Hayo ni matope sio akili ! Wajerumani wangeendelea kujadili ubaya wa Hitler wasingekuwa walivyo leo vinara wa uchumi katika bara la Ulaya !!Hapo nakuunga mkono Kwa asilimia 100, Mtoto aliyezaliwa wakati Nyerere ametoka kwenye uongozi wengine wanaitwa Babu huku mtu analalamika kwasababu ya Nyerere. hiyo ni akili kweli
Bado wewe ni mtumwa wa akili. Kwani walilazimisha lugha ya Kiingereza kitumike, walishindwa nini kuandika mkataba Kwa kiswahili kama Kiingereza inawashindaMadudu Matupu ,
Munadanganyika na Ukubwa wa miili yao na uzuri wa suti zao
Watanganyika waliosomeshwa na Nyerere hawajui sheria wala kiengereza
Matope. !!Hawa kweli wanaweza kuwa na uwezo mdogo wa akili au wanapotosha Kwa makusudi. Usingizie Nyerere Kwa ufisadi unaofanyika sasa? Hii ni akili kweli?
Nakumbuka mlipuko wa furaha kifo cha Nyerere Zanzibar. Hio yote ni chuki ya Tanganyika ambayo leo wanagawana kama shamba la Bibi.Mtu kuwa kilaza/fisadi Kwa sasa Nyerere aliyefariki zaidi miaka 23 iliyopita anahusikaje?
Wapemba ndiyo watawala wa Zanzibar kwa sasa au wakati wowote baada ya Mapinduzi?Wema wa Mwalimu Nyerere ndio unaomsababisha Wapemba wenye chuki leo wamtukane.
Waingereza walipompa visiwa vya Zanzibar badala ya kumuacha kinyago Sultani walichokichonga wenyewe Waingereza baada ya kumpora Mreno kisiwa mwaka 1836.
Mwalimu Nyerere angeunda tu Tanzania ya serikali moja.
Kwa huruma yake kwa hawa Wapemba wanaomtukana leo kawaruhusu kuwa na kijiserikali chao.
Mwaka jana eti hata katiba ya Tanzania imebadilishwa itamke Zanzibar ni nchi?
Ikifuatia mabadilika ya katiba ya Zanzibar ya 2010 aliotengeneza Aman Karume aliekuwa na nia ya kuvunja Muungano hadi alianzisha vikundi vya kigaidi vilivyofadhiliwa na Mamlaka ya Mapato Zanzibar.
Leo Wapemba wamejaa huko bara kila idara na teuzi za kimkakati kabisa za kuihujumu na kuicontrol Tanganyika.
Ardhi na visiwa vya Tanganyika vimeporwa juzi tu wamesainiana eti hadi visiwa vilivyoko kusini mashariki mwa Daressalaam eti bado ni ramani ya Zanzibar, maana yake Dar imeporwa bahari, mfano kisiwa cha Latham, wavuvi wa Dar wanaitwa Fungu Mbaraka, sikuizi kimebadilishwa jina kinaitwa Fungu Kizimkazi.
Watumishi Wapemba waliokula neema huko Dodoma kwa kula kuku kwa mrija na kubebwa kwa misafara, mfano DC Sadiiiifa Jumwa kurudi huku Unguja nasikia huko Wilayani kwake Kaskazini A anawaambukiza wanawake wa asili ya Tanganyika kwa makusudi kabisa huku akijua yeye sio mzima tena kwa kuwabaka wengine na kesi zipo lakini analindwa.
Huku town huja na kuranda kwenye Mabar kuwatafuta wabongo awaangamize bila huruma.
Nimetoa mifano midogo tu ya Wapemba na hujuma ambayo hapa tunaona ncha tu, watafika mbali sana katika kuihujumu Tanganyika, wao wote lao ni moja, asikudanganye mtu, na ndio maana asilimia 100 yao wapo chama cha upinzani cha Hizbu kwa sasa wameikodi ACT ila Zitto akizingua wao wanahama kwa sekunde moja tu na kwenda chama che agenda ya Zanzibar kuwa nchi kamili na muungano ubaki kama wa EAC au SADC.
Ukimuona Mzanzibari CCM chama cha Mwalimu Nyerere wanae mchukia ujue yupo kimaslahi, na ndio maana wanajisikia vibaya sana kuvaa kijani. Mimi mwenyewe sio CCM ila naandika ukweli the ground situation hapa serikalini znz nilipo hali ni mbaya, Mwinyi wanasema ni mwizi wa kuletwa tu na wabongo, hawamkubali.
Wazanzibari wangebaki tu Makamu wa Rais tu madhali kwao nchi yao ina hii serikali kamili, huko Tanganyika wangekuwepo kulinda maslaha ya Zanzibar tu ndani ya Muungano.
Namaanisha Wazanzibari wenye chuki.Wapemba ndiyo watawala wa Zanzibar kwa sasa au wakati wowote baada ya Mapinduzi?
okNamaanisha Wazanzibari wenye chuki.
