Umesema hakuna masihara. Basi biashara haziendeshwi hivo unavoendesha wewe. Watu WANAROGA. Kaa sasa hapa Jf ushauriwe na watu hawajawahi kuuza hata pipi.Sina mkuu
#naona umeamua kumchana wima wimaUmesema hakuna masihara. Basi biashara haziendeshwi hivo unavoendesha wewe. Watu WANAROGA. Kaa sasa hapa Jf ushauriwe na watu hawajawahi kuuza hata pipi.
Mkuu unajihusisha na biashara ya aina ganiSorry mkuu,
Me
#akifanya hivi atakua amefanikiwa kupata cheti chamilembe moja kwamojaTumia mkojo wako wa asbubui nawa mikono na uo mkojo mwingne utie kweny maji ogea mwingne tia kweny maji mwaga mbele ya duka lako kama unatoa vumbi, kama unaweza kunywa piga ata fundo moja
Ahsante mkuu,Tumia mkojo wako wa asbubui nawa mikono na uo mkojo mwingne utie kweny maji ogea mwingne tia kweny maji mwaga mbele ya duka lako kama unatoa vumbi, kama unaweza kunywa piga ata fundo moja
Hardware ya vifaa vidogo vidogoMkuu unajihusisha na biashara ya aina gani
#hili swali nikama analikwepa hiviMkuu unajihusisha na biashara ya aina gani
😭AiseUmesema hakuna masihara. Basi biashara haziendeshwi hivo unavoendesha wewe. Watu WANAROGA. Kaa sasa hapa Jf ushauriwe na watu hawajawahi kuuza hata pipi.
Mwenyewe, ndugu yanguPole sana.
Hilo duka unauza mwenyewe au umeweka mtu?
Mwambie pia adekie na maji ya chumvi ya mawe atie kidogo na asali mbichi kama ni Hali ya mkono wa mtu itapotea duka litavutiaTumia mkojo wako wa asbubui nawa mikono na uo mkojo mwingne utie kweny maji ogea mwingne tia kweny maji mwaga mbele ya duka lako kama unatoa vumbi, kama unaweza kunywa piga ata fundo moja
#amesema tangia asubui hajauza hata mia _bado unauliza kama anauza mwenyewe au kaweka mtu 😁😁Pole sana.
Hilo duka unauza mwenyewe au umeweka mtu?
Umeiba sehemu ya Mungu ambayo ni zaka na malimbukoBiashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.
Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭
Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwa nini huu ugumu wote huuu.
Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu,
Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukataa mmbaya nikaambulia madeni,.
Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
Si una waambia huna mke#amini nakwambia__mkeo akiwa mzuri mtajikuta mnakaa hata wiki
Ila kama anasura yababaake siku mbili mnaambiwa tiba yenu ishakamilika
#amesema hapati kitu_hio yakutoa anapata wapi..?Umeiba sehemu ya Mungu ambayo ni zaka na malimbuko
Mkuu maumivu ya nini mkuu tukuelekeze mlo uondokane nayo.Maumivu boss, hiyo Hali usiombe ikukute
Nimeshamuelekeza hapo juu ila pia atambue hiki ni kipindi Cha mwezi mgumu mambo yanakuaga taiti sanaH
#hili swali nikama analikwepa hivi