Tanzania bado ni salama sana na tunapaswa kuvipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama

Tanzania bado ni salama sana na tunapaswa kuvipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama

Mabus yanatembea usiku wa manane kwnye mapori bila kutekwa

Ila mabus yanatekwa mjini Dar tena mchana na watu wenye silaha wanachukua mtu na anapatikana amekufa few days later

Usalama uko wapi hapo
 
20230716_094306.jpg
 
Mabus yanatembea usiku wa manane kwnye mapori bila kutekwa

Ila mabus yanatekwa mjini Dar tena mchana na watu wenye silaha wanachukua mtu na anapatikana amekufa few days later

Usalama uko wapi hapo
Mabus mangapi yametekwa mjini?
 
Back
Top Bottom