Ndo nmekuulza,unataka mtoa huduma atoe pesa zake ampatie huyo mama halafu akanunue hivyo vifaa? Kwa nini wasiende kuongea na muuza duka awape vifaa kwa makubaliano ya kuletewa pesa baadae?Wewe unaweza acha mtu afe kisa kakosa hivyo vitu jamani 🫣
Inaumiza sana [emoji3064]Mama mjamzito, Mariam Zahoro (30) Mkazi wa Kijiji cha Mumbwi Wilayani Handeni, Tanga amefariki dunia akiwa kwenye Kituo cha Afya Kabuku kilichopo Wilayani humo ikidaiwa kuwa alikosa huduma ya upasuaji baada ya kushindwa kulipa Tsh. 150,000 alizotakiwa kutoa kwa ajili ya huduma hiyo.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia November 11 kwenye Kituo hicho ambapo Mama mzazi wa marehemu, Hadija Athumani amesema Wahudumu hawakumfanyia Mwanae operesheni kwa kudai hela ya matibabu.
“Nilinyanyasika nikatukanwa kama mbwa alitakiwa kufanyiwa operesheni hawakuweza kumfanyia kwasababu hatukuwa na hela na Mimi ni fukara, Mwanangu aliniita akasema Mama njoo hapa nakufa sasa Mimi sina uwezo nikaka pale akawa anasema Mama nishike mkono, amama nishike kichwa, nililala chini sikuwa na cha kufanya akanipa mkono akaniambia Mama nakufa ndipo alipofariki”
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Handeni Albert Msando amesema Serikali inalifanyia uchunguzi jambo hilo ili kubaini chanzo cha tukio.
Pia soma > Watumishi 3 wasimamishwa kazi kwa kusababisha Kifo cha Mjamzito kisa hajatoa Tsh. 150,000
Kwenye kundi la mamba kenge kama wewe hawakosekani.Ujauzito sio Dharura, Huyo mjamzito alikua ana Miezi 9 ya kujiandaa kifedha.
Umaskini mbaya sana
Ndio wamtukane sasa huyo Mama?Mambo ni mengi sana. Kama hawakuwa na vifaa na vilihitajika kununuliwa wahudumu wangevitoa wapi?
Na hiyo ndiyo concern yangu, nchi hii umaskini wa kipato ni mkubwa sana haswa huku vijijini. Serikali inakosea sana na kuwa weka wahudumu wa afya kwenye wakati mgumu sana, uhai wa mtu hauna mbadala, wawe wanatibiwa then wanachi tunaambiwa tuwachangie tu, kama serikali imeamua iwe hivyo.Ethically hawakuwa Sawa hata thumni ila systematically wako sawa ...
Kwanini kun vitu kuu mbili kubwa hapo Ya kwanza ni ethics Hapo akipelekwa kwenye vikao vya Baraza la Taaluma kafanya Negligence iliosababisha kifo so yuko Hatiani..
Lakini lets Assume alimtibu mgonjwa na hakutoa hela hiyo ni vita nyingine ya Pili ni vita ya kimapato ambayo ndo hiyo vita ya system..
Haya matukio huwa ni magumu sana kuamua ikifika hapa..
Ndo maana kuna muda me nagombana na watu sana ni bora kutoa na kumuombea mgonjwa temporary Exemption hata kama itakucost Posho yako ila sio Kusababisha kifo
Mkuu wa wilaya akasema ni bure, wewe unapingandugu yangu hakuna bure
Ndio umuache apoteze maisha kwa sababu hakujiandaa kifedha?Ujauzito sio Dharura, Huyo mjamzito alikua ana Miezi 9 ya kujiandaa kifedha.
Mkuu acha kulinganisha maisha Yako na wengine mkuu ,familia zingine kupata hata Hiyo laki Hadi ukoo mzima ukae vikao zaidi ya vitatu .Ujauzito sio Dharura, Huyo mjamzito alikua ana Miezi 9 ya kujiandaa kifedha.
