Tanzania bado ina uhitaji mkubwa wa kupata Rais kama Magufuli mwenye makali zaidi

Tanzania bado ina uhitaji mkubwa wa kupata Rais kama Magufuli mwenye makali zaidi

Atal Behari Vajpayee na Hastings Kamuzu Banda walikuwa ni Makhanisi na walitawala vizuri.

Hayati Qaboos pia alikuwa ni mtawala asieuwa Wananchi wake.

James Buchanan Raisi wa 15 wa Amerika alikuwa Shoga mbobezi na alitawala vizuri.

I can on and on...
Unaweza ukaeleza upekee wao wa kuongoza vizuri kwa sababu ya ushoga wao?
 
Hakujawahi kutokea Dikteta Shoga, na huo ndio uzuri wa Kiongozi Shoga.
Mashoga nafasi yao ni kama wanawake kwa maana wana nafasi ndogo sana katika mambo, tunaweza kuelezea mengi sana yaliyofanywa na wanaume kuliko wanawake na mashoga.
 
Kwako wewe na watu aina yako facts au evidence ni vile unavyovitaka tu.
Kwenu ile process ya uharibifu imekamilika..
Hii ni hoja toka kwako usiye kipofu, unayetegemea elimu uliyopewa na walionipofusha mimi sasa!

Weka hizo facts na evidences, nizikatae ilhali ni halali, wengi humu ni wazima wa akili za asili, ukitoa madarasa waliyonayo, wataona ukweli, kinyume chake, tutaendelea na NGONJERA hizi na ufundi wa kuremba sentensi hapa kurefusha mada, ushahidi halisi hatuna; tunakimbilia kujikinga..."unavyotaka wewe", "vipofu", n.k

Outline hizo facts na evidences kwa kila shutuma hapa.
 
Mashoga nafasi yao ni kama wanawake kwa maana wana nafasi ndogo sana katika mambo, tunaweza kuelezea mengi sana yaliyofanywa na wanaume kuliko wanawake na mashoga.
Tanzania tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea Dikteta jambazi na mfumo dume wake, na Mungu katuletea mfumo jike unaoongozwa na Raisi Mwanamke.

Tunachohitaji sasa Raisi Shoga tuone nae je atatuibia fedha zetu na kumfukuza CAG?
 
Hapo Kenya Rais wa awamu iliyopita, Bw Uhuru Kenyatta naye ni miongoni mwa waandamanaji dhidi ya Rais wa sasa Bw. Ruto!

Imagine, hata mwaka mmoja bado!

Leadership! Leadership! Leadership!
Anawambia polisi wawache kusumbua watu na wanainchi [emoji47][emoji47]
 
Awe kama magu lakini

1. asiwe muuaji.

2. mbambikiaji kesi watu,

3. anayetumia majambazi kuongoza (refer Sabaya),

4. Asiyeiba kura,

5. asiye piga watu risasi.
1. awe muuuhaji.. kwa wezi na wala rushwa na mifisadi... iuliwe yote.
2. wenye kesi zao wapewe shurba. kusubiri ushaidi ukamilike ni uhuni wa zamani sana.
3. atumie tu majambazi kama njia ni njema... naunga mkono hoja.
4. kura kupata kipaji... atazipata nyingi sana.
5. watu hawabadiliki roho .... kuwapiga risasi wote ngumu. ule atakayeingia kwenye 18 amalizwe mapema.


nb. mfumo wa Maisha... punguza wachache Wengi waishi kwa raha.
 
Habari JF, Ukitaka kuliongoza taifa la Tanzania na kuliletea maendeleo ni lazima uwe in mtu mkali. maono na Mwenye msimamo. Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wa aina 3:-

1. Wavivu - hawapendi kujituma kufanya kazi

2. Uwezo Mdogo wa kufikiri -Elimu kwa Tanzania haiwakomboi Uwezo wa alie prof ,PHD ,degree ukitoa aile kujua vitu vingi linapokuja suala la kufikiri hawatofautiana sana .

3. Wanapenda starehe sana

Sasa kuongoza watu wenye sifa hizo huhitaji sana kuwashirikisha ,unacho hitaji ni kuwaongoza njia sahihi .

