Ni kweli mkuu haka kajamaa nahisi kanatafunwanimesoma kichwa chahabari tuu.
ila wewe kama hufirw....sijui
Mnaua watanzania wasio na hata nyinyi CCMNdugu zangu Watanzania,
Pamoja na matukio machache yaliyojitokeza hapa katikati,lakini haiondoi ukweli kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana iliyotukuka ya kuhakikisha kuwa Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani, Utulivu na usalama wa hali ya juu sana kuanzia mipakani hadi ndani ya Nchi,kwa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanya kazi zao katika mazingira ya amani na utulivu pasipo hofu wala wasiwasi.
Embu fikiria leo hii katika Historia ya Taifa letu tunashuhudia magari ya abiria makubwa kwa madogo yakisafiri usiku kucha katika mikoa mbalimbali yakipita katika misitu ya kila aina bila shida wala kutekwa wala kitisho cha kutekwa .hii yote ni kutokana na kuwepo kwa usalama wa kutosha Nchini unaotokana na kazi nzuri na iliyotukuka ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kumbukeni ya kuwa suala la ulinzi na usalama ni suala gumu , zito na lenye kuhitajaji nguvu kubwa sana ya uwekezaji katika kupambana na matukio yote yenye kuhatarisha usalama.embu fikiria Taifa kama Marekani lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa,vifaa vya kisasa ,watu wenye ujuzi wa kila aina pamoja na kamera kila kona,lakini Dunia nzima kwa macho yake ilishuhudia mgombea Urais na Rais wake mstaafu Donald Trump akipigwa Risasi ya sikioni akiwa jukwaani.
Nchi Kama Tanzania yenye watu zaidi ya Millioni 61 na yenye kuzungukwa na nchi takribani 7 na ikaendelea kuwa katika usalama kama huu tunao ushuhudia pasipo matukio makubwa yenye sura ya kigaidi au wahalifu kuvuka mipaka na kuja kufanya matukio hapa nchni ,ni lazma tuvipongeze sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuwalinda watanzania na mali zao pamoja na mipaka ya Nchi yetu.
Ni lazima tufahamu kuwa hali ipo hivyo kwa kuwa vyombo vyetu vipo macho saa 24 usiku na mchana,doria zinapigwa muda wote.ni kwa kuwa wapo askari wetu waliojitoa sadaka ya damu yao kwa ajili yetu watanzania ili tuishi kwa amani.ni kwa kuwa wapo askari wetu wanatokwa jasho ,machozi na damu kupambana na kila aina ya uharamia na uhalifu .
Tuwapeni moyo na kuwaunga mkono askari wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.tusiwakatishe tamaa wala kuwatukana matusi wala kuwatolea maneno machafu.haya matukio machache ya watu kupotea naamini kuwa na sote tuamini ya kuwa vyombo vyetu vipo kazini kufanya upelelezi ili wote wapatikane wakiwa hai kabisa .kikubwa tutoe ushirikiano na tujue sote ni walinzi wa Taifa letu.
Tambua ya kuwa wewe ukiwa umelala usingizi chumbani kwako na mkeo au mume wako vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinakuwa macho kukulinda wewe na mali zako.ndio maana unaamka ukiwa salama wewe na mali zako.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mpaka sasa waliotekwa jumla ni 106 ni matukio machache, nikwambie Lucka kuna mawili una mpango wako wa sirini sanaaa au kidogo zimecheza kichwani ila la kwanza nalipa asilimia 75Matukio haya machache yasifanye tukapoteza imani kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Likipita karandinga lao ingiiiamoo uwape pongezi hizo.sudan. somalia. iraq. iran. afghanstan. ukraine. russia
HEKO KWA JESHI LETU LA ULINZI NA USALAMA.
MNAUPIGA MWINGI
Mungu akurehemu!! Watoto wako watakuwa na baba hasara kabisa!Ndugu zangu Watanzania,
Pamoja na matukio machache yaliyojitokeza hapa katikati,lakini haiondoi ukweli kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana iliyotukuka ya kuhakikisha kuwa Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani, Utulivu na usalama wa hali ya juu sana kuanzia mipakani hadi ndani ya Nchi,kwa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanya kazi zao katika mazingira ya amani na utulivu pasipo hofu wala wasiwasi.
