Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hakuna sehemu ambapo pesa haipewi kipaumbele, ndio maana kila kukicha watumishi wanalia lia wapandishiwe mishahara.Kwa hakika pesa imefanywa kipaumbele kwenye vituo vya huduma za kijamii. Yaani badala ya kuwa na roho ya utu na ubinadamu watu wanatanguliza maslahi. Kwa hakika wote waliohusika katika hili nafsi ya huyo mama itawatesa mpaka wanaondoka duniani.
Tuje kwako, unaweza kufanya kazi bure kisa tu huruma?