Tanzania bado ni salama sana na tunapaswa kuvipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama

Tanzania bado ni salama sana na tunapaswa kuvipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama

Ndugu zangu Watanzania,

Pamoja na matukio machache yaliyojitokeza hapa katikati,lakini haiondoi ukweli kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana iliyotukuka ya kuhakikisha kuwa Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani, Utulivu na usalama wa hali ya juu sana kuanzia mipakani hadi ndani ya Nchi,kwa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanya kazi zao katika mazingira ya amani na utulivu pasipo hofu wala wasiwasi.

Embu fikiria leo hii katika Historia ya Taifa letu tunashuhudia magari ya abiria makubwa kwa madogo yakisafiri usiku kucha katika mikoa mbalimbali yakipita katika misitu ya kila aina bila shida wala kutekwa wala kitisho cha kutekwa .hii yote ni kutokana na kuwepo kwa usalama wa kutosha Nchini unaotokana na kazi nzuri na iliyotukuka ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Kumbukeni ya kuwa suala la ulinzi na usalama ni suala gumu , zito na lenye kuhitajaji nguvu kubwa sana ya uwekezaji katika kupambana na matukio yote yenye kuhatarisha usalama.embu fikiria Taifa kama Marekani lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa,vifaa vya kisasa ,watu wenye ujuzi wa kila aina pamoja na kamera kila kona,lakini Dunia nzima kwa macho yake ilishuhudia mgombea Urais na Rais wake mstaafu Donald Trump akipigwa Risasi ya sikioni akiwa jukwaani.

Nchi Kama Tanzania yenye watu zaidi ya Millioni 61 na yenye kuzungukwa na nchi takribani 7 na ikaendelea kuwa katika usalama kama huu tunao ushuhudia pasipo matukio makubwa yenye sura ya kigaidi au wahalifu kuvuka mipaka na kuja kufanya matukio hapa nchni ,ni lazma tuvipongeze sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuwalinda watanzania na mali zao pamoja na mipaka ya Nchi yetu.

Ni lazima tufahamu kuwa hali ipo hivyo kwa kuwa vyombo vyetu vipo macho saa 24 usiku na mchana,doria zinapigwa muda wote.ni kwa kuwa wapo askari wetu waliojitoa sadaka ya damu yao kwa ajili yetu watanzania ili tuishi kwa amani.ni kwa kuwa wapo askari wetu wanatokwa jasho ,machozi na damu kupambana na kila aina ya uharamia na uhalifu .

Tuwapeni moyo na kuwaunga mkono askari wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.tusiwakatishe tamaa wala kuwatukana matusi wala kuwatolea maneno machafu.haya matukio machache ya watu kupotea naamini kuwa na sote tuamini ya kuwa vyombo vyetu vipo kazini kufanya upelelezi ili wote wapatikane wakiwa hai kabisa .kikubwa tutoe ushirikiano na tujue sote ni walinzi wa Taifa letu.

Tambua ya kuwa wewe ukiwa umelala usingizi chumbani kwako na mkeo au mume wako vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinakuwa macho kukulinda wewe na mali zako.ndio maana unaamka ukiwa salama wewe na mali zako.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watekaji wanajiweka wazi Sasa.
Hizi ajali za barabarani zinazojitokeza kila kukicha naomba sana zianze na watu kama wewe ili tusione maandiko yako ya hovyo hapa jukwaani
 
Ndugu zangu Watanzania,

Pamoja na matukio machache yaliyojitokeza hapa katikati,lakini haiondoi ukweli kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana iliyotukuka ya kuhakikisha kuwa Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani, Utulivu na usalama wa hali ya juu sana kuanzia mipakani hadi ndani ya Nchi,kwa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanya kazi zao katika mazingira ya amani na utulivu pasipo hofu wala wasiwasi.

