Tetesi: Tanzania Daima Hali Siyo Shwari, Mhariri Mkuu, Ndugu Neville Meena Atimuliwa Kazi

Tetesi: Tanzania Daima Hali Siyo Shwari, Mhariri Mkuu, Ndugu Neville Meena Atimuliwa Kazi

Wanatosha sana.

Kwanza siungi mkono timua timua yoyote kwa sababu zozote zile lakini ni ukweli uliowazi awamu hii ya 5 sijui imekuja na nini, hivyo biashara zinapukutika, mauzo yanashuka, media nyingi zinashindwa kulipa mishahara, naifahamu TV moja kubwa ina staff 400, imetangaza retrenchment itapunguza staff 200 na kubaki na 200!.

Mimi mwenyewe Studio yangu ya PPR ilikuwa na Staff 15 nikipanga jengo zima la NHC pale Mkwepu lenye 8 rooms huku nikilipa kodi ya TZS 3.M kwa mwezi, sasa nimeshindwa, jengo nimeachia na kuhamia Posta House nimepunguza 10 people tumebaki watu 5 tuu! .

Tunatumia ICT na kufanya multiple tasks
1. Mimi Boss ndio mkurugenzi, maneja na paymasters malipo yote kwa Mpesa
2.Chief Camera ndio mtu wa light ndio mtu wa sound
3.Chief editor ndio editor ndio mtu was graphic.
4.Office manager ndio receptionist ndio secretary
5.Dereva ndio mtu wa logistics, ndio mesenja.

Hivyo hata hilo Gazeti kama hali ni ngumu watu 14 wanaendesha gazeti.
1.Chief Editor
2.Sub Editor
3.Business Editor
4.Sport Editor
5.Feature Editor
6.Chief Photographer
7. Staff Photographer
8. Chief Reporter
9. Staff Reporter
10. Sports Reporter
11. Page Maker
12. Graphic Editor
13. Marketing Manager
14. Circulation Manager

Kazi nyingine zote zitafanywa online na freelancers kuanzia reporters, photographers hadi freelance sales.

Kiukweli Magufuli ametuweza.

Paskali
Uko sawa kabisa..mbn agency nyingi za matangazo wako wachache na wanafanya kazi kubwa...ingawa kweli timua timua sio nzuri
 
Wanatosha sana.

Kwanza siungi mkono timua timua yoyote kwa sababu zozote zile lakini ni ukweli uliowazi awamu hii ya 5 sijui imekuja na nini, hivyo biashara zinapukutika, mauzo yanashuka, media nyingi zinashindwa kulipa mishahara, naifahamu TV moja kubwa ina staff 400, imetangaza retrenchment itapunguza staff 200 na kubaki na 200!.

Mimi mwenyewe Studio yangu ya PPR ilikuwa na Staff 15 nikipanga jengo zima la NHC pale Mkwepu lenye 8 rooms huku nikilipa kodi ya TZS 3.M kwa mwezi, sasa nimeshindwa, jengo nimeachia na kuhamia Posta House nimepunguza 10 people tumebaki watu 5 tuu! .

Tunatumia ICT na kufanya multiple tasks
1. Mimi Boss ndio mkurugenzi, maneja na paymasters malipo yote kwa Mpesa
2.Chief Camera ndio mtu wa light ndio mtu wa sound
3.Chief editor ndio editor ndio mtu was graphic.
4.Office manager ndio receptionist ndio secretary
5.Dereva ndio mtu wa logistics, ndio mesenja.

Hivyo hata hilo Gazeti kama hali ni ngumu watu 14 wanaendesha gazeti.
1.Chief Editor
2.Sub Editor
3.Business Editor
4.Sport Editor
5.Feature Editor
6.Chief Photographer
7. Staff Photographer
8. Chief Reporter
9. Staff Reporter
10. Sports Reporter
11. Page Maker
12. Graphic Editor
13. Marketing Manager
14. Circulation Manager

Kazi nyingine zote zitafanywa online na freelancers kuanzia reporters, photographers hadi freelance sales.

Kiukweli Magufuli ametuweza.

Paskali
Mkuu asante kwa mchanganuo.
 
pamoja na sababu zilizoainishwa kwenye mada hapo, zipo taarifa kuwa Bosi alitoa maelekezo ya gazeti hilo kutoandika chochote kuhusu kupotea kwa Ben Saanane, lakini mhariri Mkuu akakaidi baada ya wale vijana wa UTG wakiongozwa na Malisa GJ kulilaumu gazeti hilo kwa kitendo chake cha kulipa kisogo suala la kupotea kwa BEN.
Tusubiri mengj yanaweza kuibuliwa.
Huu ndiyo umbea na ushankupe! Taarifa hizo uwe nazo wewe tu hata wadau walio kazini wasiijue?
 
Itabidi amuulizie kinara wa kununua magazeti yaliopepesuka,Rostam
 
narudia tens wandugu tushiriki kujadili mambo ya msingi yatakayotukwamua toka hapa tulipo,,tuachane na minor issues kama hizi
Lingekuwa gazeti la uhuru mngebanana humu. Posts hata 5000 zingefika ndani ya masaa mawili. Wapiga deal watajulikana tu awamu hii
 
Wanatosha sana.