Ukiachana na tuhuma alizopewa Hayati JPM ambazo hazina Ukweli wala ushahidi wowote alijitahidi sana .

Hivyo kuna haja ya kumpata mwingine Mwenye makali zaidi tuweze piga hatua zaidi .
Labda aje awe kichwa cha familia yako.
Watanzania ni wapenda amani syo kuongozwa na vichaa
 
Nchi ina wajinga wengi sana! Yaani mtu anatamani kufanywa mtumwa ndani ya nchi yake!
Kwani huyo magufuli kafanya nini la ajabu ambalo haliwezi kufanywa na mwingine tena bila kutukana watu,kuua,kutesa,kupora pesa za watu na kubambikia watu kesi.
Hadi sasa katika marais waliotawala Tanzania Magufuli alikuwa Rais wa ovyo kupitiliza na hakupaswa kabisa kuwa Rais.
 
Fact ni nini? Evidence ni nini?

Katika muktadha wa utawala wa Magufuli.
Evidences zinajenga facts.

Katika utawala huo, shutuma za wachache ni nyingi, na ni wale wenye access na ulaji wa keki kimasihara.

Wamejenga chuki kwa kukataliwa access hiyo na sasa wanatukia access waliyonyimwa before kuwapofusha wananchi ili wao waendelee kula nchi pamoja na wenye nchi!

Weka shutuma moja, back it up na evidence!

Mfano, ukisema, awamu hii wanapiga sana, unasema ushahidi, rejea ripoti ya CAG;
  • TTCL hawajui wanayemdai tzs 21.5bn
  • SGR analipwa fidia ya tzs 4trillion kwa kucheleweshewa malipo
  • Magari yaliyokwisha lipiwa tzs 35bn hayajulikani yalipo.
  • Tzs 1.7trillion, zimekwapuliwa tu kiholela
  • Tzs 900bn inayotakiwa kulipwa kama faini ya ucheleweshaji wa mradi wa Bwawa la Nyerere, hakuna anayedai kutoka serikalini na shirikani
  • Tzs 1.28trillion, waziri wa fedha kakopa tu kiholela, bunge halina habari na hazijulikani ni za nini na ziko wapi!
  • Tozo, hakuna muendelezo wa nini kinapatikana na nini kimefanyika kipya

Na listi inaendelea...
 
Tanzania tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea Dikteta jambazi na mfumo dume wake, na Mungu katuletea mfumo jike unaoongozwa na Raisi Mwanamke.

Tunachohitaji sasa Raisi Shoga tuone nae je atatuibia fedha zetu na kumfukuza CAG?
Shoga huwa anafanana na mwanamke, sasa kama teyari tuna rais mwanamke huyo shoga atakuwa na maajabu gani? sana sana awe zaidi ya mwanamke kwa jinsi anavyochukuliwa huyu rais mwanamke.

Kuhusu pesa kuibiwa hata sasa ndio zinaibiwa vizuri tena na wengi tofauti na mwanzo, jinsia ya kike ya rais haijaweza kuzuia huo wizi bali tumeona yeye akimfukuza spika wa bunge.
 
Shoga huwa anafanana na mwanamke, sasa kama teyari tuna rais mwanamke huyo shoga atakuwa na maajabu gani? sana sana awe zaidi ya mwanamke kwa jinsi anavyochukuliwa huyu rais mwanamke.

Kuhusu pesa kuibiwa hata sasa ndio zinaibiwa vizuri tena na wengi tofauti na mwanzo, jinsia ya kike ya rais haijaweza kuzuia huo wizi bali tumeona yeye akimfukuza spika wa bunge.
Pesa zetu zimeibiwa kipindi cha Dikteta Magufuli na aliponyakwa akamfukuza CAG

Huyu Mama pia zimepigwa fedha lakini kakubali kuwa kuna wezi na pesa zimepigwa na watu waitwao "Mastupid"

Sasa tunahitaji Shoga lenye pande mbili nalo tuone litatufikisha wapi
hermaphrodites_g-3059.jpg
 
Back
Top Bottom