Kwani tumekopa kiasi gani mpaka sasa,Acha upu... Kukopa ukajenga madarasa hakuna MTU anayeshindwa!! Ata wewe ungekuwepo ukapewa mkopo unajenga tuu.
Tuache kusifu kijinga,kazi muhimu ni kujenga uchumi,kuinua kilimo na ufugaji,kurekebisha mtaala wetu nk. hivyo havifanyiki tunasifu MTU kukopeshwa akajengajenga!!!
Mikopomikopo kilasiku alafu badala itumike kwenye miundombinu itayorudosha fedha haraka inaenda kujenga madarasa machache huku shule zimezingirwa na adarasa chakavu mengi.
Bora wangejenga computer room nakufunga computer kila shule tz
Kuwa moto au baridi uvuguvugu ni uchawa chaliiKwani tumekopa kiasi gani mpaka sasa,
Hukuwepo wakati tunapata uhuru kwa hiyo hujui ni shule za namna gani tulizokuwa nazo hadi mwanzoni mwa miaka ya themanini. Inaelekea kwako wewe uhuru umepatikana miaka20 tu iliyopita.View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wacha sasa nitete na wale tuliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Serikali ya Tanzania.
Naamini tutakubaliana kuwa "Tangu Tanzania iwe huru hatujawahi kuwa na shule za Serikali za Msingi na Sekondari zenye hadhi na mwonekano kama hizi zinazojengwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan".
Mnaweza kukubaliana na mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya utawala na anafanya mambo yake kitofauti sana.
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya madarasa kama haya elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi.
Tunaamini, madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya wanafunzi kupenda shule na madarasa yao.
Tuweni wakweli, hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake.
AmenKama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,
Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,
#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
Mkuu hebu tupe kidogo madini,Hukuwepo wakati tunapata uhuru kwa hiyo hujui ni shule za namna gani tulizokuwa nazo hadi mwanzoni mwa miaka ya themanini. Inaelekea kwako wewe uhuru umepatikana miaka20 tu iliyopita.
Njaa inaingiaje hapo mkuu?Njaa ni kitu kibaya sana, wakati wa dikteta Magufuli pia mliongea hivyo hivyo na sasa pia mnamsujudia maushungi akija mwingine pia mtaendelea kulamba viatu.
Anyway, madarasa yamejengwa kwa hela ya mkopo wa covid 19 na wala sio pesa ya rais kama unavyotaka kupotosha.
Kaa tu kusifia mafisadi wamechukua nchi. Hilo jengo halmashauri haiwezi kujenga?View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wacha sasa nitete na wale tuliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Serikali ya Tanzania.
Naamini tutakubaliana kuwa "Tangu Tanzania iwe huru hatujawahi kuwa na shule za Serikali za Msingi na Sekondari zenye hadhi na mwonekano kama hizi zinazojengwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan".
Mnaweza kukubaliana na mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya utawala na anafanya mambo yake kitofauti sana.
Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya madarasa kama haya elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi.
Tunaamini, madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya wanafunzi kupenda shule na madarasa yao.
Tuweni wakweli, hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake.
Mbona halikuwa limejengwa kama inaweza,Kaa tu kusifia mafisadi wamechukua nchi. Hilo jengo halmashauri haiwezi kujenga?
Hizi sujuda maana yake mtu njaa imezidi anataka atupiwe walau ka-mfupa.Njaa inaingiaje hapo mkuu?
Daaah, Chawa kama chawaKuwa moto au baridi uvuguvugu ni uchawa chalii
Kazi iendelee TanzaniaSio tu ya Msingi na Sekondari hata chuo mkuu, Vyuo vingi vibovu
agiza biaWaaanze kuweka whiteboard; blackboard imekaa Sana.
😀😀agiza bia
Amezungumza ukweli wakehttps://www.jamiiforums.com/data/video/3102/3102881-bc12a9ce2536671c0a41ff8cee10e471.mp4
Huyo head prefect nae analazimisha watoto wote wasujudie CCM
North Korea ndio wako hivi, wanaanza kuvi indoctrinate vitoto toka vidogo...
Nyerere nae alifanya hivi, sasa tunarudi kule kule, nyimbo za CCM na Nyerere kabla ya kwenda madarasani na nyumbani...
mtu mwenye upeo, mwelewa, msomi, hawezi kusimama kwenye hadhara akasalimia wakristo tu, kwa sababu jamii ina watu wa imani mbali mbaliAmezungumza ukweli wake
IMF ndio wanaojenga?Katoa yeye au IMF Heb weka record zako sawa.
Samia ndio kajenga ?IMF ndio wanaojenga?
How IMF?IMF ndio wanaojenga?