MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Nchi hii ina vituko sanaYani wamekata umeme kitambo halafu wanatumia future tense eti "hakutakuwa na umeme"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii ina vituko sanaYani wamekata umeme kitambo halafu wanatumia future tense eti "hakutakuwa na umeme"
Sawa wakuu, kwani tungefanyaje bana, wala hatuna neno, tumetulia tuli!“Shirika linawashukuru Wateja wake kwa uvumilivu
Walitangaza tangu Jana na walisema watakata alfajir,wamekata saa nne asubuhi,muwe mnafuatilia habari na taarifa za maana siyo mipira tu na umbeaSi wangetangaza tangu jana,, wamekata halafu ndo wanaleta tangazo🤓🤓
haya bhana ndugu msemajiWalitangaza tangu Jana na walisema watakata alfajir,wamekata saa nne asubuhi,muwe mnafuatilia habari na taarifa za maana siyo mipira tu na umbea
Si hitilafu? Wewe ukiamka unaumwa huwa ni ubabaishaji kumbe?View attachment 2724994
MY TAKE
Tsnesco waache ubabaishaji. Kuna wawekezaji wanaingia hasara kubwa na hakuna fidia wanayoipata
Tanesco huijui weweSi hitilafu? Wewe ukiamka unaumwa huwa ni ubabaishaji kumbe?
Halafu wajinga kama hawa hutaskia serikali ikiwazungumzia wala kuwakamata ila sasa wewe sema tu mkataba wa bandari ni wa hovyo utashangaa serikali itapotokea hutaamini 🤣Shame on you TANESCO! Mwanzoni zilikuwa ahadi kibao, sijui tutaenda kidijitali, sijui tutalipa kwa simu na umeme uende moja kwa moja kwenye mita, ....etc., etc. Mlichojua ni kutafuna pesa tu na kuja na porojo! Shame!