inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
QUR'AN ilishawaelekeza waislam wasiwafanye wakiristo wandani wao,wao wakamuweka mbele kwenye chama Chao wakampigia na chapuo,hata sheikh takadir aliposhtuka na kuwaonya,wakamgeuka,akawaambia watatawaliwa wao na vizazi vyao miaka mia,haikufika mbali,1967 makucha yakajitokezaHuyu jama kapokelewa na waislamu wa pwani wakamuamini wakamsaidia kwa harakati zote alivyo pata uraisi akaanza kubaguwa waislamu kisiasa na kielimu, kafiri ni kafiri ata umsaidie je atakuja kukupenda
Hawa wapuuzi yupo aliyewatuma kumtukana Nyerere baada ya udini wao kufeli, tutaendelea kwenda sawa tu mpaka kieleweke, haachwi mjinga yeyote nyuma.Hapo nakuunga mkono Kwa asilimia 100, Mtoto aliyezaliwa wakati Nyerere ametoka kwenye uongozi wengine wanaitwa Babu huku mtu analalamika kwasababu ya Nyerere. hiyo ni akili kweli
Kuna wapuuzi wametumwa kuja kusoma upepo, wanajaribu kwa Nyerere, wamefeli.Na huu ndio ukweli mchungu ! Yule Mzee alishaondoka na hatorudi tena !! Ina maana alikwenda akiwa amezifungia Akili zetu kabatini na funguo ameenda nazo ?!!
Basi siye wote ni hamnazo !!
Asp walilazimisha ili kuua chama Chao basi neno mapinduzi sharti liwepo kwenye chama kipyaMimi najiulizaga hata huo Muungano wa ASP + TANU = CCM.... yaani hapo hizo C, C na M wamezitoa wapi?
Wasiachwe, ni wapuuzi waliotumwa na watawala kuja kubadilisha upepo baada ya ule wa udini jana kufeli pale Temeke.Hawa kweli wanaweza kuwa na uwezo mdogo wa akili au wanapotosha Kwa makusudi. Usingizie Nyerere Kwa ufisadi unaofanyika sasa? Hii ni akili kweli?
Kuna akili ndogo zinaztaka kutawala hapa JF, sharti zipigwe matofali zikafie mbali.Hayo ni matope sio akili ! Wajerumani wangeendelea kujadili ubaya wa Hitler wasingekuwa walivyo leo vinara wa uchumi katika bara la Ulaya !!
Wao walichukua mazuri yake na wakayatupilia mbali mabaya yake !!
Kama tunamlaumu Nyerere leo miaka 25 (robo karne) tangu afariki dunia. Basi hatujielewi na hatutakuja kujiamulia mambo.Hallo,
Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.
Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.
Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.
Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.
Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.
Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.
Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Hayo ni mashetani tu, hayafai.Nakumbuka mlipuko wa furaha kifo cha Nyerere Zanzibar. Hio yote ni chuki ya Tanganyika ambayo leo wanagawana kama shamba la Bibi.
Kwamba miaka 24;ya utawala wa Nyerere Haina athari kwa Tanzania?!..kufukia shimo la miaka 24 so kazi ndogo, ujerumani ilichakaa WWII,Leo uchumi mkubwa ulaya,ilichukua miaka mingapi?..unajua nchi aliyorithi mwinyi!?..hovyo,raia viraka tu,njaa,shule hakuna,hebu fikiria mwinyi angerithi nchi kiuchumi imechangamka Kama kipindi Cha jakaya,Leo tungekua wapi?..scent ya Nyerere itakuwepo walau kwa miaka 30 ijayoHawa wapuuzi yupo aliyewatuma kumtukana Nyerere baada ya udini wao kufeli, tutaendelea kwenda sawa tu mpaka kieleweke, haachwi mjinga yeyote nyuma.
Huko alikoenda na asirudi kabisa.Hallo,
Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.
Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.
Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.
Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.
Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.
Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.
Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Hapo Nyerere alifeli sana.Kwa kosa hili alilofanya Nyerere, ndiomaana hadi leo Migodi ya Almasi, Dhahabu si mali ya Watanzania, Inaendelea kulipa madeni ya mali zile zilizotaifishwa.
Kama Hamjui basi muelewe.
Dunia ya leo ukivunja mkataba au kudhulumu maliza watu kwa mintarafu ya kisiasa, utaingiza nchi katika kulipa deni hilo hadi ifilisike.
Hivi hatuoni ajabu sisi kuwa tUnachimba Dhahabu lakini umasikini unaendelea kukua?
kulikoni?
Uko sahihi kabisa ila kinachoharibu Watanzania wengi ni mapenzi tu kwa mtu wanayemwamini.Kwamba miaka 24;ya utawala wa Nyerere Haina athari kwa Tanzania?!..kufukia shimo la miaka 24 so kazi ndogo, ujerumani ilichakaa WWII,Leo uchumi mkubwa ulaya,ilichukua miaka mingapi?..unajua nchi aliyorithi mwinyi!?..hovyo,raia viraka tu,njaa,shule hakuna,hebu fikiria mwinyi angerithi nchi kiuchumi imechangamka Kama kipindi Cha jakaya,Leo tungekua wapi?..scent ya Nyerere itakuwepo walau kwa miaka 30 ijayo
Umeandika ujinga mtupu, unanionesha tu ulivyo dhaifu na mvivu, ndio maana mnaishia kumlaumu Nyerere.Kwamba miaka 24;ya utawala wa Nyerere Haina athari kwa Tanzania?!..kufukia shimo la miaka 24 so kazi ndogo, ujerumani ilichakaa WWII,Leo uchumi mkubwa ulaya,ilichukua miaka mingapi?..unajua nchi aliyorithi mwinyi!?..hovyo,raia viraka tu,njaa,shule hakuna,hebu fikiria mwinyi angerithi nchi kiuchumi imechangamka Kama kipindi Cha jakaya,Leo tungekua wapi?..scent ya Nyerere itakuwepo walau kwa miaka 30 ijayo
Nyie ni wavivu na wazembe wa mabadiliko ndio maana hii Tanganyika bado iko hapa, wavivu wa kifikra na kiutendaji.Uko sahihi kabisa ila kinachoharibu Watanzania wengi ni mapenzi tu kwa mtu wanayemwamini.
Kila mmoja anajua kuwa wewe ni zezetaUmeandika ujinga mtupu, unanionesha tu ulivyo dhaifu na mvivu, ndio maana mnaishia kumlaumu Nyerere.
Hujawahi kuwa na uwezo wa kujibu hoja zangu, na kwa upeo wako na umri, hautakuwa nao mpaka unakufa.Kila mmoja anajua kuwa wewe ni zezeta
Wewe una hoja au manung'uniko?..ulishawahi jibu hoja yangu,hata hii ya Leo!?..wewe ni ng'ombe,endelea kutia ulimi puaniHujawahi kuwa na uwezo wa kujibu hoja zangu, na kwa upeo wako na umri, hautakuwa nao mpaka unakufa.
Sorry.