Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umecoment ukiwa umechoka sana.Kila mmoja anamtazamo wake kumuhusu kulingana na vile alivyoguswa/fanyiwa na Magufuli, wale wa vyeti feki hawawezi kuwa na mtazamo sawa na yule mzee alietoa zawadi ya jogoo akapewa burungutu la asante.
Hao wasio watanzania wanaomkumbuka Magufuli, wao watakuwa wanaguswa zaidi na human nature [kumkumbuka marehemu vizuri] lakini sidhani kama Magufuli aliwahi kuwafanyia chochote.
Amina.Kwa kweli watanzania wazalendo tunamkumbuka sana magufuli.wanaomchukia magufuli ni wale tu mafisadi na waanzisha tozo za kipuuzi puuzi.Yaani mtu anaanzisha tozo halafu yeye inakuwa haimhusu.Huo ni upuuzi wa kiwango cha sgr
Sent using Jamii Forums mobile app
Alimteka mama ako? Baba ako? Kaka ako? Alikuteka wewe?Ni kweli Samia kuna pahala anaboronga lkn hata aboronge vipi KAMWE sitokaa nimkumbuke baradhuli huyu aliyeua, kuteka,kufilisi na kupora watu.
Never and never ever!
Chuma!Mwamba