TANESCO yatangaza hitilafu ya umeme, mikoa kadhaa kukosa huduma ya umeme

TANESCO yatangaza hitilafu ya umeme, mikoa kadhaa kukosa huduma ya umeme

Songea hakuna, mbinga hakuna, namtumbo, hakuna njombe hakuna, humo mwote nimepita ndan ya masaa mawil nyuma
 
Taarifa ipo tata
Tanesco kwa sasa ni chanzo cha vijana wengi kunyoa vichwa staili za ajabu ajabu

Kijana unakuta ni kondakta wa daladala basi likisubiri abiria anaingia saloon kunyoa ananyoa kichwa robo tu upande mmoja umeme wa Tanesco unakatika na basi linakuwa limeshajaa inabidi aende na robo kichwa kilichonyolewa hivyo hivyo akisingizia fasheni kujitetea kwa abiria wanaomshangaa lakini moyoni anaporomoshea matusi ya nguoni Tanesco kwa kumfanya aonekane kituko kwa abiria
.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Taarifa ipo tata
Tanesco kwa sasa ni chanzo cha vijana wengi kunyoa vichwa staili za ajabu ajabu

Kijana unakuta ni kondakta wa daladala basi likisubiri abiria anaingia saloon kunyoa ananyoa kichwa robo tu upande mmoja umeme wa Tanesco unakatika na basi linakuwa limeshajaa inabidi aende na robo kichwa kilichonyolewa hivyo hivyo akisingizia fasheni kujitetea kwa abiria wanaomshangaa lakini moyoni anaporomoshea matusi ya nguoni Tanesco kwa kumfanya aonekane kituko kwa abiria
.🤣🤣🤣🤣🤣
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake leo August 22,2023 kuwa kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo II.

“Hitilafu hiyo imesababisha mapungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kutokuwa kwenye mfumo wa usafirishaji umeme, hivyo baadhi ya maeneo kwenye Mikoa nchini yanakosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti”

“Jitihada za kurekebisha tatizo hilo zinaendelea na tutawataarifu Wateja wetu kila baada ya saa 4 kadri hali ya upatikanaji wa huduma ya umeme itakavyokuwa inaimarika”

“Shirika linawashukuru Wateja wake kwa uvumilivu katika kipindi chote ambacho huduma ya umeme inakosekana”

Taarifa imekaa kijanja janja hivi🤔
 
Kanda ya źiwa hakuna umeme tokea saa tatu. Nimebandika ndizi zangu za utumbo ile sufuria linaanza tu kuchemka mara umeme umekatika. Hapa sina hela ya gas yani inabidi kula migahawani kitu ambacho sipendi.
 
Tanesco kwa sasa ni chanzo cha vijana wengi kunyoa vichwa staili za ajabu ajabu

Kijana unakuta ni kondakta wa daladala basi likisubiri abiria anaingia saloon kunyoa ananyoa kichwa robo tu upande mmoja umeme wa Tanesco unakatika na basi linakuwa limeshajaa inabidi aende na robo kichwa kilichonyolewa hivyo hivyo akisingizia fasheni kujitetea kwa abiria wanaomshangaa lakini moyoni anaporomoshea matusi ya nguoni Tanesco kwa kumfanya aonekane kituko kwa abiria
[emoji1787]wakongwe tunasema "jambo limezua jambo"[emoji1787]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hata huku hamna nimekosa huduma muhimu kwaajili ya umeme upuuz tu
 
Tanesco kwa sasa ni chanzo cha vijana wengi kunyoa vichwa staili za ajabu ajabu

Kijana unakuta ni kondakta wa daladala basi likisubiri abiria anaingia saloon kunyoa ananyoa kichwa robo tu upande mmoja umeme wa Tanesco unakatika na basi linakuwa limeshajaa inabidi aende na robo kichwa kilichonyolewa hivyo hivyo akisingizia fasheni kujitetea kwa abiria wanaomshangaa lakini moyoni anaporomoshea matusi ya nguoni Tanesco kwa kumfanya aonekane kituko kwa abiria
Daaaah nimecheka saana yaani
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom