Chosen man
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 543
- 755
Huyu mtu alikuwa mwovu sana aliyejificha kanisani.[emoji205][emoji205][emoji205]View attachment 2335042
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mtu alikuwa mwovu sana aliyejificha kanisani.[emoji205][emoji205][emoji205]View attachment 2335042
It's over man, kama ulikuwa muziki wa reggae basi sasa ni pop na yakupasa kucheza hiyo pop.Ghana,Cameron,Mozambique, Zimbabwe,Ethiopia,Senegal,UK,Senegal,Canary Island.
Afrika na Dunia kwa Ujumla wote wanathibitisha ubora wake.
Tena Hitler alikufa miaka zaidi ya sabini iliyopita lakini dunia bado inamkumbuka! Huyo Ibilisi kafa juzi tu chini ya miaka miwili iliyopita unafungua uzi. Heri hata ungefungua wa Nduli Idi Amin Dada!Hata Hitler na Musolin bado wanakumbukwa.
chawa wa mshikaji wamebaki yatima - wanahangaika balaa !!Kukumbukana ni jambo la heri, Kumbukizi halina madhara. Akumbukwe tu.
Kuna mchawi pale kijijini alikufa, Kila mwaka alikua anakumbukwa
Ni kweli Samia kuna pahala anaboronga lkn hata aboronge vipi KAMWE sitokaa nimkumbuke baradhuli huyu aliyeua, kuteka,kufilisi na kupora watu.
Never and never ever!
Yani kuna wajinga wakimuongelea Ibilisi Magufuli utadhani aliishi enzi za Nuhu kumbe ni mtu ambaye tumeshuhudia Kwa macho udhalimu wake na madhara yake yatarigharimu Taifa Kwa muda mrefu ujao.
Ukweli huwa hauitaji kutetewa, Bali ukweli unajitetea wenyewe.
Ama kwa hakika.
Kizuri hakidumu.
Tanzania tunaendelea kumkumbuka Rais Bora kabisa tuliopewa na Mungu kama zawadi.
Ameacha alama ambayo Afrika na Dunia nzima bado wanaendelea kumuenzi.
Tunakukumbuka sana Mkuu.
View attachment 2334887View attachment 2334888View attachment 2334889View attachment 2334891
Baba tena?!Labda alikuwa Baba yako!🐒🐒🐒Oops Huyu Baba Jamani Mpaka Mateke
Shangaa na weweMnasema anakumbukwa ila akianza kutajwa aliyoyafanya mnasema aachwe apumzike. Insane
Mataahira haya mayatima Watoto wa marehemu Ibilisi Magufuli.Mnasema anakumbukwa ila akianza kutajwa aliyoyafanya mnasema aachwe apumzike. Insane
Ama kwa hakika.
Kizuri hakidumu.
Tanzania tunaendelea kumkumbuka Rais Bora kabisa tuliopewa na Mungu kama zawadi.
Ameacha alama ambayo Afrika na Dunia nzima bado wanaendelea kumuenzi.
Tunakukumbuka sana Mkuu.
View attachment 2334887View attachment 2334888View attachment 2334889View attachment 2334891
Alimuua nani? Akamteka na kumpora nani?Ni kweli Samia kuna pahala anaboronga lkn hata aboronge vipi KAMWE sitokaa nimkumbuke baradhuli huyu aliyeua, kuteka,kufilisi na kupora watu.
Never and never ever!
IQ hafifu anapo muona mwenye IQ kubwa kuwa nae ana IQ hafifuIQ hafifu wanapomkumbuka IQ hafifu mwenzao.
Ndio alikuteka akaenda kukutanua ile kitu?Ni kweli Samia kuna pahala anaboronga lkn hata aboronge vipi KAMWE sitokaa nimkumbuke baradhuli huyu aliyeua, kuteka,kufilisi na kupora watu.
Never and never ever!