Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa niaba ya da donatila , " Hizo nyimbo zina nguvu za kishetani ,na wana miziki wengi wa kidunia wameingia maagano kwenye madhabau za kipepo ,ukiwa hauna Yesu ndani yako lazima shetani akuvae ukizisikiliza hizo nyimbo".[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawewe unauliza maswali haya😂😂😂😂Kwanza nani alisikiliza 😀😀
Aisee kweli dada mkubwa 😂 😂 😂 , tunasema haya.Kunawatu wanateseka na mapenzi sana
Yaani mdogowangu acha tu mtu anajiua hivihiv aiseeAisee kweli dada mkubwa 😂 😂 😂 , tunasema haya.
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌Kwa niaba ya da donatila , " Hizo nyimbo zina nguvu za kishetani ,na wana miziki wengi wa kidunia wameingia maagano kwenye madhabau za kipepo ,ukiwa hauna Yesu ndani yako lazima shetani akuvae ukizisikiliza hizo nyimbo".[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nguvu ya kusikiliza inaweza kuwa na athari kubwa kwenye utendaji wa mtu kwa njia kadhaa:😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Kw upande wako min -me umejifunza nini hapo...?
Unazani kingetokea nini kama angesikiliza mara 90 😂😂😂😂🙌
Duhsaa kadhaa kabla ya kujinyonga alisikiliza wimbo wa Dear X kwa takribani mara 60 na alipoambiwa inatosha akachukia na kuondoka.[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa sijamuelewa kwahiyo alikuwa anahesabu mpaka ikafika 60!!Kijana Jumaa Khamisi (32) amefariki dunia mara baada ya kujinyonga katika kijiji cha Kipumbwi Mji Mkuu Wilayani Pangani Mkoani Tanga huku ikihisiwa kuwa chanzo ni stress za kimapenzi kwakuwa Jumaa aliachana na Mpenzi wake na saa kadhaa kabla ya kujinyonga alisikiliza wimbo wa Dear X kwa takribani mara 60 na alipoambiwa inatosha akachukia na kuondoka.
Mwenyekiti wa Kitongoji cha Kipumbwi Mji Mkuu, Mwanaidi Abbasi amesema kabla ya tukio hilo Jumaa alifika nyumbani kwake majira ya saa moja asubuhi kufata vitafunio ndipo baadaye jioni alipopata taarifa za tukio hilo la kujinyonga kwa kijana huyo, “Wakati namwandalia vitafunio aliingia ndani kwangu akawa anaangalia TV na nyimbo ambayo alichagua ni Dear X, alisikiliza kariba mara 60 ile ambayo Msanii inaimba nikimrudia EX wangu bora kufa.”
Kwa upande wake Haji Said ambaye ni Rafiki wa marehemu amesema mara ya mwisho kuachana na Jumaa alimuaga anaenda kupumzika lakini hakumueleza changamoto yeyote ambayo , “Sisi tunadhani chanzo ni mapenzi maana alikuwa na Mtu wake kwakweli wakapanga mipango yao hadi wanamaliza aliingia kidudu mtu kati ndio akakavuruga fulani hivi nadhani hicho ndo chanzo kikubwa.’’
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga kupitia kwa Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Maketi Msangi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema limetokea October 22,2023 ambapo Jumaa alijinyonga na chandarua kwenye chumba cha mdogo wake hadi kupelea kufariki.”
Hata hivyo Kaimu Kamanda wa Polisi amesema Jumaa alikuwa Mtumiahi mkubwa wa dawa za kulevya kama vile heroin na pombe kali na hivyo Polisi inaendelea na uchunguzi kuweza kufahamu chanzo cha tukio hilo.
Hapana. Alikuwa na tatizo la Akili ya Afya ambalo lenyewe halina tiba kama yalivyo matatizo mengine. Tatizo la Afya ya Akili lina tibaAlikuwa na tatizo la Afya ya akili