Kwanza siungi mkono timua timua yoyote kwa sababu zozote zile lakini ni ukweli uliowazi awamu hii ya 5 sijui imekuja na nini, hivyo biashara zinapukutika, mauzo yanashuka, media nyingi zinashindwa kulipa mishahara, naifahamu TV moja kubwa ina staff 400, imetangaza retrenchment itapunguza staff 200 na kubaki na 200!.

Mimi mwenyewe Studio yangu ya PPR ilikuwa na Staff 15 nikipanga jengo zima la NHC pale Mkwepu lenye 8 rooms huku nikilipa kodi ya TZS 3.M kwa mwezi, sasa nimeshindwa, jengo nimeachia na kuhamia Posta House nimepunguza 10 people tumebaki watu 5 tuu! .

Tunatumia ICT na kufanya multiple tasks
1. Mimi Boss ndio mkurugenzi, maneja na paymasters malipo yote kwa Mpesa
2.Chief Camera ndio mtu wa light ndio mtu wa sound
3.Chief editor ndio editor ndio mtu was graphic.
4.Office manager ndio receptionist ndio secretary
5.Dereva ndio mtu wa logistics, ndio mesenja.

Hivyo hata hilo Gazeti kama hali ni ngumu watu 14 wanaendesha gazeti.
1.Chief Editor
2.Sub Editor
3.Business Editor
4.Sport Editor
5.Feature Editor
6.Chief Photographer
7. Staff Photographer
8. Chief Reporter
9. Staff Reporter
10. Sports Reporter
11. Page Maker
12. Graphic Editor
13. Marketing Manager
14. Circulation Manager

Kazi nyingine zote zitafanywa online na freelancers kuanzia reporters, photographers hadi freelance sales.

Kiukweli Magufuli ametuweza.

Paskali
...dah,aisee pole sana mkuu;kweli Mayalla ni Njaa!..itabidi ujiite Shibe sasa!
...ila sijaelewa,kama mambo yanaenda kwa idadi ndogo ya watu Magufuli kawawezaje sasa;au mnalipualipua bora liende?
 
..labda wasomaji wengi wa gezeti hilo walikuwa wapiga dili.

..sasa kwasababu Magufuli amewabana wapiga dili basi mauzo ya gazeti nayo yamedorora.

magazeti yaliyokuwa yanaendeshwa kichama chama lazima yaanguke chama kikipanda nalo linapanda kikishuka nalo linashuka na hili nilishaawahi kumuonya mbowe gazeti lijitegemee na sio kila siku kukesha kukisifia chama hata kama kuna madudu
 
magazeti yaliyokuwa yanaendeshwa kichama chama lazima yaanguke chama kikipanda nalo linapanda kikishuka nalo linashuka na hili nilishaawahi kumuonya mbowe gazeti lijitegemee na sio kila siku kukesha kukisifia chama hata kama kuna madudu

..true.

..lakini pia biashara nyingi zimeyumba kwa hiyo hata hili gazeti nalo lazima mauzo yake yashuke na wamiliki wajipange upya.

..ila usitegemee wataajiri zaidi hata kama mauzo yataongezeka.

..Kitakachotokea ni kwamba watajenga utamaduni wa kufanya kazi na watu wachache.

..that is my prediction kwa biashara zote ambazo zinapunguza wafanyakazi sasa hivi.
 
...dah,aisee pole sana mkuu;kweli Mayalla ni Njaa!..itabidi ujiite Shibe sasa!
...ila sijaelewa,kama mambo yanaenda kwa idadi ndogo ya watu Magufuli kawawezaje sasa;au mnalipualipua bora liende?
Standard ya Professionalism kwenye production inataka kila mtu a play role moja tuu ila kutokana na ukata, kazi hakuna!, hivyo media nyingi zita cut staff isipokuwa TBC na Clouds tuu!, kazi zikizidi, unakodisha watu,
1.Producer
2.Director
3. Camera 1
4. Camera 2
5. Camera 3
6. Sound
7. Light
8. Editor
9. Presenter
10. Grip
11. CCU
12. Costume/make up
13. Set up/location
14. Logistic
15. Production manager

Kutokana na ukata tumebaki wanne tuu na mmoja ofisini!.
1. Producer ndio una tafuta location, una fanya set up, unadirect, una present, una produce unatafuta na una manage.
2. Cameraman 1 ana set camera zote, sound, light kisha anakaa kwenye main camera na kuzicontrol kwa remote
3. Editor ndio huyo huyo atakaa kwenye CCU na ndie ata fanya graphics
4. Mtu wa logistic ndio huyo huyo anakuwa grip man na handy man.
hakuna mambo ya makeup wala costumes hivyo timu ya watu 4 mnamaliza kazi, ila kwenye live lazima wote wawepo.
Paskali
 
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida Mh. Mbowe amekiri kuwa na hali mbaya ya kifedha katika kuendesha kampuni yake.

Kutokana na hali hiyo amelazimika kupunguza wafanyakazi na kupunguza mishahara kwa wafanyakazi wake.

Hii imekuja baadaya ya kuripotiwa kuwa kumekuwa na hali ya kutoelewana katika Mbowe na Mhariri Mkuu wa Gazeti la Tanzania Daima linalomilikiwa na Mbowe.

Mbowe akiri hali ni ngumu, apunguza mishahara na idadi ya wafanyakazi katika kampuni yake - SWAHILI TIMES

Naona sasa kila mtu anajifunza kubana matumizi.
 
Sawa, kitu cha muhimu ni ajipage ili arudishe Mali zote alizokopa
 
Back
Top Bottom