Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,059
Sahihi kabisa.Siyo kweli. Bali uongozi wa nchi unahitaji kipawa, busara, hekima, uvumilivu na ucha Mungu kwa matendo. Vitu vyote hivi mtu huzaliwa navyo.
Magufuli hakuwa na chochote kati ya hivyo ndiyo maana alitawala kqa UKATILI na kufanya mambo ya UKICHAA mengi hadi na yeye AKAFA kwa kulazimisha kupambana na COVID-19 kwa kujifukiza badala ya kutumia njia za kisayansi
Kama umeuliwa sasa mbona unaandika humu?🙂Kwahiyo solution ndio kutuua?
Demokrasia kwa nchi za Africa ni chanzo kikubwa cha vita na migogoroNaunga mkono hoja, Tanzania haiwezi kuendelea kwa kuwa na kiongozi legelege na anayetanguliza democrasia ya kuombea ela za wazungu mbele.
Hili ndilo kundi kubwa la wale wenye Uwezo mdogo wa kufikiri ,ukiambiwa jiwe aliiba tr 1.5 basi unaamini bila kureason ,ukiambiwa kitu Fulani kimetokea unabeba kama kilivyo nyie mna hitaji kuongozwa hamna Uwezo wa kumshauri raisSiyo kweli. Bali uongozi wa nchi unahitaji kipawa, busara, hekima, uvumilivu na ucha Mungu kwa matendo. Vitu vyote hivi mtu huzaliwa navyo.
Magufuli hakuwa na chochote kati ya hivyo ndiyo maana alitawala kqa UKATILI na kufanya mambo ya UKICHAA mengi hadi na yeye AKAFA kwa kulazimisha kupambana na COVID-19 kwa kujifukiza badala ya kutumia njia za kisayansi
Aliuliwa shemeji anguKama umeuliwa sasa mbona unaandika humu?🙂
Lini?Aliuliwa shemeji angu
Wewe unawakikisha kundi kubwa la wajinga ambao ni kama 90% ya watanzania ambao walikuwa wanadangaywa na Magufuli. Hamna uwezo wa ku analyse issues.Hili ndilo kundi kubwa la wale wenye Uwezo mdogo wa kufikiri ,ukiambiwa jiwe aliiba tr 1.5 basi unaamini bila kureason ,ukiambiwa kitu Fulani kimetokea unabeba kama kilivyo nyie mna hitaji kuongozwa hamna Uwezo wa kumshauri rais
Demokrasia kwa nchi za Africa ni chanzo kikubwa cha vita na migogoro
He was right!.
Ushahidi upo tele, ila ushahidi huo utapelekwa wapi?UNa ushahidi ?
Seems you killed!Was he right that Tanzanians killed JIWE?
1. Sio kila mtu ana haki ya Kuishi. Wengine haki yao ni kifo.Awe kama magu lakini
1. asiwe muuaji.
2. mbambikiaji kesi watu,
3. anayetumia majambazi kuongoza (refer Sabaya),
4. Asiyeiba kura,
5. asiye piga watu risasi.
Ooh yea!Seems you killed!
Izo vitu katiba siku nini kwenye nchi za kiafrika viongozi hawaheshimu kabisa ayo madocuments kwaio best way out ni kuomba mungu mpate Top leaders wenye uzalendo. Wajue wananchi wanaitaji maisha bora na wao ndo wanajukumu la kutuvusha kutupeleka huko.Most of the African leader's wamejaa ubinafsi uliopitiliza that's the reason wananchi wanaishi kwenye wimbi kubwa la umaskini .Hapana, Tanzania haihitaji rais aina ya hayati Magufuli. Yule alikuwa doa na unajisi kwa ardhi ya Tanzania; hususan jamii Watanzania wenye utu.
Kwa nini nasema hivyo?
1. Kama alikuwa "solution" hata kwa robo ya matatizo uliyotaja, na leo amekufa na yenyewe yapo - then he was, undeniably, a complete failure.
2. Kwa vile unakiri kuwepo kwa hayo matatizo na yeye hakuyamaliza na sasa hayupo wala hawezi kurudi tena; basi hata akija mwingine kama yeye ataishia kupata matokeo hayohayo, ni jina tu ndio litabadilika lakini kushindwa na matokeo vitakuwa vile vile. That's logic.
3. Lakini akija kiongozi wa ukweli, sio mtawala au dikteta kama hayati Magufuli, yeye ataweka Katiba nzuri, Sheria kali na za haki, mifumo thabiti na himilivu, mazingira na utashi - vitakavyosababisha mabadiliko ya fikra, utamaduni na matendo yenye faida, ufanisi na maendeleo ya kudumu kwa vizazi.
Huyu akiondoka mambo yataendelea vizuri, legacy itazidi kuimarika kwa vizazi vijavyo.
Acha kupoteza muda kusema wengine hivi mara hivi.Unaposema watanzania wavivu unawakosea baadhi ya wachapa kazi.Hivi wakulima wanaopambana usiku na mchana unwaitaje wavivu.Mi nadhani ungetupa kwanza Yale uliyofanya ili tuone kama hupigi siasa TU.Habari JF, Ukitaka kuliongoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali. maono na Mwenye msimamo. Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-
1. Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi
2. Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .
3. Wanapenda starehe sana
Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .
Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .
Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
Polee mkuuKwa sababu aliishi na tulimwona na kumjua hayati Magufuli 2015-2021; facts na evidences zilizoko hai nchini zinaipinga vikali propganda yenu na legacy yake fake.
UONGO mwingine huu unaojificha kwenye jina la USOMI.Cheki World Bank & other international reports kiwango cha ukuaji uchumi kilifikia ukuaji wa 2%! Ni aibu tupu!
Na ripoti ya kwanza tu baada ya kifo chake tukaambiwa wanajitahidi kipande kufikia 4%. Je Lini kilishuka? Magufuli wala serikali yake hawakuwahi kutuarifu.
Ina maana kilishuka lakini walikuwa wanatumia propganda na manipulations methods kudanganya wananchi. Typical of dictators.
Mzembe huyo.Alikubalije kufa kibwege?Mlipata rais wa maana mkamuuwa "alinimbia rafiki yangu mzambia"
USSR