Tetesi: Tanzania Daima Hali Siyo Shwari, Mhariri Mkuu, Ndugu Neville Meena Atimuliwa Kazi

Hivi ile meli ya kinana ilisharudishwa toka ughaibuni?
 
Chuki na visasi mnavyojenga dhidi ya wazawa wenye uwezo haitasaidia nchi kupata.Tende ni haki Acheni Kelele. Mbowe hajawekeza bongo tu kawekeza almost Afrika nzima, Dubai na uingereza sasa Wewe endelea kula matano pori yatakuua chakula cha Nyoka hicho
 
Hali hiyo kwenye biashara ni kawaida asimlaumu JPM kwani hata sisi ambao sio wanasiasa mwajiri wetu amepunguza wafanyakazi 30 na tuliobaki amepunguza mishahara kwa 20%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…