Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda umeme jua.Umerudi
...Asante January !...Ubabaishaji ni mwingi nchi hii.
Ili mradi wake wa solar ufanikiwe....Asante January !...
Muhimu tu iwe ni hitilafu kweli. Maana hamchelewi nyinyi kutengenezea mgao bandia, ili baadaue mpate sababu ya kuwaleta wale ndugu zenu wa IPTL, Aggreco, Dowans, Richmond, Symbion, na takataka nyinginie za upigaji.Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake leo August 22,2023 kuwa kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo II.
“Hitilafu hiyo imesababisha mapungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kutokuwa kwenye mfumo wa usafirishaji umeme, hivyo baadhi ya maeneo kwenye Mikoa nchini yanakosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti”
“Jitihada za kurekebisha tatizo hilo zinaendelea na tutawataarifu Wateja wetu kila baada ya saa 4 kadri hali ya upatikanaji wa huduma ya umeme itakavyokuwa inaimarika”
“Shirika linawashukuru Wateja wake kwa uvumilivu katika kipindi chote ambacho huduma ya umeme inakosekana”
Halafu muone mambo ya mkataba !?!wangetangaza mapema tuchaji simu zetu full, ona sasa
Tangu time immemorial hapa ar !!Mwanza ni masaa mawili sasa yamepita hakuna umeme
Malizeni bwawa la Rufiji, pumbavu sanaShirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake leo August 22,2023 kuwa kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo II.
“Hitilafu hiyo imesababisha mapungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kutokuwa kwenye mfumo wa usafirishaji umeme, hivyo baadhi ya maeneo kwenye Mikoa nchini yanakosa huduma ya umeme kwa nyakati tofauti”
“Jitihada za kurekebisha tatizo hilo zinaendelea na tutawataarifu Wateja wetu kila baada ya saa 4 kadri hali ya upatikanaji wa huduma ya umeme itakavyokuwa inaimarika”
“Shirika linawashukuru Wateja wake kwa uvumilivu katika kipindi chote ambacho huduma ya umeme inakosekana”
Tanesco kwa sasa ni chanzo cha vijana wengi kunyoa vichwa staili za ajabu ajabu
Kijana unakuta ni kondakta wa daladala basi likisubiri abiria anaingia saloon kunyoa ananyoa kichwa robo tu upande mmoja umeme wa Tanesco unakatika na basi linakuwa limeshajaa inabidi aende na robo kichwa kilichonyolewa hivyo hivyo akisingizia fasheni kujitetea kwa abiria wanaomshangaa lakini moyoni anaporomoshea matusi ya nguoni Tanesco kwa kumfanya aonekane kituko kwa abiria