Embu fikiria leo hii katika Historia ya Taifa letu tunashuhudia magari ya abiria makubwa kwa madogo yakisafiri usiku kucha katika mikoa mbalimbali yakipita katika misitu ya kila aina bila shida wala kutekwa wala kitisho cha kutekwa .hii yote ni kutokana na kuwepo kwa usalama wa kutosha Nchini unaotokana na kazi nzuri na iliyotukuka ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kumbukeni ya kuwa suala la ulinzi na usalama ni suala gumu , zito na lenye kuhitajaji nguvu kubwa sana ya uwekezaji katika kupambana na matukio yote yenye kuhatarisha usalama.embu fikiria Taifa kama Marekani lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa,vifaa vya kisasa ,watu wenye ujuzi wa kila aina pamoja na kamera kila kona,lakini Dunia nzima kwa macho yake ilishuhudia mgombea Urais na Rais wake mstaafu Donald Trump akipigwa Risasi ya sikioni akiwa jukwaani.
Nchi Kama Tanzania yenye watu zaidi ya Millioni 61 na yenye kuzungukwa na nchi takribani 7 na ikaendelea kuwa katika usalama kama huu tunao ushuhudia pasipo matukio makubwa yenye sura ya kigaidi au wahalifu kuvuka mipaka na kuja kufanya matukio hapa nchni ,ni lazma tuvipongeze sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuwalinda watanzania na mali zao pamoja na mipaka ya Nchi yetu.
Ni lazima tufahamu kuwa hali ipo hivyo kwa kuwa vyombo vyetu vipo macho saa 24 usiku na mchana,doria zinapigwa muda wote.ni kwa kuwa wapo askari wetu waliojitoa sadaka ya damu yao kwa ajili yetu watanzania ili tuishi kwa amani.ni kwa kuwa wapo askari wetu wanatokwa jasho ,machozi na damu kupambana na kila aina ya uharamia na uhalifu .
Tuwapeni moyo na kuwaunga mkono askari wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.tusiwakatishe tamaa wala kuwatukana matusi wala kuwatolea maneno machafu.haya matukio machache ya watu kupotea naamini kuwa na sote tuamini ya kuwa vyombo vyetu vipo kazini kufanya upelelezi ili wote wapatikane wakiwa hai kabisa .kikubwa tutoe ushirikiano na tujue sote ni walinzi wa Taifa letu.
Tambua ya kuwa wewe ukiwa umelala usingizi chumbani kwako na mkeo au mume wako vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinakuwa macho kukulinda wewe na mali zako.ndio maana unaamka ukiwa salama wewe na mali zako.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Watu wa namna hii, mara nyingi huja hupatwa na madhira mabaya sana ili wajutie upofu wao. Na huo muda ukiwadia huwa hawana hata mtu wa kuwasaidia japo kuwapigia kelele. Kwa sasa maadam uovu haujawagusa, wanaotekwa, wanawaona hawana akili au hawanaubinada.u we ye thamano, hivyo kufanyiwa uharamia ni halali dhidi yao.Hata wewe muandishi hauko salama.
Wakimaliza kukutumia watakutupa kama toilet paper inavotupwa.
Jifunze kukemea pale unapoona sio sawa.
Nina uhakika ndugu zako pia hawako salama na siku ikifika utashindwa kuwasaidia Kwa kutumia uandishi wako.
Huyo Mwashambwa kauli zake zinadhihirisha ni shetani katika umbo la mwanadamu.Mpaka sasa waliotekwa jumla ni 106 ni matukio machache, nikwambie Lucka kuna mawili una mpango wako wa sirini sanaaa au kidogo zimecheza kichwani ila la kwanza nalipa asilimia 75
Ivi humu ndani hakuna mwenye konecshen ya mtu anaye uza JINI ….. njoo dm kuna kitu nataka nifanyeNdugu zangu Watanzania,
Pamoja na matukio machache yaliyojitokeza hapa katikati,lakini haiondoi ukweli kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana iliyotukuka ya kuhakikisha kuwa Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani, Utulivu na usalama wa hali ya juu sana kuanzia mipakani hadi ndani ya Nchi,kwa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanya kazi zao katika mazingira ya amani na utulivu pasipo hofu wala wasiwasi.
