Tanzania bado ni salama sana na tunapaswa kuvipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama

kichaa wewe
 
kwanza hongera kwa kutuonesh watanzania kuwa bado kuna watu wanaishi mapangoni!
Wengi huwa tunazungumza mada kwa utashi wetu endapo tu jambo hilo halijatokea kwenye maisha yetu directly. Mfano, Tunawea kusimulia kuwa wananjeshi wanakufa vita ili kulinda mipaka na nchi yetu ila siku mtoto wako ambaye ni mwananjeshi amepoteza maisha kwa hakika hii kauli huwezi kuisema! utabakia kujutia na kujilaumu kuwa kwanini haukumzuia asiende jeshini.
Siku ukipoteza member wa familia yako kwa tukio lenye mfanano huu huu! Njoo utupatie mrejesho!
Tanzania sio salama hata kidogo! Ni salama tu endapo ukijitoa akili na kujifanya mpumbavu tu! kama ......e vile!
 
Inakuwaje mtu mmoja tu ashambulie watu na kuwajeruhi mbele yenu?
Unapouliza hilo jiulize...ilikuwaje mtu ashushwe kwenye Basi Kwa nguvu, Kisha aonekane amefariki siku ya pili? Pia huyo mtu aliye jeruhi raia kwanin aachiwe na polisi alipokamatwa? Kisha kuendelea kutoa vitisho Kwa raia?
 
Yuko jamaa mmoja anaitwa Risasi Mwaulanga. Huyu alikuwa mbwekaji kweli hasa kwenye tv kuitetea ccm. Siku hizi meneja hoteli ya dada yake hapo Morocco maghorofani. Ni sawa na huyu Mwashambwa
 

Siku yakikufika ndiyo akili itaelewa somo lililopo ubaoni
 
Usalama uko wapi we kiande???
Watu kila siku wanapote na kukutwa wamekufa vifo vya kikatili. Wakati mwingine punguza kutukanwa hasira na matusi unayopata humu ni laana hiyo.
 
Wewe jishaue tu kujifanya msemaji wa watekaji na wauaji ipo siku yatakukuta
 
Umesahau kuweka namba ya simu
 
Usalama uko wapi we kiande???
Watu kila siku wanapote na kukutwa wamekufa vifo vya kikatili. Wakati mwingine punguza kutukanwa hasira na matusi unayopata humu ni laana hiyo.
Unafahamu nchi isiyo na usalama?
 
Tunawapongeza huku tukibubujikwa na machozi ,watu wetu wanakufa na kutekwa😭😭
 
Kwa sababu hayakuumizi hayo yanayowafika watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…