Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

Punguza wivu ndg yangu utapata ugonjwa wa moyo
Sasa nimuonee wivu wa nini, tanua ubongo huoo.
Huoni tunaelekea kulekule ksa kunyenyekea mpaka kazi zitafanyika kimihemko ili usofiwe na mkulu eg, kina sabaya, makonda etc
 
Ulikuwapo wakati tunapata uhuru? Unajua shule za msingi zilikuwaje wakati huo hadi cheti cha darasa la saba (na la nane) kuwa kinatumika kuombea kazi? Unajua waalimu wa shule za msingi wakati huo walikuwa wanaweza kununua magari na pikipiki kwa mishahara yao tu?
 
Ukipita katika shule,kulikojengwa madarasa mapya,kunapendeza sana.Shule zimependeza,hadi unatamani uwe mwalimu wa shule mojawapo.Mungu MPE uzima na umri mrefu ,Rais wetu,tuone mengi mapya.
 
Yaani nyie mataahira kweli unafikiri mungeambiwa zinatumika kutoa elimu ya corona tu mngembishia? acheni ujinga kajioa kuwaeleza anazianyia ktu gani chamuhimu kwenu bado mnaongea utumbo nyau nyie
Ukitembelea shule,zilizojengwa hao madarasa,zinapendeza sana.Huu ni ubunifu wa Hali juu sana,sijawahi kusikia kama kuna nchi nyingine yoyote duniani,umefanya ubuñifu huu.Hongera Rais,hongera viongozi wetu wote.
 
Eti ametoa, kwani zile pesa ni zakwake? huu upumbavu ndo unawafanya watawala wajione miungu mtu akati wamepewa tu dhamana ya uongozi.
Kwani yule ngosha wenu muongo muongo alishindwa nininkujenga madarasa kama haya maana nayeye alikuuwa nakopa sana tu
 
Yangekuwa yana maana ungeona watoto wao katika hayo madarasa ya UVIKO 19.
Kwakuwa ni ya kimsaada msaada na ni useless hutowaona watoto wao .
Kweli walimu wengi ni wapumbavu, wewe ukiwemo
Yaani unapo mtukana mwalimu kwa maandishi kama hivi ni sawa na kumtukana mama yako mzazi na hasa unapatukana pale pa mama yako alipo kutolea.
 
Kuna watu humu hawajui tofauti ya Loan, Grant na Subsidies.... Ndiyo JF ya Siku hizi.
 
Hizo pesa hata hao waliotoa wameagiza zitumike hivyo sasa kwa mjinga kama mleta mada ambaye hataki kufanya kazi na anavizia fursa ya uteuzi kutoka kwa anayemsifia anajifanya haelewi hilo. Akili takataka kabisa.
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Tanzania tuko katika uelekeo sahihi sana tuendelee kumwombea rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan,

Tunakila sababu ya kujivuna,
 
Wanafunzi wenyewe bangi tupu siku hizi, na wale wakike kwa umalaya ndio usiseme hapa kitaa sahv kuna kitoto cha form 3 kanalazimisha kuja geto eti anasema anataka kuja kunipikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…