Usikute aliye mpa mimba kamtelekeza, pia miezi tisa sio garatii yakupata 150000,mwaka unaisha mtu hujatumiza hata robo ya malengo Yako na unapambana Kila siku ,maisha hatufanani mkuuUjauzito sio Dharura, Huyo mjamzito alikua ana Miezi 9 ya kujiandaa kifedha.
Serikali ni watuWauguzi warudishwe kazini mara moja. Upumbavu ni wa serikali.
Kwa upande wa pili, hili tukio ukilisikiliza vizuri, linaonekana kama huyu mama alifanyiwa upasuaji ila wapasuaji wakakosea na kupelekea mama kufariki dunia.Mama mjamzito, Mariam Zahoro (30) Mkazi wa Kijiji cha Mumbwi Wilayani Handeni, Tanga amefariki dunia akiwa kwenye Kituo cha Afya Kabuku kilichopo Wilayani humo ikidaiwa kuwa alikosa huduma ya upasuaji baada ya kushindwa kulipa Tsh. 150,000 alizotakiwa kutoa kwa ajili ya huduma hiyo.
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia November 11 kwenye Kituo hicho ambapo Mama mzazi wa marehemu, Hadija Athumani amesema Wahudumu hawakumfanyia Mwanae operesheni kwa kudai hela ya matibabu.
“Nilinyanyasika nikatukanwa kama mbwa alitakiwa kufanyiwa operesheni hawakuweza kumfanyia kwasababu hatukuwa na hela na Mimi ni fukara, Mwanangu aliniita akasema Mama njoo hapa nakufa sasa Mimi sina uwezo nikaka pale akawa anasema Mama nishike mkono, amama nishike kichwa, nililala chini sikuwa na cha kufanya akanipa mkono akaniambia Mama nakufa ndipo alipofariki”
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Handeni Albert Msando amesema Serikali inalifanyia uchunguzi jambo hilo ili kubaini chanzo cha tukio.
Pia soma > Watumishi 3 wasimamishwa kazi kwa kusababisha Kifo cha Mjamzito kisa hajatoa Tsh. 150,000
Oooh haya peleka mkeo bure uoneNa hiyo ndiyo concern yangu, nchi hii umaskini wa kipato ni mkubwa sana haswa huku vijijini. Serikali inakosea sana na kuwa weka wahudumu wa afya kwenye wakati mgumu sana, uhai wa mtu hauna mbadala, wawe wanatibiwa then wanachi tunaambiwa tuwachangie tu, kama serikali imeamua iwe hivyo.
Mkuu wa wilaya akasema ni bure, wewe unapinga
Sikitiko kuu ni pale wananchi hilo jambo hawaliamini .Tatizo lenu mnaendekeza siasa za CCM. Naomba nkueleweshe mkuu.
Ili Cesarean section ifanyike utahitaji vitu vifuatavyo.
1.Madripu ya Maji (Utaandikiwa Idadi)
2.Nyuzi za kushonea (Utaandikiwa Idadi)
3.Gauze
4. Mipira ya kuvaa mikononi
5.Surgical Blade.
Hivyo ni baadhi tu.
Hivyo basi kwa kuwa hizo bidhaa hutolewa bure vituoni,huwa havikidhi mahitaji..mzigo unaweza kuja leo kutoka MSD ambao ukakidhi kwa akina mama watano tu kwa mwezi,hao wengine wakija automatically mzigo umeisha. Hivyo ili afanyiwe Cesarean section anaandikiwa aende dukani akanunue ili afanyiwe. Maana huwezi kufanya bila hivyo vifaa.
Ndo maana nimekuuliza,unataka mtoa huduma afanyaje? Je watoe pesa zao mifukoni?
Serikali yenu inawalaghai kuwa vifaa vipo mahospitalini na nyie mnaamini.lakini kiuhalisia mahitaji hayatoshelezi. Vifaa vinavyo letwa na MSD ni vichache ukilinganisha na mahitaji husika.. na isitoshe hutumika bure hivyo vichache pale vinapo kuja.