaa kijanja janja hivi🤔Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake leo August 22,2023 kuwa kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo II.
“Hitilafu hiyo imesababisha mapungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kutokuwa kwenye mfumo wa usafirishaji umeme, hivyo baadhi ya maeneo kwenye Mikoa nchini yanakosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti”
“Jitihada za kurekebisha tatizo hilo zinaendelea na tutawataarifu Wateja wetu kila baada ya saa 4 kadri hali ya upatikanaji wa huduma ya umeme itakavyokuwa inaimarika”
“Shirika linawashukuru Wateja wake kwa uvumilivu katika kipindi chote ambacho huduma ya umeme inakosekana”
[emoji1787]wakongwe tunasema "jambo limezua jambo"[emoji1787]Tanesco kwa sasa ni chanzo cha vijana wengi kunyoa vichwa staili za ajabu ajabu
Kijana unakuta ni kondakta wa daladala basi likisubiri abiria anaingia saloon kunyoa ananyoa kichwa robo tu upande mmoja umeme wa Tanesco unakatika na basi linakuwa limeshajaa inabidi aende na robo kichwa kilichonyolewa hivyo hivyo akisingizia fasheni kujitetea kwa abiria wanaomshangaa lakini moyoni anaporomoshea matusi ya nguoni Tanesco kwa kumfanya aonekane kituko kwa abiria
Utoke mbinga ,mpaka namtumbo,alafu urudi uelekeo wa njombe ,masaa mawili tu,acha uongo jombaaSongea hakuna, mbinga hakuna, namtumbo, hakuna njombe hakuna, humo mwote nimepita ndan ya masaa mawil nyuma
Daaaah nimecheka saana yaaniTanesco kwa sasa ni chanzo cha vijana wengi kunyoa vichwa staili za ajabu ajabu
Kijana unakuta ni kondakta wa daladala basi likisubiri abiria anaingia saloon kunyoa ananyoa kichwa robo tu upande mmoja umeme wa Tanesco unakatika na basi linakuwa limeshajaa inabidi aende na robo kichwa kilichonyolewa hivyo hivyo akisingizia fasheni kujitetea kwa abiria wanaomshangaa lakini moyoni anaporomoshea matusi ya nguoni Tanesco kwa kumfanya aonekane kituko kwa abiria
saa ya kurudi kwa umeme hapo ndio kipengeleYani wamekata umeme kitambo halafu wanatumia future tense eti "hakutakuwa na umeme"
....Wastupid ![emoji35][emoji35][emoji35]....Yani wamekata umeme kitambo halafu wanatumia future tense eti "hakutakuwa na umeme"
....Wastupid ![emoji35][emoji35][emoji35]....Yani wamekata umeme kitambo halafu wanatumia future tense eti "hakutakuwa na umeme"
saa ya kurudi kwa umeme hapo ndio kipengeleYani wamekata umeme kitambo halafu wanatumia future tense eti "hakutakuwa na umeme"
Huko ni kawaida sanaKigoma hatuna umeme tangu saa mbili asubuhi.