Katika hali isiyo kuwa ya kawaida Mh. Mbowe amekiri kuwa na hali mbaya ya kifedha katika kuendesha kampuni yake.
Kutokana na hali hiyo amelazimika kupunguza wafanyakazi na kupunguza mishahara kwa wafanyakazi wake.
Hii imekuja baadaya ya kuripotiwa kuwa kumekuwa na hali ya kutoelewana katika Mbowe na Mhariri Mkuu wa Gazeti la Tanzania Daima linalomilikiwa na Mbowe.
Mbowe akiri hali ni ngumu, apunguza mishahara na idadi ya wafanyakazi katika kampuni yake - SWAHILI TIMES
Naona sasa kila mtu anajifunza kubana matumizi.