Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

Acha upu... Kukopa ukajenga madarasa hakuna MTU anayeshindwa!! Ata wewe ungekuwepo ukapewa mkopo unajenga tuu.

Tuache kusifu kijinga,kazi muhimu ni kujenga uchumi,kuinua kilimo na ufugaji,kurekebisha mtaala wetu nk. hivyo havifanyiki tunasifu MTU kukopeshwa akajengajenga!!!

Mikopomikopo kilasiku alafu badala itumike kwenye miundombinu itayorudosha fedha haraka inaenda kujenga madarasa machache huku shule zimezingirwa na adarasa chakavu mengi.

Bora wangejenga computer room nakufunga computer kila shule tz
Kwani tumekopa kiasi gani mpaka sasa,
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wacha sasa nitete na wale tuliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Serikali ya Tanzania.

Naamini tutakubaliana kuwa "Tangu Tanzania iwe huru hatujawahi kuwa na shule za Serikali za Msingi na Sekondari zenye hadhi na mwonekano kama hizi zinazojengwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan".

Mnaweza kukubaliana na mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya utawala na anafanya mambo yake kitofauti sana.

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya madarasa kama haya elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi.

Tunaamini, madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya wanafunzi kupenda shule na madarasa yao.

Tuweni wakweli, hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake.
Hukuwepo wakati tunapata uhuru kwa hiyo hujui ni shule za namna gani tulizokuwa nazo hadi mwanzoni mwa miaka ya themanini. Inaelekea kwako wewe uhuru umepatikana miaka20 tu iliyopita.
 
Hukuwepo wakati tunapata uhuru kwa hiyo hujui ni shule za namna gani tulizokuwa nazo hadi mwanzoni mwa miaka ya themanini. Inaelekea kwako wewe uhuru umepatikana miaka20 tu iliyopita.
Mkuu hebu tupe kidogo madini,
 
Njaa ni kitu kibaya sana, wakati wa dikteta Magufuli pia mliongea hivyo hivyo na sasa pia mnamsujudia maushungi akija mwingine pia mtaendelea kulamba viatu.

Anyway, madarasa yamejengwa kwa hela ya mkopo wa covid 19 na wala sio pesa ya rais kama unavyotaka kupotosha.
 
Njaa ni kitu kibaya sana, wakati wa dikteta Magufuli pia mliongea hivyo hivyo na sasa pia mnamsujudia maushungi akija mwingine pia mtaendelea kulamba viatu.

Anyway, madarasa yamejengwa kwa hela ya mkopo wa covid 19 na wala sio pesa ya rais kama unavyotaka kupotosha.
Njaa inaingiaje hapo mkuu?
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wacha sasa nitete na wale tuliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Serikali ya Tanzania.

Naamini tutakubaliana kuwa "Tangu Tanzania iwe huru hatujawahi kuwa na shule za Serikali za Msingi na Sekondari zenye hadhi na mwonekano kama hizi zinazojengwa leo na Rais Samia Suluhu Hassan".

Mnaweza kukubaliana na mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya utawala na anafanya mambo yake kitofauti sana.

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya madarasa kama haya elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi.

Tunaamini, madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya wanafunzi kupenda shule na madarasa yao.

Tuweni wakweli, hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake.
Kaa tu kusifia mafisadi wamechukua nchi. Hilo jengo halmashauri haiwezi kujenga?
 
shule mpya.jpg


North Korea ndio wako hivi, wanaanza kuvi indoctrinate vitoto toka vidogo...

Nyerere nae alifanya hivi, sasa tunarudi kule kule, nyimbo za CCM na Nyerere kabla ya kwenda madarasani na nyumbani...
 
Amezungumza ukweli wake
mtu mwenye upeo, mwelewa, msomi, hawezi kusimama kwenye hadhara akasalimia wakristo tu, kwa sababu jamii ina watu wa imani mbali mbali

hivyo hivyo siasa, jamii ina watu wa political persuasion mbalimbali, huwezi kuhubiri CCM kwenye hadhara ambayo haijaja kusikiliza siasa za chama chako

tulikuwa tunajaribu kujenga mfumo wa vyamba vingi... jitu lisiloelimika au lisilojua nchi hii inatoka wapi na inataka kwenda wapi ndio anaweza kuwa indoctrinate watoto wa shule wahubiri CCM hadharani
 
Back
Top Bottom