TANESCO yatangaza hitilafu ya umeme, mikoa kadhaa kukosa huduma ya umeme

Huu umeme umeondoka na upatikanaji wa Whatsapp!? Ama MB zangu zijeisha?
 
Muhimu tu iwe ni hitilafu kweli. Maana hamchelewi nyinyi kutengenezea mgao bandia, ili baadaue mpate sababu ya kuwaleta wale ndugu zenu wa IPTL, Aggreco, Dowans, Richmond, Symbion, na takataka nyinginie za upigaji.

Binafsi nitaanza kudunduliza fedha kiasi ili niweke tu mfumo wa solar kwenye kaofisi kangu, kama backup. Maana mpaka muda huu hali si hali.
 
Malizeni bwawa la Rufiji, pumbavu sana
 
[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
WANEANDIKA TAARIFA KAMA MATAHIRA.

ole wake Tanzania Tusipo isaidia.
 
'Preventive Maintenance Schedule' isipotekelezwa kwa Wakati tatizo hili halikwepeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…