proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
mh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahera rangi tatuTaira mwingine yupo haera madukan
too sad hakika Bro,View attachment 2791565
Huduma za afya ya akili hapa kwetu ni kama hazipo; na watu hudhani kuwa mtu kuwa "kichaa" ni mpaka aokote makopo au atembee uchi na kuchokora majalalani. Watu wengi wana msongo wa mawazo, kukata tamaa na wako suicidal lakini hakuna anayejali.
Ishu za mapenzi hizi; na zinginezo mara nyingi ni trigger tu lakini kunakuwa na sababu za ndani ambazo mtu anakuwa amehangaika nazo kwa muda mrefu peke yake gizani bila msaidizi. Halafu akijiua ndiyo tunaanza kumlaumu na hata kumcheka kwamba hakuwa na kifua. Kumbe ni mgonjwa wa akili wa muda mrefu. Sad!
Ngoja namimi niufute huo wimbo kwenye kifaa changu.
Nisije kuusikiliza mara 60 kama mwenzangu then nikafanya maamuzi magumu 😅
Kweli Bongo Nyoso 🙌
Mapenzi hayaangalii kipato, yakiamua kukutesa yatakutesa hadi ukonde uwe kama namba 1.Tajiri na wewe unateswa na mapenzi😁😁
Kweli huu mchezo wa kuchovya hauna mwenyewe 😁Mapenzi hayaangalii kipato, yakiamua kukutesa yatakutesa hadi ukonde uwe kama namba 1.
Binafsi nashukuru sijabahatika kuteswa nayo, Mungu huwa ananisaidia Mahusiano yangu yote huwa nainjoi tu 🤗
😆😆😆😆#HABARI Jumaa Khamisi (32), aliekuwa mkazi wa kijiji cha Kipumbwi Mji Mkuu Wilayani Pangani Mkoani Tanga amejinyonga mpaka kufa huku chanzo kikihisiwa kuwa ni msongo wa mawazo uliosababishwa na kuachana na mpenzi wake ambapo kabla ya kufanya tukio hilo alisikiliza wimbo wa Dear Ex wa Mario takribani mara 60.
Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kipumbwi Mji Mkuu, Mwanaidi Abbasi amesema kabla ya tukio hilo Jumaa alifika nyumbani kwake majira ya saa moja asubuhi kufata vitafunio ndipo baadaye jioni alipopata taarifa za tukio hilo la kujinyonga kwa kijana huyo.
Haji Said ambaye ni Rafiki wa marehemu amesema mara ya mwisho kuachana na Jumaa alimuaga anaenda kupumzika lakini hakumueleza changamoto yeyote ambayo inamkabil.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga kupitia kwa Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Maketi Msangi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema limetokea October 22,2023 ambapo Jumaa alijinyonga na chandarua kwenye chumba cha mdogo wake hadi kupelea kufariki
#EastAfricaTvView attachment 2791674
Hahaha............Vijana ndiyo wako hatarini zaidi lakiniKweli huu mchezo wa kuchovya hauna mwenyewe 😁
Balaa😆😆😆😆