Tanga: Mjamzito afariki dunia kituo cha afya kwa kukosa Tsh. 150,000

Inaumiza sana [emoji3064]
 
Hata ili KIZIMKAZI litapita bila kuchukua atua yyte. Watanganyika tuamke mm na familia yangu pamoja na ukoo tumeamka. Hakuna anacho weza zaidi y kuteua na kutengua tu. Iyo KAZI Yuko tayri kuifanyia kila wiki,mwezi na mwaka.
 
Na hiyo ndiyo concern yangu, nchi hii umaskini wa kipato ni mkubwa sana haswa huku vijijini. Serikali inakosea sana na kuwa weka wahudumu wa afya kwenye wakati mgumu sana, uhai wa mtu hauna mbadala, wawe wanatibiwa then wanachi tunaambiwa tuwachangie tu, kama serikali imeamua iwe hivyo.
ndugu yangu hakuna bure
Mkuu wa wilaya akasema ni bure, wewe unapinga
 
Umasikini mbaya sana ,masikini maisha yake ni yakubahatisha Kila nyanja daah so sad [emoji24]
 
Wenzao wanaweka kama deni ila wakati tayari amepata huduma asa why hawa walimfanyia ukatili huo kama ni kweli kuna ulazima madaktari kuwajibishwa vikali ila serikali yetu hii utakuta anahamishiwa kituo​
 
Kwa upande wa pili, hili tukio ukilisikiliza vizuri, linaonekana kama huyu mama alifanyiwa upasuaji ila wapasuaji wakakosea na kupelekea mama kufariki dunia.

Baada ya hapo watu wakaogopa MURDER CASE wakaona bota iwe ni jinai hiyo angalau wanaweza kuikabili

Ukiwasilkiliza vizuri mashahidi pamoja na mume wa mtu; inaonyesha kabisa kuwa hawa watu hawakuwa willing kumdai mama huyu pesa kabla ya upasuaji

Hili tukio inabidi Serikali walianggalie vizuri na wajiridhishe kama kweli tunachokisikia ndiyo hicho kilchotokea

Kuna uwezekano mkubwa watu wamekwepesha MURDER CASE hapa
 
Oooh haya peleka mkeo bure uone
 
Umaskini sio kitu chemaaaa..either una bima au beba helaaa otherwise utaishia kuchukia tu watoa huduma au upoteze uhai.
 
Sikitiko kuu ni pale wananchi hilo jambo hawaliamini .

Ukijikita una huruma ndiyo mwanzo wa kusema umehujumu mapato .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…