Tanga: Milioni 21 waliyoiomba Wazee kwa ajili ya Tambiko yakwamisha Ujenzi wa Barabara

Tanga: Milioni 21 waliyoiomba Wazee kwa ajili ya Tambiko yakwamisha Ujenzi wa Barabara

Katika taarifa za Karibuni kutoka KWAMSISI Kiongozi wa Serikali ameomba hela za Tambiko zaidi ya Millioni 20 kuwa ni nyingi kuliko walizowahi kutoa mahali pengine Tanzania.

Ni Lazima TANROAD kulipa hela hizo ili Wazee watambike ili Barabara ijengwe? Manufaa ya Barabara ni ya haohao wanaotaka kutambika.

Katika Karne hii ya 21 bado tunapaswa kuendekeza mambo ya Malipo ya MATAMBIKO? Kuna Mahali Viongozi wetu uwezo wao wa kufikiria umegota.

Naomba Viongozi wa DINI wasitumike na Serikali kwenye dhifa tu. Wawape majukumu kama hayo badala ya kuwapa ulaji akina Yerico Nyerere!.
 
Katika taarifa za Karibuni kutoka KWAMSISI Kiongozi wa Serikali ameomba hela za Tambiko zaidi ya Millioni 20 kuwa ni nyingi kuliko walizowahi kutoa mahali pengine Tanzania.

Ni Lazima TANROAD kulipa hela hizo ili Wazee watambike ili Barabara ijengwe? Manufaa ya Barabara ni ya haohao wanaotaka kutambika.

Katika Karne hii ya 21 bado tunapaswa kuendekeza mambo ya Malipo ya MATAMBIKO? Kuna Mahali Viongozi wetu uwezo wao wa kufikiria umegota.

Naomba Viongozi wa DINI wasitumike na Serikali kwenye dhifa tu. Wawape majukumu kama hayo badala ya kuwapa ulaji akina Yerico Nyerere!.
Yaani nafikiria kama barabara zote Nchini haziwezi jengwa bila matambiko,naona zile barabara zilizojengwa huko Uchagani zingewatajirisha sana wale Wazee wa kimila huko Uchagani, maana matambiko ya Wachaga si chini ya Million 100! Wazee wa kichaga wange demand hicho kiasi ndiyo wafanye matambiko!!
 
Nyerere mwenyewe aliasisi tambiko la MWENGE ambalo linatutesa sana linatugharimu pesa nyingi tofauti na hiyo 15m.
Uhuru Touch sio ushirikina kama unavyosema ingawa kukimbiza mioto ni dhambi kwa Mwenyezi Mungu soma Ufunuo wa Yohana. Olympic touch hukimbizwa dunia nzima cha msingi ni ujumbe unaowakilisha.
 
Hii nchi tunaelekea pabaya sana aisee.

Tunafikia hatua ya kuamini mambo ya kishirikina hadi kutumia mamilioni ya wananchi kuyapeleka milima korelo?
Nani kakuambia kuwa ni ushirikina ama kisa umeshikwa akili na wazungu na waarabu.
Kuna kukumbuka ama siku kuu za watakatifu waliotangulia mbele zahaki.
Watuombee wao Wana Mana gani. Kuwa mwafrika sio ujifanye kuwa ni ya kizamank kisa unavyo vikaratasi vitatu,viwili ama usikute unacho kimoja umeshikwa kichwa kuwa ndo maendeleo ama ndo akili kisa unayo elimu ama tamaduni ya mweupe
 
Nani kakuambia kuwa ni ushirikina ama kisa umeshikwa akili na wazungu na waarabu.
Kuna kukumbuka ama siku kuu za watakatifu waliotangulia mbele zahaki.
Watuombee wao Wana Mana gani. Kuwa mwafrika sio ujifanye kuwa ni ya kizamank kisa unavyo vikaratasi vitatu,viwili ama usikute unacho kimoja umeshikwa kichwa kuwa ndo maendeleo ama ndo akili kisa unayo elimu ama tamaduni ya mweupe
Umeandika utumbo mtupu
 
Umeandika utumbo mtupu
Kulingana na uelewa wako uko sawa. Two men one says yes and another say no both are equal.
Si najua umesoma afu unajiona mzungu ama mwarabu mpaka mavazi chakula na jina unaitwa la kwao ama nakosea
 
mm ningekuwa serikali hicho kijiji chao tungekiruka pakawa vumbi halafu tunasonga mbele kwa vijiji vingine
 
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Kijiji cha Kwa Msisi Mkoani Tanga ambapo imeombwa kwanza hela ya Tambiko mil 21 ili ujenzi wa barabara unaohusisha ukataji wa miti uendelee.

Tambiko la pili litafanyika baada ya barabara hiyo kukamilika ambapo wazee watafanya dua maalum. Juhudi za Mkuu wa Wilaya kuomba punguzo zinaendelea.

Habari kamili hii hapa

Hiyo barabara ipite Kilimanjaro sisi tutajitolea bure mashamba yetu ya kahawa ipite umo.
 
Hivi juzi tu nimesikia kwenye habari ya kwamba Serikali inasema haiwezi kutoa kiasi cha pesa walichotaja hao wazee. Kwakuwa barabara zinahitajika sehemu nyingi mi naona bora wapeleke sehemu nyingine, hao wazee wa Tanga waendelee na mizimu yao
 
 
Back
Top Bottom