Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
[emoji2][emoji2]dah inauma kiukweliTanga wanaita Soni- Mombo (kupenda mserereko)Jamaa mshenzi sana hapo ukute kala msosi kwanza bure, kajifutia taulo la jamaa, na pia kala mashine bure, kalala kwenye kitanda cha jamaa na kaambiwa kojolea nje nisipate mimba kachafua shuka za watu, hapo unaponaje kwa mfano.
NakaziaKuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.
Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.
Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.
Revenge kwa zambi ya zinaa?Akipata wakili mzuri mahakamani anachomoka, labda sasa huko uraiani ndugu wa marehemu wa'take revenge..
ndio amchakatie kwangu kwanini wasifanye gesti huko ambako sitaona.Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.
Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.
Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.
Kama hakufanya maandalizi kwa ajili ya kuua na ameua pale pale na muda uleule,atapatwa na manslaughter kwa defense ya provocation lakini mvua kadhaa zitamuhusu.Akipata wakili mzuri mahakamani anachomoka, labda sasa huko uraiani ndugu wa marehemu wa'take revenge..
Hapo kapotoshwa na mwanamke!
Kukivuka hicho kihunzi lazima uwe "rijali" wa kichwa na akili hasa.
Nadhani alipumbazwa kwa kuelezwa kirahisi tu kuwa: "huyo mjinga kasafiri hayupo, kwanini tupoteze pesa za gesti, twende tukalale tu nyumbani kwangu mume wangu".
Akitaka kuipinga hiyo hoja anaambiwa: "mimi huyo jamaa namjua hawezi kurudi", "au haunipendi"?
Mwanaume akisikia kauli toka kwa mwanamke: "au haunipendi", huwa ni sawa na kupigwa na kitu kizito, unanyong'onyea na kuishiwa pozi.
Nguvu ya puchi,achana kabisa na kitu inaitwa papuchi.ndio amchakatie kwangu kwanini wasifanye gesti huko ambako sitaona.
baada ya kuua , unakwenda Jela maisha au kunyongwa ......huku mkeo anaendelea kugegedwa na jamaa kuhamia kabisa nyumbani kwako..sasa hapo umepata au umepatikana?Tanga wanaita Soni- Mombo (kupenda mserereko)Jamaa mshenzi sana hapo ukute kala msosi kwanza bure, kajifutia taulo la jamaa, na pia kala mashine bure, kalala kwenye kitanda cha jamaa na kaambiwa kojolea nje nisipate mimba kachafua shuka za watu, hapo unaponaje kwa mfano.
😂Tanga wanaita Soni- Mombo (kupenda mserereko)Jamaa mshenzi sana hapo ukute kala msosi kwanza bure, kajifutia taulo la jamaa, na pia kala mashine bure, kalala kwenye kitanda cha jamaa na kaambiwa kojolea nje nisipate mimba kachafua shuka za watu, hapo unaponaje kwa mfano.
Hii hanyongwi mtu... jamaa anachomoka mchana kweupeeee.. kama vile kuuwa jambazi tu... kuna njia nyingi za kujitetea kwenye hili..baada ya kuua , unakwenda Jela maisha au kunyongwa ......huku mkeo anaendelea kugegedwa na jamaa kuhamia kabisa nyumbani kwako..sasa hapo umepata au umepatikana?
Akipata wakili mzuri mahakamani anachomoka, labda sasa huko uraiani ndugu wa marehemu wa'take revenge..
Nakubaliana na wewe mkuu,lakini huoni kuwa mgoni alikuwa na kosa,haiwezekani uende kwa familia ya mwanamme mwenzako kufanya ufusika na mke wake,Hilo Ni kosa kubwa sana,lakini tambua kuwa mwenye mke angezembea kidogo angeuliwa na huyu mgoni,maana kufikia hatua ya kwenda kwa mwanamme mwenzako unakuwa umejiandaa,sidhani Kama utaenda mikono mitupu utadhani unaenda kupeleka injili.Kuua mtu kwa sababu ya mwanamke wako eti amechepuka ni upumbavu wa kiwango cha juu sana.
Lazima tuelewe jambo moja, mwili wa mwanamke ni mali yake binafsi, akiamua kumpa mtu yeyote ni haki yake. Wewe unachopaswa kufanya ni kuachana nae tu.
Sasa unaua mtu unafungwa unaacha wengine wanaendelea kumla bila shida yoyote unakua imefaidika na nini kama sio upumbavu.