Embu fikiria leo hii katika Historia ya Taifa letu tunashuhudia magari ya abiria makubwa kwa madogo yakisafiri usiku kucha katika mikoa mbalimbali yakipita katika misitu ya kila aina bila shida wala kutekwa wala kitisho cha kutekwa .hii yote ni kutokana na kuwepo kwa usalama wa kutosha Nchini unaotokana na kazi nzuri na iliyotukuka ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Kumbukeni ya kuwa suala la ulinzi na usalama ni suala gumu , zito na lenye kuhitajaji nguvu kubwa sana ya uwekezaji katika kupambana na matukio yote yenye kuhatarisha usalama.embu fikiria Taifa kama Marekani lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa,vifaa vya kisasa ,watu wenye ujuzi wa kila aina pamoja na kamera kila kona,lakini Dunia nzima kwa macho yake ilishuhudia mgombea Urais na Rais wake mstaafu Donald Trump akipigwa Risasi ya sikioni akiwa jukwaani.

Nchi Kama Tanzania yenye watu zaidi ya Millioni 61 na yenye kuzungukwa na nchi takribani 7 na ikaendelea kuwa katika usalama kama huu tunao ushuhudia pasipo matukio makubwa yenye sura ya kigaidi au wahalifu kuvuka mipaka na kuja kufanya matukio hapa nchni ,ni lazma tuvipongeze sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuwalinda watanzania na mali zao pamoja na mipaka ya Nchi yetu.

Ni lazima tufahamu kuwa hali ipo hivyo kwa kuwa vyombo vyetu vipo macho saa 24 usiku na mchana,doria zinapigwa muda wote.ni kwa kuwa wapo askari wetu waliojitoa sadaka ya damu yao kwa ajili yetu watanzania ili tuishi kwa amani.ni kwa kuwa wapo askari wetu wanatokwa jasho ,machozi na damu kupambana na kila aina ya uharamia na uhalifu .

Tuwapeni moyo na kuwaunga mkono askari wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.tusiwakatishe tamaa wala kuwatukana matusi wala kuwatolea maneno machafu.haya matukio machache ya watu kupotea naamini kuwa na sote tuamini ya kuwa vyombo vyetu vipo kazini kufanya upelelezi ili wote wapatikane wakiwa hai kabisa .kikubwa tutoe ushirikiano na tujue sote ni walinzi wa Taifa letu.

Tambua ya kuwa wewe ukiwa umelala usingizi chumbani kwako na mkeo au mume wako vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinakuwa macho kukulinda wewe na mali zako.ndio maana unaamka ukiwa salama wewe na mali zako.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni salama kwa kuwa baba yako au Mama yako au mwanao hajatekwa na kuuliwa siku ya kikufika ndio utakapo juwa kuwa sio salaama
 
Ndugu zangu Watanzania,

Pamoja na matukio machache yaliyojitokeza hapa katikati,lakini haiondoi ukweli kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana iliyotukuka ya kuhakikisha kuwa Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani, Utulivu na usalama wa hali ya juu sana kuanzia mipakani hadi ndani ya Nchi,kwa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanya kazi zao katika mazingira ya amani na utulivu pasipo hofu wala wasiwasi.

Embu fikiria leo hii katika Historia ya Taifa letu tunashuhudia magari ya abiria makubwa kwa madogo yakisafiri usiku kucha katika mikoa mbalimbali yakipita katika misitu ya kila aina bila shida wala kutekwa wala kitisho cha kutekwa .hii yote ni kutokana na kuwepo kwa usalama wa kutosha Nchini unaotokana na kazi nzuri na iliyotukuka ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Kumbukeni ya kuwa suala la ulinzi na usalama ni suala gumu , zito na lenye kuhitajaji nguvu kubwa sana ya uwekezaji katika kupambana na matukio yote yenye kuhatarisha usalama.embu fikiria Taifa kama Marekani lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa,vifaa vya kisasa ,watu wenye ujuzi wa kila aina pamoja na kamera kila kona,lakini Dunia nzima kwa macho yake ilishuhudia mgombea Urais na Rais wake mstaafu Donald Trump akipigwa Risasi ya sikioni akiwa jukwaani.

