🤣🤣🤣🤣🤣 Umepiga kunakoMfano, 2025 chadema wakapata kura za kutosha na kuunda serikali, wewe utakuwa kwenye cheo gani.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 Umepiga kunakoMfano, 2025 chadema wakapata kura za kutosha na kuunda serikali, wewe utakuwa kwenye cheo gani.?
Itasaidia kupunguza maumivu ya tozoIQ hafifu wanapomkumbuka IQ hafifu mwenzao.
Kabisa mkuuShujaaa wa TZ atakumbukwa kwa namna yoyote ileee
Mimi tokea nizaliwe sijawahi kupiga kura na sina ushabiki wa siasa kabisa kwani najua wana siasa vigeugeu na mara nyingi wapo kwa maslahi yao binafsi.Wacha kujipakazia huna haja ya kwenda popote wewe hapo ulipo utakuwa ni sukuma gang unajaribu kuliremba shetani ambalo liko Kuzimu
Azory Gwanda, Ben Sa8, n.kAlimuua nani?
Roma, Mo, Ney, n.kAkamteka nani?
Wafanyabiashara wa maduka ya kubadilishia fedha za kigeni, Rugemalira, Habinder Seth,.kumpora nani?
Kwa kweli watanzania wazalendo tunamkumbuka sana magufuli.wanaomchukia magufuli ni wale tu mafisadi na waanzisha tozo za kipuuzi puuzi.Yaani mtu anaanzisha tozo halafu yeye inakuwa haimhusu.Huo ni upuuzi wa kiwango cha sgr
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndio maana ukaja kutoa maoni kwenye JF kwa vile uko mbali na siasa 🤣🤣🤣Mimi tokea nizaliwe sijawahi kupiga kura na sina ushabiki wa siasa kabisa kwani najua wana siasa vigeugeu na mara nyingi wapo kwa maslahi yao binafsi.
Kwangu mimi siasa Sawa na mpira ushabiki wake ukikuingia sana mtu unapoteza akili .
Mm nilijua kafufuka bhana
Ama kwa hakika.
Kizuri hakidumu.
Tanzania tunaendelea kumkumbuka Rais Bora kabisa tuliopewa na Mungu kama zawadi.
Ameacha alama ambayo Afrika na Dunia nzima bado wanaendelea kumuenzi.
Tunakukumbuka sana Mkuu.
View attachment 2334887View attachment 2334888View attachment 2334889View attachment 2334891View attachment 2334891View attachment 2334891