Embu fikiria leo hii katika Historia ya Taifa letu tunashuhudia magari ya abiria makubwa kwa madogo yakisafiri usiku kucha katika mikoa mbalimbali yakipita katika misitu ya kila aina bila shida wala kutekwa wala kitisho cha kutekwa .hii yote ni kutokana na kuwepo kwa usalama wa kutosha Nchini unaotokana na kazi nzuri na iliyotukuka ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kumbukeni ya kuwa suala la ulinzi na usalama ni suala gumu , zito na lenye kuhitajaji nguvu kubwa sana ya uwekezaji katika kupambana na matukio yote yenye kuhatarisha usalama.embu fikiria Taifa kama Marekani lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa,vifaa vya kisasa ,watu wenye ujuzi wa kila aina pamoja na kamera kila kona,lakini Dunia nzima kwa macho yake ilishuhudia mgombea Urais na Rais wake mstaafu Donald Trump akipigwa Risasi ya sikioni akiwa jukwaani.
Nchi Kama Tanzania yenye watu zaidi ya Millioni 61 na yenye kuzungukwa na nchi takribani 7 na ikaendelea kuwa katika usalama kama huu tunao ushuhudia pasipo matukio makubwa yenye sura ya kigaidi au wahalifu kuvuka mipaka na kuja kufanya matukio hapa nchni ,ni lazma tuvipongeze sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuwalinda watanzania na mali zao pamoja na mipaka ya Nchi yetu.
Ni lazima tufahamu kuwa hali ipo hivyo kwa kuwa vyombo vyetu vipo macho saa 24 usiku na mchana,doria zinapigwa muda wote.ni kwa kuwa wapo askari wetu waliojitoa sadaka ya damu yao kwa ajili yetu watanzania ili tuishi kwa amani.ni kwa kuwa wapo askari wetu wanatokwa jasho ,machozi na damu kupambana na kila aina ya uharamia na uhalifu .
Tuwapeni moyo na kuwaunga mkono askari wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.tusiwakatishe tamaa wala kuwatukana matusi wala kuwatolea maneno machafu.haya matukio machache ya watu kupotea naamini kuwa na sote tuamini ya kuwa vyombo vyetu vipo kazini kufanya upelelezi ili wote wapatikane wakiwa hai kabisa .kikubwa tutoe ushirikiano na tujue sote ni walinzi wa Taifa letu.
Tambua ya kuwa wewe ukiwa umelala usingizi chumbani kwako na mkeo au mume wako vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinakuwa macho kukulinda wewe na mali zako.ndio maana unaamka ukiwa salama wewe na mali zako.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hayajaanza Leo wala jana. Happy ulipo Una marafiki au majirani ambazo ni Wana usalama, hivyo unafahamu jinsi gani walivowakatili.Matukio haya machache yasifanye tukapoteza imani kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Acha kuropoka ropoka tuMnaua watanzania wasio na hata nyinyi CCM
Nchi yetu bado ni salama na ndio maana wetu wanafanya shughuli zao kwa amani kabisa na kufunga muda wanaotaka wenyewe. Matukio machache yasitufanye tuseme kuwa nchi yetu haina amani wala usalamaHaya maneno nenda na kipaza Sauti stendi yoyote yaseme kwa kupayuka.
Uone kitakachokukuta.
Angalia hii simbilisi inavyotapika mashuduNdugu zangu Watanzania,
Pamoja na matukio machache yaliyojitokeza hapa katikati,lakini haiondoi ukweli kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana iliyotukuka ya kuhakikisha kuwa Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani, Utulivu na usalama wa hali ya juu sana kuanzia mipakani hadi ndani ya Nchi,kwa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanya kazi zao katika mazingira ya amani na utulivu pasipo hofu wala wasiwasi.
