Kunywa Pepsi dada...nitalipia
Sure yani...unajikuta janaume limekaa km.furushi la mavi etc mume..hapana jmn..maisha sio marahisi
Unaoa mwanamke kazi yake ni kula na kunya. Kati ya mwanaume na mwanamke nani ni furushi? Hela yake ni yake.Sasa wewe ukimuangalia diamond unaona kuna mume wa mtu au baba wa familia pale au furushi
Na akijifanya KUKAZA Atakuja kupewa sumu huko ndani ajifiehii ndio sababu naipenda jamii forums mm kuna jamaa alipata matatizo mke alianza visa aisee yaan mwanamke akichange ni balaa mm si niliingilia ugomv ili niweke mambo sawa alimanusura nimwagiwe mafuta ya moto aisee na familia naijua very close since then nilijifunza kitu mwanamke akitaka kukuacha akwambii yeye anakufanyia visa ww ndio ujiongeze
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hili Liko nje ya uwezo wako bro pumzika tu.Sasa mwaka wa 5 huoni kuwa hicho kidume kinakutumikisha bila kukupandisha cheo uwe mke?
Huyo hatakiwi kumrudia hata kama akijirudi. Mungu ashamuonyesha rangi yake ilivyo why wanna go back.Mkuu kulinda heshima yako fanya haya
1. Kuwa jasiri usioneshe kumjali hata kidogo huyo mkeo
2. Anzisha mahusiano na mwanamke mwingine
3. Kama nyumba ni yako mwambie akapange humuhitaji tena
4. Weka mambo yako sawa ofisini au tafuta kazi au shughuli ya kufanya
Yakifanyika hayo atarud tena atakuomba na msamaha na atakupa haki zako zote kama mwanaume.
NakaziaWale mnaosemaga eti ukioa mkeo atakusapot ukipatwa na matatzo njoon hapa mropoke uharo wenu tena!!!
Kijana kataa ndoa
Ndoa ni ujambaz
Ndoa ni utapeli
Ndoa ni sekta ya kuwafaidisha wanawake
Ndoa ni jehanamu ya wanaume duniani
Ndoa ni njia nyepesi ya mwanaume kufirisika
Ndoa ni njia nyepesi ya mwanaume kufa
KIJANA KATAA NDOA.
Wanaume wanaokufa mapema wote wako ndoani. Hakuna Mwanaume single Ana mgonjwa ya presha sijui kisukariAkili za wanaume wasiotaka kuoa ni za kijinga mno..utakufa na naradhi
[emoji23][emoji23]Option B uwe unaondoka hm kabla hajaamk, na urudi keshalala, sometimes unukie pafyum za kike
wanawake wote wapo ivyo dunia hii uwez pata mke mwema 100 percent haupo na hatokuja kuwepo ivo unafik kwenye mahusiano ni lazimaHuyo hatakiwi kumrudia hata kama akijirudi. Mungu ashamuonyesha rangi yake ilivyo why wanna go back.
Nilichogundua we umebweteka ndani,yaani anaona huna mpango wa kupalangana kutafuta fulsa, ye ameona bila hiyo wake up call utaridhika kuwa house girl hapo nyumbani, mi kwa upande wangu naona yuko sawa tuHabari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.
Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).
Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.
Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.
Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;
~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.
~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.
~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.
Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.
Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Hao ndo wanasababishaga watu wajinyonge... Fikiria huna kazi halafu unaoneshwa dharau za hivo... si unajiua kabisaMimi issue yako ni kama yangu, yalinishinda nikaamua kumchana live arudi kwao. Aniache kwanza nijitafakari. Sawa sina kazi kwa sasa lakini nahudumia familia kwa kila kitu.
Dharau ni kitu sipendi kutoka kwa mwanamke. Bora nikae peke yangu kuliko kukaa na mtu anae kudharau ndani.
Sasa hvi yupo kwao pamoja na watoto na hvi ni likizo. huku mimi nipo naishi kibachela naendelea kujipanga upya namna ya kupambana na maisha. I believe nitatoboa tu.
neno hapana uhakika hapa limetumikaje? matumizi nyumbani ni mimi natoa japo kutokana na shida hela za matumizi yake binafsi sijampa kwa muda kidogo
"wanawake wote wapo ivyo..."[emoji118] BIG NOwanawake wote wapo ivyo dunia hii uwez pata mke mwema 100 percent haupo na hatokuja kuwepo ivo unafik kwenye mahusiano ni lazima
Nani aliyetaka kukumwagia maji ya moto?hii ndio sababu naipenda jamii forums mm kuna jamaa alipata matatizo mke alianza visa aisee yaan mwanamke akichange ni balaa mm si niliingilia ugomv ili niweke mambo sawa alimanusura nimwagiwe mafuta ya moto aisee na familia naijua very close since then nilijifunza kitu mwanamke akitaka kukuacha akwambii yeye anakufanyia visa ww ndio ujiongeze
Slay queen au siyo? Wazee wa kujirekodi tiktokUnaoa mwanamke kazi yake ni kula na kunya. Kati ya mwanaume na mwanamke nani ni furushi? Hela yake ni yake.
Siku hizi hakuna wanawake wa kuoa. Ni maslay queen tu waliobaki, watakuchuna na kukufirisi mwisho wa siku wanakukimbia unapokuwa na shida hata uwafanyie jambo gani zuri hawana shukrani.
Maslay queen huwa wanafikiri ndoa ni starehe yaani wahudumiwe kwa kila kitu kazi yao ni kula na kunya tu halafu hufikiri kila siku kutakuwepo na hela, watu hawaumwi na kingine hela zikiwepo mapenzi yanaongezeka.
Rafiki wa kweli ni yule utakayekuwa naye kwenye shida na raha tofauti na hapo piga chini.
Huyo jamaa alikosea kitu kimoja kabla ya kumuoa huyo slay queen alitakiwa amuachishe kazi awe mama wa nyumbani hii ndiyo dawa ya maslay queen.
Acha utaahiraMwanamke anakuwa vile unataka kama wewe ni mwanaume. Haijalishi kapitia wapi au mangapi.
Muambie huyoKina mwijaku wanapiga hela sio mafala wale japo huelewi kirahisi
Mbona kama akili zako ndiyo za kijinga? Nikujuze kitu kimoja, maradhi unaweza kuyapata ndoani au nje ya ndoa. Mai fut.!Akili za wanaume wasiotaka kuoa ni za kijinga mno..utakufa na naradhi