Tanga: Mjamzito afariki dunia kituo cha afya kwa kukosa Tsh. 150,000


View: https://www.instagram.com/p/Cznm2qpiBWZ/?igshid=MXM3Z3RnNmRmcDBkaw==
 
Watoa huduma ya afya wapo sahihi.

Hivi kuna sehemu unaweza kwenda ukahudumiwa bure? .

Wahudumu wa afya ili wapate pesa ni lazima wewe uumwe utoe pesa utibiwe ndipo nao wapate pesa.

Heshimuni kazi za watu acheni kuwakandamiza.
 
Haospitali Zingine wanaweka deni , siku ya kutoka unadaiwa , hapo inabidi wawajibishwe hao wahusika
Kila sehemu na utaratibu wake.

Wagonjwa wakitibiwa bila kutozwa hela na wakafanikiwa kuondoka tabu mnawaachia watoa huduma kulipa madeni yasiyo nakichwa wala miguu.

Wewe unaweza ukamfanyia mtu kazi bila kukulipa?
 
Ficha ujinga na upumbavu wako.

Kumbuka hao wahudumu wa afya nao wana familia zinawategemea.

Wewe unaweza kumuhudumia mtu bila kukulipa?

Tuchukulie mfano mdogo tu ,nenda hata kwa mama ntilie kaombe ugali hata wa elfu 1 uwaambie njaa inakuuma unakaribia kufa na pesa ya chakula huna uone kama utapewa hicho chakula.
 
Wote wachukuliwe hatua akiwemo na mwanaume aliyemtia mimba na nduguze huyo mwanaume wakamatwe.kwa kutia mimba.na kutowajibika hata kutoonekana tu hapo hospitalini wanaachia mama mkwe anahangaika peke yake
 


Makonda huko anapita na kuropoka wakati mfumo hausaidii watu maskini wakati wa uitaji.

Hii nchi ni ya hovyo, na ukipata fursa ondoa kizazi chako wakaishi ulaya au hata Botswana.

Kila siku mambo ya hovyo na ya kishenzy yanaendelea, Makonda anagawa hela huko barabarani.

Msaada wa nchi hii upo kwenye kurekebisha mifumo na sio Bongo movie za ccm.
 
Uchunguzi wa nn? Kwani kuna utaratibu serikali imeweka ya kusaidia watu katika haya mazingira,

Nachukia nakuumia mpaka nawaza hii dunia mtu ananyanyasikaje hivyo kwa ajili ya 200,000/-

...hole country, inauma sana, sana haya mambo, kafa, helplessly mtoto wa watu.
 
Chanzo cha Umasikini Tanzania ni CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…