Embu fikiria leo hii katika Historia ya Taifa letu tunashuhudia magari ya abiria makubwa kwa madogo yakisafiri usiku kucha katika mikoa mbalimbali yakipita katika misitu ya kila aina bila shida wala kutekwa wala kitisho cha kutekwa .hii yote ni kutokana na kuwepo kwa usalama wa kutosha Nchini unaotokana na kazi nzuri na iliyotukuka ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kumbukeni ya kuwa suala la ulinzi na usalama ni suala gumu , zito na lenye kuhitajaji nguvu kubwa sana ya uwekezaji katika kupambana na matukio yote yenye kuhatarisha usalama.embu fikiria Taifa kama Marekani lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa,vifaa vya kisasa ,watu wenye ujuzi wa kila aina pamoja na kamera kila kona,lakini Dunia nzima kwa macho yake ilishuhudia mgombea Urais na Rais wake mstaafu Donald Trump akipigwa Risasi ya sikioni akiwa jukwaani.
Nchi Kama Tanzania yenye watu zaidi ya Millioni 61 na yenye kuzungukwa na nchi takribani 7 na ikaendelea kuwa katika usalama kama huu tunao ushuhudia pasipo matukio makubwa yenye sura ya kigaidi au wahalifu kuvuka mipaka na kuja kufanya matukio hapa nchni ,ni lazma tuvipongeze sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuwalinda watanzania na mali zao pamoja na mipaka ya Nchi yetu.
Ni lazima tufahamu kuwa hali ipo hivyo kwa kuwa vyombo vyetu vipo macho saa 24 usiku na mchana,doria zinapigwa muda wote.ni kwa kuwa wapo askari wetu waliojitoa sadaka ya damu yao kwa ajili yetu watanzania ili tuishi kwa amani.ni kwa kuwa wapo askari wetu wanatokwa jasho ,machozi na damu kupambana na kila aina ya uharamia na uhalifu .
Tuwapeni moyo na kuwaunga mkono askari wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.tusiwakatishe tamaa wala kuwatukana matusi wala kuwatolea maneno machafu.haya matukio machache ya watu kupotea naamini kuwa na sote tuamini ya kuwa vyombo vyetu vipo kazini kufanya upelelezi ili wote wapatikane wakiwa hai kabisa .kikubwa tutoe ushirikiano na tujue sote ni walinzi wa Taifa letu.
Tambua ya kuwa wewe ukiwa umelala usingizi chumbani kwako na mkeo au mume wako vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinakuwa macho kukulinda wewe na mali zako.ndio maana unaamka ukiwa salama wewe na mali zako.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndugu zangu Watanzania,
Pamoja na matukio machache yaliyojitokeza hapa katikati,lakini haiondoi ukweli kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana iliyotukuka ya kuhakikisha kuwa Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani, Utulivu na usalama wa hali ya juu sana kuanzia mipakani hadi ndani ya Nchi,kwa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanya kazi zao katika mazingira ya amani na utulivu pasipo hofu wala wasiwasi.
Embu fikiria leo hii katika Historia ya Taifa letu tunashuhudia magari ya abiria makubwa kwa madogo yakisafiri usiku kucha katika mikoa mbalimbali yakipita katika misitu ya kila aina bila shida wala kutekwa wala kitisho cha kutekwa .hii yote ni kutokana na kuwepo kwa usalama wa kutosha Nchini unaotokana na kazi nzuri na iliyotukuka ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kumbukeni ya kuwa suala la ulinzi na usalama ni suala gumu , zito na lenye kuhitajaji nguvu kubwa sana ya uwekezaji katika kupambana na matukio yote yenye kuhatarisha usalama.embu fikiria Taifa kama Marekani lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa,vifaa vya kisasa ,watu wenye ujuzi wa kila aina pamoja na kamera kila kona,lakini Dunia nzima kwa macho yake ilishuhudia mgombea Urais na Rais wake mstaafu Donald Trump akipigwa Risasi ya sikioni akiwa jukwaani.
