Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Safi sana hii![emoji205][emoji205][emoji205]View attachment 2335042
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana hii![emoji205][emoji205][emoji205]View attachment 2335042
Ilikuwa safi sana hii!Oops Huyu Baba Jamani Mpaka Mateke
[emoji23][emoji23][emoji23]Haters wa Magufuli mna kibarua kizito sana kuaminisha watu kwamba hakupendwa wala hapendwi!Yani kuna wajinga wakimuongelea Ibilisi Magufuli utadhani aliishi enzi za Nuhu kumbe ni mtu ambaye tumeshuhudia Kwa macho udhalimu wake na madhara yake yatarigharimu Taifa Kwa muda mrefu ujao.
Ukweli huwa hauitaji kutetewa, Bali ukweli unajitetea wenyewe.
Alimuua nani ewe pimbi?Wema wa kuuuwa, kubambikiza kesi, kuiba kura, kuiba pesa Za watu ?
Vipi hawa umeshaambiwa wako wapi?Tuambieni kwanza Ben Saanane na Azory mliwapeleka wapi ? bado mna kesi kubwa ya kujibu nyie watu.
Wewe tunakujua ni kwa vile alikubutua akakuachia kilema!Mataahira haya mayatima Watoto wa marehemu Ibilisi Magufuli.
Ama kwa hakika.
Kizuri hakidumu.
Tanzania tunaendelea kumkumbuka Rais Bora kabisa tuliopewa na Mungu kama zawadi.
Ameacha alama ambayo Afrika na Dunia nzima bado wanaendelea kumuenzi.
Tunakukumbuka sana Mkuu.
View attachment 2334887View attachment 2334888View attachment 2334889View attachment 2334891
hii haihalalishi kwamba ya kwanza ilikuwa legal... majibu tafadhali.Vipi hawa umeshaambiwa wako wapi?
Au umejaza mavi huko kichwani? View attachment 2335210View attachment 2335211
Anakumbukwa na wa wanga wenzakeeKuna mchawi pale kijijini alikufa, Kila mwaka alikua anakumbukwa
MwiziHuja katazwa kaandike tu na wewe unachokiona ni ukweli.
Ukweli huwa unajitetea wenyewa wala huitaji kuutetea ukweli.[emoji23][emoji23][emoji23]Haters wa Magufuli mna kibarua kizito sana kuaminisha watu kwamba hakupendwa wala hapendwi!
Mkuu unajisumbua bure,
Hizi hadithi zenu za kwamba alifanya vile mara hivi wasimulieni bi wakubwa zenu huko nyumbani ila raia wanajua nini kinaendelea.
Mimi nimeeleza halo ya mitaani ilivyo huo sio mtazamo wangu bali nimenukuu maneno ya raia ,kama unaona nasema uongo panda daladala za mbagala,kariakoo au Buza kwenda mbande magengeni kisha uongee kwa sauti kubwa hayo maneno yako au anzisha mjadala wowote kuhusu Magufuli kisha sikilizia maoni ya Raia.Wema wa kuuuwa, kubambikiza kesi, kuiba kura, kuiba pesa Za watu ?
Kwa sababu hakuna ulichopoteza wala kuathirika, hebu tuambie Azory Gwanda yuko nyumbani kwako?Alimuua nani ewe pimbi?
Wacha kujipakazia huna haja ya kwenda popote wewe hapo ulipo utakuwa ni sukuma gang unajaribu kuliremba shetani ambalo liko KuzimuMimi nimeeleza halo ya mitaani ilivyo huo sio mtazamo wangu bali nimenukuu maneno ya raia ,kama unaona nasema uongo panda daladala za mbagala,kariakoo au Buza kwendaå mbande magengeni kisha uongee kwa sauti kubwa hayo maneno yako au anzisha mjadala wowote kuhusu Magufuli kisha sikilizia maoni ya Raia.