Nchi Kama Tanzania yenye watu zaidi ya Millioni 61 na yenye kuzungukwa na nchi takribani 7 na ikaendelea kuwa katika usalama kama huu tunao ushuhudia pasipo matukio makubwa yenye sura ya kigaidi au wahalifu kuvuka mipaka na kuja kufanya matukio hapa nchni ,ni lazma tuvipongeze sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuwalinda watanzania na mali zao pamoja na mipaka ya Nchi yetu.

Ni lazima tufahamu kuwa hali ipo hivyo kwa kuwa vyombo vyetu vipo macho saa 24 usiku na mchana,doria zinapigwa muda wote.ni kwa kuwa wapo askari wetu waliojitoa sadaka ya damu yao kwa ajili yetu watanzania ili tuishi kwa amani.ni kwa kuwa wapo askari wetu wanatokwa jasho ,machozi na damu kupambana na kila aina ya uharamia na uhalifu .

Tuwapeni moyo na kuwaunga mkono askari wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.tusiwakatishe tamaa wala kuwatukana matusi wala kuwatolea maneno machafu.haya matukio machache ya watu kupotea naamini kuwa na sote tuamini ya kuwa vyombo vyetu vipo kazini kufanya upelelezi ili wote wapatikane wakiwa hai kabisa .kikubwa tutoe ushirikiano na tujue sote ni walinzi wa Taifa letu.

Tambua ya kuwa wewe ukiwa umelala usingizi chumbani kwako na mkeo au mume wako vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinakuwa macho kukulinda wewe na mali zako.ndio maana unaamka ukiwa salama wewe na mali zako.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kama humuogopi Mungu basi ogopa hata kuku. Hivi unajukuta nani kutoa kauli kama hiyo? Weee ni msemqji wa jeshu la polisi?

Nakushauri ufanye kazi za kukuingizia kipato kwa bidii zaidi na maarifa pamoja na uaminifu. Kama Mungu amepanga upate nafasi ya kisiasa utapata. Usiwafanye wazazi wako watukanwe kwasababu yako Kwasababu unachofanya sio uzalendo, ni uchawa na watu Kama nyie mkipewa nafasi za kisiasa ndio inafanya vijana wengine waharibike, waache kuwa true kwa Mungu na kwa nafsi zao, waanze kazi ya kusifu na kuabudu Miungu watu coz wanajua kazi hiyo inalipa.

Kwakweli sipendezwi na tabia zako za kuwa chawa zaidi ya kunguni
 
Kuwa mwanachama wa chama flani hakukutoi akili na hofu ya Mungu. Watu kama wewe 10 wanaweza kuzamisha hili taifa. Jikite kwenye kukosoa kwa staha, toa ushauri na ubunifu na kutetea haki kila eneo. Hayo mapambia achia kazi itajitangaza
 
Acha uchawa, mmemuua binti wa mika 18 tena akiwa ndani kwao, aibu kubwa.
mtakipata mnachokitafuta.
Poleni familia, mama anasema ni binti pekee ( form four) ambaye ndiye msomi mtegemewa na mboni ya familia ila katoweka kwa udhaifu wa jeshi letu la police.
 
Hivi usalama Gani unaoongelea wewe?