Nchi Kama Tanzania yenye watu zaidi ya Millioni 61 na yenye kuzungukwa na nchi takribani 7 na ikaendelea kuwa katika usalama kama huu tunao ushuhudia pasipo matukio makubwa yenye sura ya kigaidi au wahalifu kuvuka mipaka na kuja kufanya matukio hapa nchni ,ni lazma tuvipongeze sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuwalinda watanzania na mali zao pamoja na mipaka ya Nchi yetu.
Ni lazima tufahamu kuwa hali ipo hivyo kwa kuwa vyombo vyetu vipo macho saa 24 usiku na mchana,doria zinapigwa muda wote.ni kwa kuwa wapo askari wetu waliojitoa sadaka ya damu yao kwa ajili yetu watanzania ili tuishi kwa amani.ni kwa kuwa wapo askari wetu wanatokwa jasho ,machozi na damu kupambana na kila aina ya uharamia na uhalifu .
Tuwapeni moyo na kuwaunga mkono askari wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.tusiwakatishe tamaa wala kuwatukana matusi wala kuwatolea maneno machafu.haya matukio machache ya watu kupotea naamini kuwa na sote tuamini ya kuwa vyombo vyetu vipo kazini kufanya upelelezi ili wote wapatikane wakiwa hai kabisa .kikubwa tutoe ushirikiano na tujue sote ni walinzi wa Taifa letu.
Tambua ya kuwa wewe ukiwa umelala usingizi chumbani kwako na mkeo au mume wako vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinakuwa macho kukulinda wewe na mali zako.ndio maana unaamka ukiwa salama wewe na mali zako.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Salama kwa wafuasi wa CCM siyo kwa vyama vya upinzaniNdugu zangu Watanzania,
Pamoja na matukio machache yaliyojitokeza hapa katikati,lakini haiondoi ukweli kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana iliyotukuka ya kuhakikisha kuwa Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani, Utulivu na usalama wa hali ya juu sana kuanzia mipakani hadi ndani ya Nchi,kwa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanya kazi zao katika mazingira ya amani na utulivu pasipo hofu wala wasiwasi.
Embu fikiria leo hii katika Historia ya Taifa letu tunashuhudia magari ya abiria makubwa kwa madogo yakisafiri usiku kucha katika mikoa mbalimbali yakipita katika misitu ya kila aina bila shida wala kutekwa wala kitisho cha kutekwa .hii yote ni kutokana na kuwepo kwa usalama wa kutosha Nchini unaotokana na kazi nzuri na iliyotukuka ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kumbukeni ya kuwa suala la ulinzi na usalama ni suala gumu , zito na lenye kuhitajaji nguvu kubwa sana ya uwekezaji katika kupambana na matukio yote yenye kuhatarisha usalama.embu fikiria Taifa kama Marekani lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa,vifaa vya kisasa ,watu wenye ujuzi wa kila aina pamoja na kamera kila kona,lakini Dunia nzima kwa macho yake ilishuhudia mgombea Urais na Rais wake mstaafu Donald Trump akipigwa Risasi ya sikioni akiwa jukwaani.
Nchi Kama Tanzania yenye watu zaidi ya Millioni 61 na yenye kuzungukwa na nchi takribani 7 na ikaendelea kuwa katika usalama kama huu tunao ushuhudia pasipo matukio makubwa yenye sura ya kigaidi au wahalifu kuvuka mipaka na kuja kufanya matukio hapa nchni ,ni lazma tuvipongeze sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuwalinda watanzania na mali zao pamoja na mipaka ya Nchi yetu.
Ni lazima tufahamu kuwa hali ipo hivyo kwa kuwa vyombo vyetu vipo macho saa 24 usiku na mchana,doria zinapigwa muda wote.ni kwa kuwa wapo askari wetu waliojitoa sadaka ya damu yao kwa ajili yetu watanzania ili tuishi kwa amani.ni kwa kuwa wapo askari wetu wanatokwa jasho ,machozi na damu kupambana na kila aina ya uharamia na uhalifu .
