Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Kizazi Cha ovyo sana hiki, kunyimwa utelezi, kuambiwa ujifunze kupika na uanze kufua unapatwa na makasiriko hivyo ? Take easy bro maisha ni mapambano .

Fuata ushauri huu.

Kwanza kubali kuwa uko kwenye kipindi Cha mpito kinachobadiri mtazamo wako juu ya maisha na ndoa. This season utajua nini maana ya kuomba kuwa na make supportive in this life na umhimu wa kuwa na uchumi imara.

Dharau zote unazohisi unafanyiwa ni mtazamo tu , potezea , kuwa positive, msaidie mkeo , Huku daily ukijipanga.


Utaona na kusikia mengi ila jipe moyo kipindi hiki kitapita. Omba Mungu tu wife akianza kukazwa nje asikuonyeshe waziwazi coz kwa hasira zako hizo unaweza kujitia kitanzi.

Mwisho , usiache kumpa Yesu maisha yako , atakuwa Mungu wako msaada utakaokusaidia upitapo kwenye bonde la uvuli wa mauti
 
Kabisa yaan
 
asante mkuu nmefikiria kuondoka mimi sababu tunaishi nyumba ya kupanga kuna kiwanja nilinunua kwa ajili ya ujenzi ila nmeishia kumwaga tofali tu kwanza
Pambania Mjengo wako kwanza,atakuja mwenyewe baada ya Mjengo kuisha! Si anapenda kamselelekoo!? Wwe mwachee atalipata analo litafuta!!!
 
Hakuna mwanamke wa kukaa mahali ambapo hapana uhakika hata ukaoe mzaramo wa Samvula Chole eti dela la shughuli hana kisa anakuvumilia *****.
Ebu msome tena mleeta maada, kasema "Mahitaji ya Nyumbani kwake anatimiza, yeye japokua Mke wake ana mshahara Mkubwa sana!!!"
 
Hapo dharau imezidi Mpige chini tu,

Kinachofuata hapo ni kuchapiwa
 
Hahahahaaa..... Jf sitoki.
 
asante mkuu nmefikiria kuondoka mimi sababu tunaishi nyumba ya kupanga kuna kiwanja nilinunua kwa ajili ya ujenzi ila nmeishia kumwaga tofali tu kwanza
Panga vitofali hapo site ziba tiribai anzia hapo,usikubali kuwa mtumwa
 
Jamaa anatakiwankazi yake online aiganyie away from home,then ajifanye kazini karudishwa kila kitu kitakuwa shwari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…