Sio tu makini pia alikua seriously na kazi yake πππππππππππππShahidi alikuwa makini sana inaonekana
Kunawatu wanateseka na mapenzi sanasaa kadhaa kabla ya kujinyonga alisikiliza wimbo wa Dear X kwa takribani mara 60 na alipoambiwa inatosha akachukia na kuondoka.[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote majibu ya Polisi lazima yawe ya ajabu ajabu tu, mnafanya uchunguzi na the same time mnasema alikua mlevi wa dawa za kulevya!!Hata hivyo Kaimu Kamanda wa Polisi amesema Jumaa alikuwa Mtumiahi mkubwa wa dawa za kulevya kama vile heroin na pombe kali na hivyo Polisi inaendelea na uchunguzi kuweza kufahamu chanzo cha tukio hilo.
Hata hivyo Kaimu Kamanda wa Polisi amesema Jumaa alikuwa Mtumiahi mkubwa wa dawa za kulevya kama vile heroin na pombe kali na hivyo Polisi inaendelea na uchunguzi kuweza kufahamu chanzo cha tukio hilo.
Dj aliyekuwa anaplay[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo asikilize mara 60..
Nani aliye hesabu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji120][emoji120][emoji120]
Kukosaa helaa hasaa ndio ttz madam kwakwel kutokea Kwa afya ya akili..Alikuwa na tatizo la Afya ya akili
Kuna shahidi hapo...Kwanza nani alisikiliza ππ
Alisahau tu kuchukuaa video vile akilirudi lingoma lenyewee maana Lina vibe ukickilizia Kwenye mdundo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shahidi alikuwa makini sana inaonekana
Mimi nijiue nimuachie nani mtoto wa mtu? Tukiachana tunarudiana.Sisi wengine huku ndio mapenzii yamenoga kama Mtoto na Soda,,Acha Tu niwe Kichaa wa mapenzi lakini kujiua nikaacha ugali,,maziwa mtindi,,dagaa na mboga za majani,,hapana Kwa Kweli!!
Huyo ndo ahojiwe huenda kunavitu anajuqπKuna shahidi hapo...
Anasema alisikiliza mara 60 kabla ya kuchukua maamuzi magumu et...
ππππ ebu kuweni serious jamani khaa πππππ kwahyo alipoambiwa inatosha akachukia ππππππππππ dah aiseeeesaa kadhaa kabla ya kujinyonga alisikiliza wimbo wa Dear X kwa takribani mara 60 na alipoambiwa inatosha akachukia na kuondoka.[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ukamuacha huyo anayekupa utamu wenyewee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], uckubali mkuu kuutoa uhai wakoSisi wengine huku ndio mapenzii yamenoga kama Mtoto na Soda,,Acha Tu niwe Kichaa wa mapenzi lakini kujiua nikaacha ugali,,maziwa mtindi,,dagaa na mboga za majani,,hapana Kwa Kweli!!
Si Ndio Sasa!!Hakuna kung'ata mbao kiboya!!Mimi nijiue nimuachie nani mtoto wa mtu? Tukiachana tunarudiana.
Hakuna namna.
"""saa kadhaa kabla ya kujinyonga alisikiliza wimbo wa Dear X kwa takribani mara 60 na alipoambiwa inatosha akachukia na kuondoka""Huyo ndo ahojiwe huenda kunavitu anajuqπ
Kuweni serious bana πππππππππππDj aliyekuwa anaplay[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni weledi mno wa mapenzi na wakipenda wamependa kama mimi tuu[emoji848][emoji2827][emoji17]Kunawatu wanateseka na mapenzi sana
Bonge la ngoma kiukweliAlisahau tu kuchukuaa video vile akilirudi lingoma lenyewee maana Lina vibe ukickilizia Kwenye mdundo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Rip