Tuwapeni moyo na kuwaunga mkono askari wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.tusiwakatishe tamaa wala kuwatukana matusi wala kuwatolea maneno machafu.haya matukio machache ya watu kupotea naamini kuwa na sote tuamini ya kuwa vyombo vyetu vipo kazini kufanya upelelezi ili wote wapatikane wakiwa hai kabisa .kikubwa tutoe ushirikiano na tujue sote ni walinzi wa Taifa letu.
Tambua ya kuwa wewe ukiwa umelala usingizi chumbani kwako na mkeo au mume wako vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinakuwa macho kukulinda wewe na mali zako.ndio maana unaamka ukiwa salama wewe na mali zako.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Salama kwa vigogo wa CCM na watoto wao.Ndugu zangu Watanzania,
Pamoja na matukio machache yaliyojitokeza hapa katikati,lakini haiondoi ukweli kuwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinafanya kazi kubwa sana iliyotukuka ya kuhakikisha kuwa Taifa letu linaendelea kutamalaki kwa amani, Utulivu na usalama wa hali ya juu sana kuanzia mipakani hadi ndani ya Nchi,kwa kuhakikisha kuwa watanzania wanafanya kazi zao katika mazingira ya amani na utulivu pasipo hofu wala wasiwasi.
Embu fikiria leo hii katika Historia ya Taifa letu tunashuhudia magari ya abiria makubwa kwa madogo yakisafiri usiku kucha katika mikoa mbalimbali yakipita katika misitu ya kila aina bila shida wala kutekwa wala kitisho cha kutekwa .hii yote ni kutokana na kuwepo kwa usalama wa kutosha Nchini unaotokana na kazi nzuri na iliyotukuka ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Kumbukeni ya kuwa suala la ulinzi na usalama ni suala gumu , zito na lenye kuhitajaji nguvu kubwa sana ya uwekezaji katika kupambana na matukio yote yenye kuhatarisha usalama.embu fikiria Taifa kama Marekani lenye teknolojia ya hali ya juu kabisa,vifaa vya kisasa ,watu wenye ujuzi wa kila aina pamoja na kamera kila kona,lakini Dunia nzima kwa macho yake ilishuhudia mgombea Urais na Rais wake mstaafu Donald Trump akipigwa Risasi ya sikioni akiwa jukwaani.
Nchi Kama Tanzania yenye watu zaidi ya Millioni 61 na yenye kuzungukwa na nchi takribani 7 na ikaendelea kuwa katika usalama kama huu tunao ushuhudia pasipo matukio makubwa yenye sura ya kigaidi au wahalifu kuvuka mipaka na kuja kufanya matukio hapa nchni ,ni lazma tuvipongeze sana vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kuwalinda watanzania na mali zao pamoja na mipaka ya Nchi yetu.
Ni lazima tufahamu kuwa hali ipo hivyo kwa kuwa vyombo vyetu vipo macho saa 24 usiku na mchana,doria zinapigwa muda wote.ni kwa kuwa wapo askari wetu waliojitoa sadaka ya damu yao kwa ajili yetu watanzania ili tuishi kwa amani.ni kwa kuwa wapo askari wetu wanatokwa jasho ,machozi na damu kupambana na kila aina ya uharamia na uhalifu .
Tuwapeni moyo na kuwaunga mkono askari wetu na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.tusiwakatishe tamaa wala kuwatukana matusi wala kuwatolea maneno machafu.haya matukio machache ya watu kupotea naamini kuwa na sote tuamini ya kuwa vyombo vyetu vipo kazini kufanya upelelezi ili wote wapatikane wakiwa hai kabisa .kikubwa tutoe ushirikiano na tujue sote ni walinzi wa Taifa letu.
Tambua ya kuwa wewe ukiwa umelala usingizi chumbani kwako na mkeo au mume wako vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinakuwa macho kukulinda wewe na mali zako.ndio maana unaamka ukiwa salama wewe na mali zako.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.