Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
Niseme tu huu utamaduni wa kusafirisha maiti, umepitwa na wakati, halafu ni riski kubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coaster iliyokuwa imebeba mwili wa marehemu na abiria 26 Ikitokea Dar es Salaam Kuelekea Moshi Kilimanjaro kwa ajili ya mazishi.[emoji848][emoji2827]
Marehemu hakuwa tayari kusafirishwa? Ama kuna mtu hakupenda awepo kwenye msafara?
Poleni sana wajomba poleni sana akina Mrema. Hawa waliopata ajali ndiko bibi yangu alikozaliwa. Baba yangu angekuwa kwenye coaster hii aisee leo ningekuw nalia sana. .
Its very sad. Marehemu kafa na watoto wake watatu. Msiba mkubwa Rombo siamanzi kubwa sana ndugu zangu. .
Huwa tunasikia msiba za ajali ila usisikie kwa watu wa nyumbani very sad indeed. .
Raha ya millennium uwaangazie ee Bwana. .
Tuwaulize nyie wa Rohoni ambao mna dunia nyingine mnayoijua , hao watu waliokuwa wanasindikiza walitakiwa kufanyeje ..... Mana sa hv inasingiziwa maiti , kana kwamba Magari ya maiti hayatakiwi kupata ajali
Nakumbuka walipiga marufuku kusafiri usiku imekuaje tena? Usiku risk ni kubwa sana na madereva weng wanalalaView attachment 2505507View attachment 2505508View attachment 2505511
Picha za Ajali
Ndugu waandishi wa Habari na Ndugu wananchi wa Mkoa Wa Tanga na Tanzania kwa ujumla Nimepokea kwa masikitiko makubwa tukio la Ajali Mbaya iliyotokea usiku wa leo. Ajali hiyo imehusisha Magari mawili na kusababisha Vifo vya watu 17 na Majeruhi 12 Pamoja na Uharibifu mkubwa wa Magari hayo..
Ajali ilitokea Tarehe 03/02/2023 Majira ya Saa 4.30 Usiku Eneo la Magila Gereza Kata ya Magila Gereza Tarafa ya Mombo Wilayani Korogwe, Barabara Kuu ya Segera - Buiko.
Magari yaliyohusika na Ajali hiyo ni Gari Na T.673 CUC aina Mitsubish Fuso Ikiendeshwa na Dereva ambaye Jina Lake Halijafamika iligonga na Gari T.863 DXN aina ya Coaster Coaster Iliyokuwa imebeba Mwili wa Marehemu n Abiria 26 iliyokea Dar es Salaam Kuelekea Moshi Kilimanjaro kwa mazishi.
Ajali hii inasababisha Vifo 17 na Majeruhi 12. Ambao Majina yao wote Hayajafahamika. Miili ya Marehemu imehifadhiwa katika Hospitali yetu ya Wilaya Ya Korogwe na Majeruhi 10 Wamehamishiwa Hospitali ya Mkoa wa Tanga Bombo na Majeruhi 2 wamebaki Hospital ya Korogwe Kwa Matibabu.
Chanzo cha Ajali ni Mwendo Kasi na Uzembe wa Dereva wa Gari Na :T.673 CUC M/Fuso Kulipita gari la mbele Bila Ya kuchukua Tahadhari na kugongana Uso kwa uso Gari Na :T.863 DXN T/Coaster
Tukio la Ajali Baada ya kukaguliwa , Magali yote yameshaondolewa barabarani na Sasa Barabara inapitika.
Mgumba T. Omary
Mkuu wa Mkoa Wa Tanga.
Natokea mkuu mangiAisee,ni wa Rombo sehemu gani mkuu?
Acha tu yani ni pigo kubwa sana kwa familia. .Ooh, ndugu yangu pole yetu sana. Poleni mno. Inatisha sana. Sisi wengine wako hukohuko kuzika maana misiba imefatana so najua watakua huko2. Ni huZuni sana kwa wnaa mrema. Ni watatu tayari? Yewomii[emoji119][emoji119][emoji119]
Chanzo cha ajali ni uzembe wa madereva wote wawili, wameshindwa kuendesha gar kwa kujihami zaidi!!Walimuuliza marehemu kama anataka kupelekwa kwao..?
Natokea mkuu mangi
Hahahahaha wewe, Mshana Jr, Kila kitu unataka kukitafsiri na kuleta maelezo ya kidadisi.Coaster iliyokuwa imebeba mwili wa marehemu na abiria 26 Ikitokea Dar es Salaam Kuelekea Moshi Kilimanjaro kwa ajili ya mazishi.[emoji848][emoji2827]
Marehemu hakuwa tayari kusafirishwa? Ama kuna mtu hakupenda awepo kwenye msafara?
Kijiji cha Ubaha. Unashuka posta ya zamani unaelekea shule ya ubaha unafika sehemu panaitwa maviloni. Hapo unaweza uliza ukaelekezwa. .Sawa meku,lakini nilitaka kujua hawa marehemu kwao ni Rombo sehemu gani?pole kwa usumbufu
Kijiji cha Ubaha. Unashuka posta ya zamani unaelekea shule ya ubaha unafika sehemu panaitwa maviloni. Hapo unaweza uliza ukaelekezwa. .
au unashuka kiboro unapanda mpaka ukute njia panda then hapo unauliza. .
Poleni sana ndugu yangu, poleni mno .Poleni sana wajomba poleni sana akina Mrema. Hawa waliopata ajali ndiko bibi yangu alikozaliwa. Baba yangu angekuwa kwenye coaster hii aisee leo ningekuw nalia sana. .
Its very sad. Marehemu kafa na watoto wake watatu. Msiba mkubwa Rombo siamanzi kubwa sana ndugu zangu. .
Huwa tunasikia msiba za ajali ila usisikie kwa watu wa nyumbani very sad indeed. .
Raha ya millennium uwaangazie ee Bwana. .
Poleni sana missWatoto wa marehemu wamefariki. Ni kijiji jirani na kwetu[emoji26]
Kifo hakina huruma
Pole kwa wote,