Hivi Kwenye nchi raia asiyekuwa na hatia, anaweza akashushwa toka Kwenye basi na watu wenye "machine guns" na baadaye mwili wake ukakutwa umetupwa kichakani akiwa ameshakufa, waweza kuiita hiyo nchi bado ni salama??😳
Ukiwa na ugomvi na serikalini utaona nchi haina usalama ila ukiwa raia mwema nchi mbona ina amani tele
 
Mmmm! Mi nilikuwa najua kuwa, ni mimi tu ambaye huwa sisomi MAANDIKO yake. Heading, yaweza kunivutia, lakini nikilisoma jina lake kuwa ndiye mwandishi, sisumbuki kusoma!
Huyu mpumbavu kila nikiona jina ni la kwake naishia kusoma heading tuu
 
Ukiwa kama raia mwema Jenga nchi Yako kwa kupongeza panapostahili. Sema kweli panapostahili, kosoa panapostahili, shauri inavyostahili. Usilete furaha/kejeri kwenye msiba(wa raia mwema), leta huzuni. KIFO hugusa hisia za watu wote, aliyetekwa na kukutwa kafariki ni kiumbe chenye thamani kubwa. Wakati tulionao sasa ingefaa ushauri nini kifanyike kutokomeza utekaji na kuuawa watu, kuliko kupongeza au kupamba sifa kwa mamlaka ya ulinzi na usalama.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Pamoja na matukio machache yaliyojitokeza hapa katikati,lakini haiondoi ukweli kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana iliyotukuka ya kuhakikisha kuwa Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani, Utulivu na usalama wa hali ya juu sana kuanzia mipakani hadi ndani ya Nchi,kwa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanya kazi zao katika mazingira ya amani na utulivu pasipo hofu wala wasiwasi.

Embu fikiria leo hii katika Historia ya Taifa letu tunashuhudia magari ya abiria makubwa kwa madogo yakisafiri usiku kucha katika mikoa mbalimbali yakipita katika misitu ya kila aina bila shida wala kutekwa wala kitisho cha kutekwa .hii yote ni kutokana na kuwepo kwa usalama wa kutosha Nchini unaotokana na kazi nzuri na iliyotukuka ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Kumbukeni ya kuwa suala la ulinzi na usalama ni suala gumu , zito na lenye kuhitajaji nguvu kubwa sana ya uwekezaji katika kupambana na matukio yote yenye kuhatarisha usalama.embu fikiria Taifa kama Marekani lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa,vifaa vya kisasa ,watu wenye ujuzi wa kila aina pamoja na kamera kila kona,lakini Dunia nzima kwa macho yake ilishuhudia mgombea Urais na Rais wake mstaafu Donald Trump akipigwa Risasi ya sikioni akiwa jukwaani.

Nchi Kama Tanzania yenye watu zaidi ya Millioni 61 na yenye kuzungukwa na nchi takribani 7 na ikaendelea kuwa katika usalama kama huu tunao ushuhudia pasipo matukio makubwa yenye sura ya kigaidi au wahalifu kuvuka mipaka na kuja kufanya matukio hapa nchni ,ni lazma tuvipongeze sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuwalinda watanzania na mali zao pamoja na mipaka ya Nchi yetu.

Ni lazima tufahamu kuwa hali ipo hivyo kwa kuwa vyombo vyetu vipo macho saa 24 usiku na mchana,doria zinapigwa muda wote.ni kwa kuwa wapo askari wetu waliojitoa sadaka ya damu yao kwa ajili yetu watanzania ili tuishi kwa amani.ni kwa kuwa wapo askari wetu wanatokwa jasho ,machozi na damu kupambana na kila aina ya uharamia na uhalifu .

Tuwapeni moyo na kuwaunga mkono askari wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.tusiwakatishe tamaa wala kuwatukana matusi wala kuwatolea maneno machafu.haya matukio machache ya watu kupotea naamini kuwa na sote tuamini ya kuwa vyombo vyetu vipo kazini kufanya upelelezi ili wote wapatikane wakiwa hai kabisa .kikubwa tutoe ushirikiano na tujue sote ni walinzi wa Taifa letu.

Tambua ya kuwa wewe ukiwa umelala usingizi chumbani kwako na mkeo au mume wako vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinakuwa macho kukulinda wewe na mali zako.ndio maana unaamka ukiwa salama wewe na mali zako.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Why tupongeze failure
 
Back
Top Bottom