KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,370
- 5,381
Hivi umeisoma taarifa vizuri.Ujauzito sio Dharura, Huyo mjamzito alikua ana Miezi 9 ya kujiandaa kifedha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi umeisoma taarifa vizuri.Ujauzito sio Dharura, Huyo mjamzito alikua ana Miezi 9 ya kujiandaa kifedha.
Mwogope Mungu, usilete dharau msibaniUjauzito sio Dharura, Huyo mjamzito alikua ana Miezi 9 ya kujiandaa kifedha.
Mama mjamzito, Mariam Zahoro (30) Mkazi wa Kijiji cha Mumbwi Wilayani Handeni, Tanga amefariki dunia akiwa kwenye Kituo cha Afya Kabuku kilichopo Wilayani humo ikidaiwa kuwa alikosa huduma ya upasuaji baada ya kushindwa kulipa Tsh. 150,000 alizotakiwa kutoa kwa ajili ya huduma hiyo.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia November 11 kwenye Kituo hicho ambapo Mama mzazi wa marehemu, Hadija Athumani amesema Wahudumu hawakumfanyia Mwanae operesheni kwa kudai hela ya matibabu.
“Nilinyanyasika nikatukanwa kama mbwa alitakiwa kufanyiwa operesheni hawakuweza kumfanyia kwasababu hatukuwa na hela na Mimi ni fukara, Mwanangu aliniita akasema Mama njoo hapa nakufa sasa Mimi sina uwezo nikaka pale akawa anasema Mama nishike mkono, amama nishike kichwa, nililala chini sikuwa na cha kufanya akanipa mkono akaniambia Mama nakufa ndipo alipofariki”
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Handeni Albert Msando amesema Serikali inalifanyia uchunguzi jambo hilo ili kubaini chanzo cha tukio.
Watoa huduma ya afya wapo sahihi.Mama mjamzito, Mariam Zahoro (30) Mkazi wa Kijiji cha Mumbwi Wilayani Handeni, Tanga amefariki dunia akiwa kwenye Kituo cha Afya Kabuku kilichopo Wilayani humo ikidaiwa kuwa alikosa huduma ya upasuaji baada ya kushindwa kulipa Tsh. 150,000 alizotakiwa kutoa kwa ajili ya huduma hiyo.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia November 11 kwenye Kituo hicho ambapo Mama mzazi wa marehemu, Hadija Athumani amesema Wahudumu hawakumfanyia Mwanae operesheni kwa kudai hela ya matibabu.
“Nilinyanyasika nikatukanwa kama mbwa alitakiwa kufanyiwa operesheni hawakuweza kumfanyia kwasababu hatukuwa na hela na Mimi ni fukara, Mwanangu aliniita akasema Mama njoo hapa nakufa sasa Mimi sina uwezo nikaka pale akawa anasema Mama nishike mkono, amama nishike kichwa, nililala chini sikuwa na cha kufanya akanipa mkono akaniambia Mama nakufa ndipo alipofariki”
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Handeni Albert Msando amesema Serikali inalifanyia uchunguzi jambo hilo ili kubaini chanzo cha tukio.
Kila sehemu na utaratibu wake.Haospitali Zingine wanaweka deni , siku ya kutoka unadaiwa , hapo inabidi wawajibishwe hao wahusika
Ficha ujinga na upumbavu wako.Mungu wangu, chozi limenitoka! Kufiwa kupo ila sio kwa kukosa namna ya kumsaidia mwanao, hasa kifedha!
Mungu ampe mama yake marehemu faraja.
Wahusika wachukuliwe hatua kali kwa haraka!
Hakuna sababu ya kutosheleza ya kusababisha kifo cha mama na mtoto kwa ukosefu wa fedha.
Nani ambaye hajatenda haki hapo?Operational hospital za serikali siku hzi unalipia sehemu nyingine 240,000. ila hawajamtendea Haki.
Watanzania ni waajabu sana wanapenda kuangalia kitu kwa upande mmoja.Mambo ni mengi sana. Kama hawakuwa na vifaa na vilihitajika kununuliwa wahudumu wangevitoa wapi?
Wewe unaweza kufanya kazi bila kupewa pesa?Wapuuzi kabisa siku hizi utu hakuna pesa mbele! Pesa yafaa nini kwenye uhai wa mtu
Ndio maana yake,sasa watu wameshamudumia unataka pesa isilipwe?Inasikitisha sana na bado unakuta hospital inakatalia mwili wa marehemu mpaka malipo yatakapofanyika
Embu nitajie hivyo vifaa vya bure.Ni Bure Sana sana ni vifaa labda kama ni private ,Serikalini najua ni Bure na sijawahi sikia kulipia
Wote wachukuliwe hatua akiwemo na mwanaume aliyemtia mimba na nduguze huyo mwanaume wakamatwe.kwa kutia mimba.na kutowajibika hata kutoonekana tu hapo hospitalini wanaachia mama mkwe anahangaika peke yakeMungu wangu, chozi limenitoka! Kufiwa kupo ila sio kwa kukosa namna ya kumsaidia mwanao, hasa kifedha!
Mungu ampe mama yake marehemu faraja.
Wahusika wachukuliwe hatua kali kwa haraka!
Hakuna sababu ya kutosheleza ya kusababisha kifo cha mama na mtoto kwa ukosefu wa fedha.
Mama mjamzito, Mariam Zahoro (30) Mkazi wa Kijiji cha Mumbwi Wilayani Handeni, Tanga amefariki dunia akiwa kwenye Kituo cha Afya Kabuku kilichopo Wilayani humo ikidaiwa kuwa alikosa huduma ya upasuaji baada ya kushindwa kulipa Tsh. 150,000 alizotakiwa kutoa kwa ajili ya huduma hiyo.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia November 11 kwenye Kituo hicho ambapo Mama mzazi wa marehemu, Hadija Athumani amesema Wahudumu hawakumfanyia Mwanae operesheni kwa kudai hela ya matibabu.
“Nilinyanyasika nikatukanwa kama mbwa alitakiwa kufanyiwa operesheni hawakuweza kumfanyia kwasababu hatukuwa na hela na Mimi ni fukara, Mwanangu aliniita akasema Mama njoo hapa nakufa sasa Mimi sina uwezo nikaka pale akawa anasema Mama nishike mkono, amama nishike kichwa, nililala chini sikuwa na cha kufanya akanipa mkono akaniambia Mama nakufa ndipo alipofariki”
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Handeni Albert Msando amesema Serikali inalifanyia uchunguzi jambo hilo ili kubaini chanzo cha tukio.
Sahihi kabisaUjauzito sio Dharura, Huyo mjamzito alikua ana Miezi 9 ya kujiandaa kifedha.
Uchunguzi wa nn? Kwani kuna utaratibu serikali imeweka ya kusaidia watu katika haya mazingira,Mama mjamzito, Mariam Zahoro (30) Mkazi wa Kijiji cha Mumbwi Wilayani Handeni, Tanga amefariki dunia akiwa kwenye Kituo cha Afya Kabuku kilichopo Wilayani humo ikidaiwa kuwa alikosa huduma ya upasuaji baada ya kushindwa kulipa Tsh. 150,000 alizotakiwa kutoa kwa ajili ya huduma hiyo...