Kushangilia kifo cha mtu ni upungufu wa uelewaNakumbuka mlipuko wa furaha kifo cha Nyerere Zanzibar. Hio yote ni chuki ya Tanganyika ambayo leo wanagawana kama shamba la Bibi.
Karume alikuwa muuaji alipata kinachostahili , msitafute sababu za uongo kwanini aliuliwa.Karume aliuawa mwaka 1972, aliacha chama cha ASP kikiwa madarakani. Miaka mitano baadaye ASP ikauunganishwa na TANU kuunda CCM.
Natafakari tu kama Karume alitaka vyama navyo viunganishwe, ikawa sababu ya kuuawa. 💬 🤔
1. Karume kauwawa na Wazanzibari wenye asili ya kiarabu hao hao ambae alioa kwao kumbe hawajasamehe ndugu zao kuondolewa, na taarifa yako lile lilikuwa jaribio la Mapinduzi mengine nchi irudi kwa Waarabu koko (Wamanga ambao wapo, yaani watoto maji ya kunde ya Waarabu wa zamani)Karume aliuawa mwaka 1972, aliacha chama cha ASP kikiwa madarakani. Miaka mitano baadaye ASP ikauunganishwa na TANU kuunda CCM.
Natafakari tu kama Karume alitaka vyama navyo viunganishwe, ikawa sababu ya kuuawa. 💬 🤔
Wewe huwa sikuelewi, tafsiri ulichoandika kwa Kiswahili.Kwani mkubwa nae ni CCM? Namaanisha huyo huyo unaemtetea. Amani Karume mentor wake hataki hata kuisikia CCM.
Nijibu tafadhli🤣
"Babu mzaa babu" alikufa, wanasema nyerere "hajafa".Kumlaumu Nyerere Kwa maisha ya mtanzania ni sawa na kumsingizia Babu mzaa Babu Kwa umaskini ulionao
Utakuwa mtu wa bara, huwezi kufahamu mentality ya Zanzibar. Yaani huyooooooo ni CCM damu nae au ndio kafuata neema tu kama walivyo Wazanzibari 100% wa kuzaliwa? Mzanzibari anakuwa na chuki ya chama cha Mwalimu Nyerere lakini wanafuata vyeo na pesa hivyo wanajificha, kila kila akipata fursa anavaa japo kwa siri rangi zao zamani nyekundu ya Cuf, sikuizi zambarau ya ACT ilimradi chama kinachounga mkono Mamlaka kamili ya Zanzibar.Wewe huwa sikuelewi, tafsiri ulichoandika kwa Kiswahili.
Sasa cha ajabu ni nini hapo?Utakuwa mtu wa bara, huwezi kufahamu mentality ya Zanzibar. Yaani huyooooooo ni CCM damu nae au ndio kafuata neema tu kama walivyo Wazanzibari 100% wa kuzaliwa? Mzanzibari anakuwa na chuki ya chama cha Mwalimu Nyerere lakini wanafuata vyeo na pesa hivyo wanajificha, kila kila akipata fursa anavaa japo kwa siri rangi zao zamani nyekundu ya Cuf, sikuizi zambarau ya ACT ilimradi chama kinachounga mkono Mamlaka kamili ya Zanzibar.
Swali ni je huyo sasa yaani huyo huyo je nae ni kindaki ndaki au ni kama Amani Karume ambae sio CCM lakini aliweza kuigiza hadi akapata urais wa Zanzibar?
Muulize mpinzani yeyote anajua Karume ni ACT.
Hakuna ulichoandika hapa.Huwezi kurekebisha makosa ya Nyerere wakati mifumo mibovu aliyoiasisi bado ipo na inatetewa vikali na wanaonufaika na mifumo hiyo mibovu. Ni hadi Watanzania watakapo pata shuluba ya kutosha na kuamka ndipo marekebisho ya mifumo ya nchi hii inaweza kufanyika. Kwa sasa wewe na wewe tuendelee kunwa bia za ofa na wanzuki.
Nyerere ana mazuri yake mengi. Lakini kwenye muundo huu wa Muungano, Katiba na siasa za ujamaa aliyoiasisi kwa nguvu zote alichemka.
Uko sahihi.Hallo,
Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.
Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.
Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.
Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.
Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.
Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.
Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Hujajibu, kwa hio ni CCM kweli au kafata pesa? Mana kuna siku kauli zamtoka kama zile za Karume kuwaita CCM mkutano mkuu Dodoma kuwa ni vichwa vya samaki tu ( japo alizidi Konyagi siku akinywa kwa chupa ya maji)Sasa cha ajabu ni nini hapo?
Hata hunielewi, wengi hamna akili ukiwemo, ndio maana hata nikisoma mengi uliyoandika, naona ni maneno machafu tu, inaonesha vile ubongo wako ulivyojaa uchafu pia.Wewe ama ni mnufaika wa mfumo uliopo au umeamua kuwa chawa mfumo uliopo bila kujitambua ndo maana unatoa ushuzi wako wa maharage ya mbeya. Mtanzania mwenye akili iliyokaa sawa hawezi kuutetea mfumo wa uendeshaji wa nchi uliopo. Haya yote muasisi wake n Mwalimu.