Ntakuzibua
JF-Expert Member
- Oct 3, 2018
- 714
- 1,253
Umaskin unaua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini wasimfanyie operation then wamdai !? Yaani utaacha mtu afe kisa laki na nusu!??hapo shida n serikali na mjamzito sio wahudumu wa afya
Huwezi acha mtu ajifie hapo aise!Hakuna cha dharau hapo, kila mmoja atimize majukumu yake.
Hivi kushika shika damu za watu vile mnaona ni kitu kidogo?
Kabisa bora wawajibishwe!Haospitali Zingine wanaweka deni, siku ya kutoka unadaiwa, hapo inabidi wawajibishwe hao wahusika
Na kuwafungulia mashitaka ya kuua kwa kusudiaWafutwe kazi na kunyimwa haki zao za msingi hasa mafao
Kumbe Dr.Sasa hao ilikuaje wamuchaji 150k?Nlipo nazifanya hizo , ni Bure hawalipii hata thumuni.
Acheni kubeba mimba,kama hamna uwezo .Uzuri kuzaa si lazima.Mama mjamzito, Mariam Zahoro (30) Mkazi wa Kijiji cha Mumbwi Wilayani Handeni, Tanga amefariki dunia akiwa kwenye Kituo cha Afya Kabuku kilichopo Wilayani...
Makonda ni nani katika nchi hii mpaka atumie rasilimali zote hizi wakati watoto wetu wanakaa chini mashuleni!!View attachment 2813490Na akina mama wajawazito wanakufa huko Handeni kwa kukosa huduma?
Aisee....Na akifariki, mwili hautoki Hadi ndugu walipe pesa ya mwisho!!
Maiti inadaiwa!!
Buree? Juzi tu shemeji yangu kajifungua Kwa operation hospital ya serikali jumla ya gharama ilikuwa128,000.labda kama pesa yote hiyo ni ya vifaa. Za kuambiwa changanya na zako. Wanasiasa wa afrika waongo waongo sanaNi Bure Sana sana ni vifaa labda kama ni private ,Serikalini najua ni Bure na sijawahi sikia kulipia
Samia anaruhusu ufujaji wa kipumbavu wa huyu Zerobrain huku wazazi wanakufa kwa kukosa huduma za kujifungua.
Tunalipia mkuu Hadi kuzaa kawaida sikuhizi ni pesa ,sikuhizi kuanzia klinik Hadi kujifingua.
Atasema ccm inahudumia wajawazito na watoto bure.Hilo linawezekana pasi na shaka.
Huko ni kwa Mheshimiwa waziri wa afya, ngoja tusikie atasema nini.
Mimi naona wewe ndio mpumbavu kuliko unayemdhania. Umeambiwa ile hospitali ni private? Hakuna kodi yake pale?Ficha ujinga na upumbavu wako.
Kumbuka hao wahudumu wa afya nao wana familia zinawategemea...