Tangu Mungu amuulize Adamu, Adamu uko wapi? Wanaume hatupendi kabisa kuulizwa hilo swali

Mifano gani sasa, ambayo haina ushahidi
Unataka nianze kurudia upya wewe maswali yangu yamekushinda nimekugonga maswali unashindwa, hujui kuzimu miaka 1000 ni sawa na siku ngapi? Hujui Yesu alikufa mwaka gani? Huoni km hapa unanipa wakati mgumu wa kukuelewesha vitu vingi hujui?
 
Hebu tafuta ushahidi urudi hapa mkuu, nakusubiri, maandiko uliyotoa hayana uthibitisho wowote, ukijibiwa hivi unatafuta swali lingine, ukijibiwa hivi unatafuta swali lingine
Wewe maswali yangu umesema haujui Yesu alikufa mwaka gani? Haujui na huko kuzimu miaka 1000 ni sawa na siku ngapi? Haujui, hivi nikikuongeza maswali mengine si utapasuka humu
 
Unataka nianze kurudia upya wewe maswali yangu yamekushinda nimekugonga maswali unashindwa, hujui kuzimu miaka 1000 ni sawa na siku ngapi? Hujui Yesu alikufa mwaka gani? Huoni km hapa unanipa wakati mgumu wa kukuelewesha vitu vingi hujui?
Mkuu umeshindwa kuthibitisha hoja ya msingi, hilo kubali, maana ungekuwa unajua wewe ungesema miaka 1000 kuzimu ni sawa na siku ngapi, mimi si nimeishindwa.

nimekuambia kuhusu mbinguni kwa ushahidi, kuzimu kuhusu siku haijandikwa kama unajua weka hapo. ili mradi tubaki na hoja yetu ya msingi ambayo bado haujathibitisha kwa masaa matano sasa
 
Wewe maswali yangu umesema haujui Yesu alikufa mwaka gani? Haujui na huko kuzimu miaka 1000 ni sawa na siku ngapi? Haujui, hivi nikikuongeza maswali mengine si utapasuka humu
Wewe mwenyewe hujui, umeshindwa kuithibithisha hoja yako kwa ushahidi, kwamba Mungu ndio shetani side B, na umekubali kuwa shetani amefungwa, nilitaka unithibitishie hapo kwa namna gani huku awe amefungwa ,huyo huyo huku ni Mungu sawa sawa na hoja yako
 
Kwa hio wewe unaleta mstari ukiwa haujui maana yake? Ndio maana nakwambia unaokoteza mistari ila maana yake haujui
 
Sijakubari km Shetani amefungwa huoni nimekuuliza hapo ulipo Shetani hayupo? Hivi ulikua unajua namaanisha nini popote ulipo Shetani yupo popote ulipo Side B ya Mungu ipo na Mungu yupo Side A wanakuchora tu, rudi bustanini ukamsome Adamu na Hawa utaelewa Jambo
 
Kwani mapenzi ya Mungu yalikuwa ni nini ambayo Yesu alikuja kutimiza
 
Kajielimishe dhana ya freewill (utashi-huru).
 
Yakobo 4:7

[7]Basi mtiini Mungu. Mpingeni Shetani, naye atawakimbia.

Nilikujibu kuwa nilipo hayupo
 
"Funua mwenge funika kichwa"
shilingi yenye mwenge upande wa pili kuna kichwa.
Mungu alipo ni lazima shetani awepo kupotosha
sasa mjumbe anasema Mungu huyo huyo upande A ni Mungu na upande B ni shetani yaani afanye kazi ya kujipotosha mwenyewe
 
😃😃😃😃Wewe ni hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…